chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 19,685
- 22,694
#TANZIA:Aliyekuwa Mwandishi wa habari wa redio one, itv, Idhaa ya kiswahili ya Dw na Makamu Mwenyekiti wa Arusha Press Club, Charles Ngereza amefariki leo asubuhi Machi 23, 2019 katika hospitali ya Mtakatifu Elizabeth Jijini Arusha.
Msiba uko nyumbani kwake, eneo la Kwa Mrefu na taratibu za mazishi zitatangazwa baadaye.
Uongozi wa Radio 5 tunatoa pole kwa Familia na watu wote walioguswa na Msiba huu.
Sent from my iPhone using Tapatalk
Msiba uko nyumbani kwake, eneo la Kwa Mrefu na taratibu za mazishi zitatangazwa baadaye.
Uongozi wa Radio 5 tunatoa pole kwa Familia na watu wote walioguswa na Msiba huu.
Sent from my iPhone using Tapatalk