mwenezi
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 506
- 108
Ulitoa maisha maisha yako namali zako kutetea haki zawenzako. Tofauti na watu wengine ambao wakipata uwezi wakiuchumi wanajitenga na siasa za upinzani kwa hofu yakufirisiwa,wewe ulijipambanua.
Tabia yako ndiyo iliyofanya cdm musoma wakakufanya kuwa mwakilishi wao katika chumba cha majumuisho yakura 2010,ambapo waliibuka na ushindi wakura zote(rais mbunge na madiwani). Mpaka mauti yako, ulikuwa mjumbe wakamati tendaji ya cdm musoma,kama mwendelezo wa ujasiri na uzarendo wako.cdm will miss you4ever.
RIP ABDALAH ESOORE WASIIZA.
Tabia yako ndiyo iliyofanya cdm musoma wakakufanya kuwa mwakilishi wao katika chumba cha majumuisho yakura 2010,ambapo waliibuka na ushindi wakura zote(rais mbunge na madiwani). Mpaka mauti yako, ulikuwa mjumbe wakamati tendaji ya cdm musoma,kama mwendelezo wa ujasiri na uzarendo wako.cdm will miss you4ever.
RIP ABDALAH ESOORE WASIIZA.