Benson Mramba
JF-Expert Member
- Oct 29, 2013
- 644
- 1,482
Aliyekuwa M/Kiti na Muasisi wa CHADEMA Wilayani Lushoto Ndugu Zuberi Dhahabu amefariki dunia jana majira ya saa saba mchana. Ndugu Dhahabu aliugua muda kwa mrefu tangu mwaka 2010 baada ya kupata ajali ya pikipiki akiwa katika Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010.
Kwa mujibu wa vipimo vya hospitali Ndugu Dhahabu alipata matatizo katika pingili zake za uti wa Mgongo hali iliyomfanya adhoofu kila siku tangu wakati huo. Alipatiwa matibabu katika hospital ya KCMC, Tumaini na baadae Muhimbili.
Ndugu Dhahabu anatarajiwa kuzikwa leo nyumbani kwake katika Kijiji cha Dochi Wilaya Lushoto
Mungu ailaze mahali pema peponi Roho ya Marehemu Mpendwa wetu. Amin
Kwa mujibu wa vipimo vya hospitali Ndugu Dhahabu alipata matatizo katika pingili zake za uti wa Mgongo hali iliyomfanya adhoofu kila siku tangu wakati huo. Alipatiwa matibabu katika hospital ya KCMC, Tumaini na baadae Muhimbili.
Ndugu Dhahabu anatarajiwa kuzikwa leo nyumbani kwake katika Kijiji cha Dochi Wilaya Lushoto
Mungu ailaze mahali pema peponi Roho ya Marehemu Mpendwa wetu. Amin