TANZANIA’s President John Magufuli, once hailed by western media as a “bulldozer of graft” has officially lost the battle against corruption!

Sijui na sitaki kuamini hivyo maana hiyo hela si kiasi cha mboga. Ila muda utaongea.
Naamini mambo yako tofauti
Mkuu hata mimi naamini mambo yako sawa, lakini uendeshaji wa serikali unanutaratibu wake, Imani hakuna kule.
Kujihakikishia kuwa matumizi yako kisheria kuna utaratibu wa kisheria , na ni ku audit matumizi yote bila kukosa.
 
Unanipa wasi wasi kama kweli umesoma na kuelewa kilichoandikwa...je unataka ataje majina yapi mengine wakati kila kitu kimehatamiwa na ofisi moja (mtu mmoja) kiasi hata wawakilishi wetu wako gizani. Taratibu zote za matumizi zilizo rasmi zimewekwa kando na zinazotumika ni zile zimehatamiwa na mtu moja.

I doubt...I really doubt if you do really understand what is at stake here. Kumbuka si pesa za serikali au za Magufuli, hapana, ni kodi zetu zinatumika bila kufuata taratibu na kama hujui ufisadi ni nini, huu ndio baba lao ufisadi; state sponsored ufisadi. Je bado unakumbuka kile kivuko cha mabilioni? Well, mhusika mkuu ndio leo ni mlinzi wa hazina yetu.
Huu ni ujinga tu. Bado naona kuna watu wanatamani saaana kusikia UFISADI kwa Magu.
Wameukosa sasa wanahaha kutafutiza kwenye report ya CAG.
Enzi za waibua Ufisadi makini hawakuwa wakitoa statements vague kama hizi. Walikuwa wanakuja na full evidence, Majina ya wahusika, Bank zilizohusika na transactions, hadi tarehe,saa, na dakika transactions zilipofanyika.
Siku hizi waibua UFISADI wanakuja na eti "mabilioni ya kivuko" hakuna details zozote!
 
Inaonyesha kwako ufisadi ni pale mtu mmoja anapotajwa. Kwa sasa kuna ufichwaji mkubwa wa taarifa, unategemea ifahamike kwa urahisi? Ni vyema ikawekwa wazi kwamba pesa zenye utata ni kiasi fulani na zilitumika kufanya vitu kadha wa kadhaa. Kama Tanzania ndio mnunuzi wa ndege lakini waliingia makubaliano na kampuni ya Boeing ya kutokutoa bei waliyonunua hiyo ndege, hapo huoni kuna shida? Uwanja wa ndege wa Chato unaona popote ukitajwa kwenye matumizi ya serikali?

Hata wakati wa JK miaka mitatu ya mwanzo alianza vizuri kisha Madudu yakaanza kuonekana. Kama rais wetu anaamini yeye ni mtu msafi kwanini hafuati taratibu za manunuzi tuliyojiwekea? Hizo taratibu anataka nani azifuate? Kwanini anakuwa mkali linapokuja suala la yeye kuhojiwa matumizi tena yeye utata? Kwa sasa ukweli utafahamika tu. Yale aliyotaka aaminiwe nayo tena kwa kufanya ukatili yatakaa wazi hayana muda.

Issue ya mjadala inayoonekana dhahiri hapa kulingana na hoja za CAG ni kutofuata taratibu za manunuzi.
Hapa tunaweza kujadiliana vizuri saaana! Kwa sababu hata hizo taratibu za manunuzi pia zingine ni tatizo ambalo limekuwa likiigharimu serikali pesa nyingi sana bila sababu za msingi. Mifano ipo mingi sana. Ndio maana sekta binafsi zinafanya vizuri kwa sababu wao hawazifuati hizo taratibu zilizojaa kona nyingi na ulaji mwingiii.
 
Muulize mtoto wa Dada baada ya kutoa pesa Hazina zilikunja kona wapi.
Alitoa hazina account ipi, lini na zikaenda account ya nani. Hivi ndivyo tulivyozoea kujulishwa na waibua UFISADI makini.
Sio hawa wanaoandika matamanio yao bila kufanya hata utafiti kidogo tu.
 
Mama wa Bukoba alitumbuliwa live tu kwa kutojua roadfund ni kiasi gani sembuse ripoti inayoonyesha wizi wa fedha za umma twaenda mwezi sasa tuliempa kura akalinde pesa zetu kimya hadi sasa,Takukuru kimya,Bunge kimya,vyombo vyote kimya,CAG aliyeibua wizi wamepewa misukosuko.Je unahitaji PhD kuelewa.Angekuwa na dhamira ya dhati acha ya majukwani kupambana na ufisadi tulitegemea hadi sasa moto unawaka wezi wako mahabusu.Wengine wako ndani mwaka wa Tatu sasa kwa tuhuma tu familia zao zikiteseka Lkn wezi wa mabilioni wako huru.Utasema kuna dhamira ya kupambana na ufisadi? Ufisadi na uhujumu uchumi ni fimbo ya kuwachapia wasio upande wao.
wezi wa mabilioni wa kufikirika? mbona hawatajwi wameiba sh ngapi, lini? kupitia account ipi na kwenda account ipi?
weka details hapa tumpasie MAGU
 
Kwa hisani ya SAUTI KUBWA - Ansbert Ngurumo

Magufuli loses battle against corruption!

TANZANIA’s President John Magufuli, once hailed by western media as a “bulldozer of graft” has officially lost the battle against corruption. While he enjoys branding himself as a corruption fighter, audit reports show that he is presiding over a corrupt government that spends billions of public funds unscrupulously, with no regard to laws and laid down procedures.

Worse still, his government keeps working to block or silence those attempting to find out and publicise findings about grand corruption in his regime – particularly deficiencies associated with his leadership judgements.

The latest audit report by the Controller and Auditor General (CAG) reveals that during the year 2017/2018, the Magufuli government squandered trillions of shillings through dubious deals and transactions, including illegal procurements and misappropriation through the country’s treasury.

In total, Tsh 1.3 trillion (equivalent to $562 million, was “embezzled.” Out of this amount, the treasury faces an audit query amounting to Tsh 885 billion (equivalent to $382.7m). Tsh 432.7 billion, equivalent to $188m, was embezzled through procurement of goods and services from five entities whose suppliers were neither approved nor legally registered.

This is not the first time the CAG’s report queries the treasury over misappropriation of public funds. Last year, the audit raised the same query over Tsh 751 billion (equivalent to $324.6m) embezzled in the year 2016/2017.

The CAG writes emphatically about this: “I reiterate my prior year recommendation, and ( I am) advising accounting officer to keep refraining from diversion of funds, and adhere to expenditures that only fall within the approved budget and the Government Financial Statistics (GFS) codes. Whenever such diversion is inevitable and in line with authority, reallocation warrant has to be sought in conjunction with Section 41 of the Budget Act No. 11 of 2015.”

In 2018, the Public Accounts Committee (PAC) of the National Assembly, having read the CAG’s report for the year 2016/17, discovered that Tsh 1.5 trillion ($640m) was “missing.” The government did not have any reasonable explanation.

The parliament ordered a re-audit of the same. When the re-audit report was presented in February 2019, it revealed further anomalies, with the missing funds shooting to Tsh 2.4 trillion ($1.03bn).

Informed sources within the government say authorities are obviously exasperated by the CAG’s reports, and they are behind a current barrage of accusations by the National Assembly Speaker, Job Ndugai, against the CAG Prof. Mussa Assad.

It is understood that some procurement is executed by direct orders from the president, whose nephew, Dotto James, permanent secretary for the ministry of finance, is the treasurer general.

On several occasions, Magufuli has said publicly that he personally ordered the purchase of air crafts, on advice from Rwanda’s President Paul Kagame, against budgetary approval. A few months ago, he said in a public address that the air crafts, managed by Air Tanzania Corporation Limited (ATCL), had made huge financial profits.

But reports reveal that for the past three years, ATCL has incurred massive losses. In 2014/15, the losses amounted to Tsh 94.3 billion. In 2015/16, it made losses to the tune of Tsh 109.2 billion, while in 2017/18, the losses were Tsh 113.7 billion.

Reacting to incessant audit queries, and in effort to avoid further audit, the government is now rearranging the government procurement unit, putting it in the president’s office. Sources say the move is being executed following “orders from above,” but it will definitely cause further embarrassment and bring about more scandals against the president as he becomes the procurer-in-chief.

Magufuli enjoys working without being monitored or audited; and he hates criticism of any kind. This attitude explains his government’s brutality and hostility against critical media, opposition parties, objective academic researches, and strongly opinionated civil leaders. His most recent action was to block publication of an annual report by IMF on the state of the economy in Tanzania.

By this behaviour, it is obvious that Magufuli has lost the battle against corruption. He has moved miles away from the integrity that he was once, wrongly, of course, associated with. Some circles within his own government point out that there has never been a more corrupt regime before him.

Basi mimi nawasahuri hawa ndugu zetu watuletee mtu agombee Urais mwakani, inaonekana wanatuthamini na kutupenda sana!
 
Mkuu hata mimi naamini mambo yako sawa, lakini uendeshaji wa serikali unanutaratibu wake, Imani hakuna kule.
Kujihakikishia kuwa matumizi yako kisheria kuna utaratibu wa kisheria , na ni ku audit matumizi yote bila kukosa.

Nakubaliana kabisa nawe. Kuna sheria na taratibu. Na zipo kwa sababu maalumu. Lets call spade a spade....kuvunja sheria ni kuvunja sheria na lazima kiwajibika. Kuiba ni kuiba na hilo ni tatizo lingine tena kubwa sana. Linajirudia rudia. CAG kwa nia njema anataka uwajibikaji. Kazi ya wawakilishi wa wananchi sio kutulisha matango pori. Ni kuyafanyia kazi kwa undani yaliyoletwa mbele yao na kuweka kila kila wazi kwa maslahi mapana ya nchi yetu.
Nchi haitaweza kufika kama kila wakati tunaendeshwa na mihemko.
Mfano mdogo tu...Marekani, Trump kwenye ripoti ya Muller walisema juu juu alijaribu kuzuia wao wasifanye kazi. Senate wakaenda mbali zaidi...tupeni ripoti nzima isiyohaririwa. Tuisome halafu tutaamua kama impeachment ina nafasi au tuachane nayo.
That is what I believe MPs should do...twitting wont make them new heroes...we want concrete work...well done works. Sio mihemko ambayo ndani yake inabeba siasa zaidi ya uhalisia
 
wezi wa mabilioni wa kufikirika? mbona hawatajwi wameiba sh ngapi, lini? kupitia account ipi na kwenda account ipi?
weka details hapa tumpasie MAGU
Kama ilivyokuwa kwa escrow,epa,na kadhalika.
Hawa wamebaki kufanya uchonganishi kuliko siasa safi.
Shame on all of them.
 
Nakubaliana kabisa nawe. Kuna sheria na taratibu. Na zipo kwa sababu maalumu. Lets call spade a spade....kuvunja sheria ni kuvunja sheria na lazima kiwajibika. Kuiba ni kuiba na hilo ni tatizo lingine tena kubwa sana. Linajirudia rudia. CAG kwa nia njema anataka uwajibikaji. Kazi ya wawakilishi wa wananchi sio kutulisha matango pori. Ni kuyafanyia kazi kwa undani yaliyoletwa mbele yao na kuweka kila kila wazi kwa maslahi mapana ya nchi yetu.
Nchi haitaweza kufika kama kila wakati tunaendeshwa na mihemko.
Mfano mdogo tu...Marekani, Trump kwenye ripoti ya Muller walisema juu juu alijaribu kuzuia wao wasifanye kazi. Senate wakaenda mbali zaidi...tupeni ripoti nzima isiyohaririwa. Tuisome halafu tutaamua kama impeachment ina nafasi au tuachane nayo.
That is what I believe MPs should do...twitting wont make them new heroes...we want concrete work...well done works. Sio mihemko ambayo ndani yake inabeba siasa zaidi ya uhalisia
Hapa nakubaliana nawe kwa 101%.
Bunge linabidi likae mguu sawa na kuhakikisha katiba hudusan matumizi ya serikali, yako kisheria

Kutofuata katiba is an impeachable offence, sawasawa na uhujumu uchumi, kama si zaidi ya hapo.
 
Hapa nakubaliana nawe kwa 101%.
Bunge linabidi likae mguu sawa na kuhakikisha katiba hudusan matumizi ya serikali, yako kisheria

Kutofuata katiba is an impeachable offence, sawasawa na uhujumu uchumi, kama si zaidi ya hapo.

Badala ya hawa wanaosema kuna ufisadi kuuonyesha uko wapi, wanachukua an abstract from the report, with no or little information to support what they claim has happened. Natural justice requires more than mere words. Ndio maana hapo nyuma, kwenye hizi hizi siasa zetu, kuna potential candidate wa uraisi tuliaminishwa ni fisadi mkubwa. Hakuna aliyeleta ushahidi wowote mpaka Leo zaidi ya maneno maneno.
Tuvuke kwenye hii level ya stories. Twende kwenye level nyingine ya kufanya kazi kweli kweli kwenye yale tunayoyaamini. Nchi hii tumejaa story tellers tu
 
Another crap & bull shit quote,
Mnaishia kujibu kihuni huni humu.
Kama mna uhakika na mnachoita upigaji,ni kwa nini msiandike na kutuwekea wazi kama alivyofanya Dk slaa pale mwembeyanga?
Shame on you.

#tunasimama na JPM 2020-2025
Kwani report kakabidhiwa nani? Au una maanisha nini kuwekwa wazi na nani unamtaka akuwekee wazi? Kama huu upigaji haukusu basi wewe endelea kusifu na kuabudu
 
CAG nae kaishia kuwa ansbet ngurumo.
Kachukua taarifa zingine toka taarifa za utouh na ku zi update halafu analeta mikanganganyiko tu,huyu mzee alistahili kwenda kuwa sheikh huko bakwata tu.
Mkuu kashifa za ufisadi na kukurupuka wa bosi wako dates back to when he was a minister in different ministries 1. Kivuko kibovu : ujenzi na uchukuzi 2. Malipo kwa makandarasi hewa : wizara ya ujenzi 3. Ufisadi wa kujigawia nyumba za serikali : wizara ya ujenzi 4. Meli ya wachina : wizara ya kilimo na uvuvi . historia yake mbovu inajionesha tangu akiwa waziri . hivyo haya yanayoendelea hayashangazi .
 
Kwa jinsi mambo yalivyo, kuiba ni kuweka kwenye personal issues zangu....kununua treni ya umma bila idhini sio kuiba... ni kuvunja sheria ya manunuzi
Jnaongelea sheria au Accounting hapa hamna bla bla ni pesa . CAG ni accountant kwanza 😂
 
Jnaongelea sheria au Accounting hapa hamna bla bla ni pesa . CAG ni accountant kwanza 😂

Tatizo letu watanzania tunajiona tumesoma sana na tunajua sana. Ila wezi na wanaokula Tanzania ndio hao hao wanaojidai ni wasomi. Haijalishi umesomea au una professional gani, hebu tuonyeshe kwanza nini kiko tofauti from you. Wasomi wamekuwa matapeli wakubwa dhidi ya wanyonge
 
Its NOT speculation sir.
Who audits the illegally spent monies?
If one says, for example, he has bought a Bombadier for $100million against parliamentary approval, what if the REAL price is $85million?
To authenticate this expenditure, it must be audited.

One can see the source of the sudden and vitriolic anger angaist the CAG.

Kuna uwezekano wazee wamepiga?
Na anaogopa nini kushirikisha Bunge, ili hali Bunge wapo akina Musukuma na Mlinga..watsema tu 'ndiooo' na hata kama hawajasikika Mh Kipaza atasema 'waliosema ndio wameshinda'
 
wezi wa mabilioni wa kufikirika? mbona hawatajwi wameiba sh ngapi, lini? kupitia account ipi na kwenda account ipi?
weka details hapa tumpasie MAGU
Hadi Leo kimya ingekuwa si kweli pangechimbika
 
Alitoa hazina account ipi, lini na zikaenda account ya nani. Hivi ndivyo tulivyozoea kujulishwa na waibua UFISADI makini.
Sio hawa wanaoandika matamanio yao bila kufanya hata utafiti kidogo tu.

Report ya manunuzi ya ndege iko wapi kama ni watu clean,hofu ya nn kuwanyima IMF report?
 
Mkuu kashifa za ufisadi na kukurupuka wa bosi wako dates back to when he was a minister in different ministries 1. Kivuko kibovu : ujenzi na uchukuzi 2. Malipo kwa makandarasi hewa : wizara ya ujenzi 3. Ufisadi wa kujigawia nyumba za serikali : wizara ya ujenzi 4. Meli ya wachina : wizara ya kilimo na uvuvi . historia yake mbovu inajionesha tangu akiwa waziri . hivyo haya yanayoendelea hayashangazi .


Hapo shida IPO kwa waliopoteza mda wao kuchagua. Tuzo za ufisadi za muhusu.
 
31 Reactions
Reply
Back
Top Bottom