Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Aliyewahi kuwa Diwani wa Magomeni kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mmiliki wa shule za Green Acres, Julian Bujugo amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Oktoba 18, 2018
Fuatilia uzi huu kwa taarifa zaidi...
=====
Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi na mmiliki wa chuo cha Institute of Lands Dar es Salaam na shule za Green Acres mh. Julian Bujugo amefariki dunia saa saba usiku wa kuamkia leo Alhamisi 18 oktoba 2018 .
Msiba hupo yumbani kwake Jangwani Mbezi Beach karibu na Giraffe hotel Dar es salaam.
Bujugo aliwahi kuwa diwani kata ya Magomeni kwa tiketi ya CCM.
Fuatilia uzi huu kwa taarifa zaidi...
=====
Msiba hupo yumbani kwake Jangwani Mbezi Beach karibu na Giraffe hotel Dar es salaam.
Bujugo aliwahi kuwa diwani kata ya Magomeni kwa tiketi ya CCM.