kamati ya ufundi
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 416
- 438
Joseph Mungai enzi za uhai wake
Habari za kushtusha toka chanzo cha kuaminika Hospitali ya Muhimbili kinathibitisha aliyewahi kuwa waziri wa Elimu ndugu Joseph Mungai na Mbunge wa Mufindi amefariki dunia.!
Geofrey Mungai mtoto wa Marehemu amesema marehemu alipelekwa hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kuanza kutapika mfululizo na kudhaniwa kwamba alikuwa amekula kitu kibaya.
Joseph James Mungai alizaliwa tarehe 24 Oktoba 1943
Habari za hivi Punde zilizotufikia na Kuthibitishwa na Mwanae Zinasema Joseph Mungai Amefariki dunia leo Jioni Majira ya saa kumi. Habari hizi zimethibitishwa na Mwanae Kitova