Tanzania’s president promises more democracy, better investment opportunities

Mimi sifahamu sana sheria .... Demokrasia ni sawa lakini lazima iwe na mipaka natamani kujua ni sheria ipi ambayo imevunjwa na raisi kinyume na katiba ?
Bila shaka hujui maana ya Demokrasia. Demokrasia kama maana halisi ya demokrasia haina mipaka. Inatakiwa ifuatwe na itekelezwe kwa maana kamili ya demokrasia.

Nyie watanzania mbona mna uelewa mdogo hivyo kwa mambo mepesi? Demokrasia gani hiyo inayotekelezwa kiasi ya kwamba hadi mwaka 2019 bado mtu anaona fahari kusema mgombea wa chama x ameshindwa kujaza fomu kwa usahihi hivyo mgombea wa chama y amepita bila kupingwa! Demokrasia gani hiyo uionayo wewe?
 
Bila shaka hujui maana ya Demokrasia. Demokrasia kama maana halisi ya demokrasia haina mipaka. Inatakiwa ifuatwe na itekelezwe kwa maana kamili ya demokrasia.

Nyie watanzania mbona mna uelewa mdogo hivyo kwa mambo mepesi? Demokrasia gani hiyo inayotekelezwa kiasi ya kwamba hadi mwaka 2019 bado mtu anaona fahari kusema mgombea wa chama x ameshindwa kujaza fomu kwa usahihi hivyo mgombea wa chama y amepita bila kupingwa! Demokrasia gani hiyo uionayo wewe?
acha ujinga sasa wewe bado unaimani na hii nchi ?
 
Yaani kuna Watanzania wanashangaza sana Mkuu, wanaishi nchini kizembe sana bila ya kutaka kufuatilia/kuyajua yanayoendelea nchini halafu anakuja humu anataka watu wampe darasa!

Mjibu wewe kalumekenge. Unaokoteza.

Mtu mzima anauliza maswali ya kitoto. Mpaka leo hajui freedom of speech, association, assembly....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom