Japhari Shabani (RIP)
R I P
- Jan 16, 2007
- 721
- 176
Kutokana na matukio mengi na matatizo yaliyojitokeza katika uchaguzi huu 2010, nashauri tume hii ivunjwe na wizara husika wafikishwe mahakamani kwa uzembe au makusudi kwa maagizo ya CCM.
Hii itakua fundisho kwa watakaofuatia.
Kwa uzembe au makusudi wamesababisha masumbufu na kwa baadhi ya wapiga kura kutotimiza haki yao hiyo muimu aidha kwa kuhairisha uchaguzi kwa baadhi ya majibo utalighalimu serekali mamilioni ya pesa kupanga uchaguzi huo upya.
Ukichunguza mtililiko wa matukio kuanzia uchapaji wa karatasi za kupigia kura,idadi ya karatasi n.k.Hainiingii kichwani kwa tume ambayo iko kwa ajiri hiyo wasijue idadi kamili ya wapiga kura katika jimbo husika? Au kuchanganya karatasi zipi ziende wapi? Au nembo za wagombea ni wazi kulikua na samples za karatasi hizo kabla ya kuchapishwa.
Hatua kali zinapashwa kuchukuli kwa vingozi wa tume n,waziri muhusika na wote waliohusika na mchapishaji kama kosa ni lake afidie gharama zitakazotokana na kurudiwa uchaguzi.
Vinginevyo itatufanya kuamini au kuthibitisha imani yetu kwa mchezo mchafu wa CCM.
MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Hii itakua fundisho kwa watakaofuatia.
Kwa uzembe au makusudi wamesababisha masumbufu na kwa baadhi ya wapiga kura kutotimiza haki yao hiyo muimu aidha kwa kuhairisha uchaguzi kwa baadhi ya majibo utalighalimu serekali mamilioni ya pesa kupanga uchaguzi huo upya.
Ukichunguza mtililiko wa matukio kuanzia uchapaji wa karatasi za kupigia kura,idadi ya karatasi n.k.Hainiingii kichwani kwa tume ambayo iko kwa ajiri hiyo wasijue idadi kamili ya wapiga kura katika jimbo husika? Au kuchanganya karatasi zipi ziende wapi? Au nembo za wagombea ni wazi kulikua na samples za karatasi hizo kabla ya kuchapishwa.
Hatua kali zinapashwa kuchukuli kwa vingozi wa tume n,waziri muhusika na wote waliohusika na mchapishaji kama kosa ni lake afidie gharama zitakazotokana na kurudiwa uchaguzi.
Vinginevyo itatufanya kuamini au kuthibitisha imani yetu kwa mchezo mchafu wa CCM.
MUNGU IBARIKI TANZANIA.