Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,169
- 23,860
Mkuu hata mimi naamini mambo yako sawa, lakini uendeshaji wa serikali unanutaratibu wake, Imani hakuna kule.Sijui na sitaki kuamini hivyo maana hiyo hela si kiasi cha mboga. Ila muda utaongea.
Naamini mambo yako tofauti
Kujihakikishia kuwa matumizi yako kisheria kuna utaratibu wa kisheria , na ni ku audit matumizi yote bila kukosa.