TANZIA: Aliyekuwa mchezaji wa zamani wa Arsenal, Jose Antonio Reyes afariki dunia

R.I.p Reyes
IMG_20190601_145823.jpeg
 
Jioni ya Oktoba 24 mwaka 2004, pale Old Trafford katika pambano la ligi kuu ya Uingereza, Man Utd Vs Arsenal, Jose Antonio Reyes akiwa ameanza upande wa kushoto alikuwa anakabwa na muingereza mfia timu, mzaliwa wa jijini Manchester, Gary Neville.

Gary Neville alitumia muda wake mwingi wa mchezo akimchapa viatu Jose Antonio Reyes huku mwamuzi Mike Riley "Kibichwa" akifumba macho na kujifanya haoni kinachoendelea huku Gary Neville akiambulia tu kadi ya manjano mpaka pale Reyes alipotolewa kipindi cha pili na kupelekea Arsenal kupokea kipigo cha 2-0 na kufanya kuhitimisha mechi 49 bila kufungwa kwenye EPL na pambano hilo likabatizwa jina la Battle of the Buffet.

Huyo ndio Jose Antonio Reyes, mshambuliaji aliyekuwa na utulivu wa hali ya juu, control ya kuvutia pia jicho la pasi kwa wenzake. Kumzuia Reyes kuna muda ulihitaji umchezee sana rafu ili asilete madhara golini mwako.

Asante kwa kumbukumbu nzuri sana Reyes, tangulia kapumzike kwa amani, nyakati ngumu hazipiti ila watu wagumu wanapita.

Hasta la Vista Reyes.
 
Milingoti inamfaham sana huyu jamaa.

Alikuwa ametulia sana, control ilikuwa ndo nyumbani kwake. Rafu nyingi lakin hreapond chochote.

RI P mwamba.
 
Sevilla wamethibitisha kutokea kwa ajali iliyosababisha kifo cha mchezaji wao wa zamani Jose Antonio Reyes 35 yrs.

R.I.P Jose Antonio Reyes
 
Former Arsenal forward Jose Antonio Reyes has tragically lost his life, aged just 35.

The Spaniard was involved in a serious car accident, another of his ex-clubs Sevilla confirmed.


"We couldn't be confirming worse news," they said. "Beloved Sevilla star José Antonio Reyes has died in a traffic collision. Rest in peace."
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom