Sema simfahamu usiunganishe na wengineMungu amlaze mahali pema peponi, lakn jitahd hata kuweka picha mkuu mana hatumfahamu
He was a Solder. First Israeli military called Hagannah.He has never been an active soldier...but play major roles in Israel politics. Rip PM
Yap, na ndio maana wamevuka mengi na kufanya mengi mazuri. Ila hawa viongozi wenu wa Africa wanao his watakufa kesho huishia kushibisha matumbo yaona kuuza resource za nchi bila kujali vizazi vijavyo.Wanadhaniaga wataishi milele
nasikia yuko jehanum,Hivi Sharon yuko hai..?..just curious to know.
Huyu kwenye siasa hakuwa Nguli sana,huyu unguli wake upo kwenye mikakati na mipango.Kwaheri nguli wa siasa za Israel.