Tanzania's House Speaker, Job Ndugai's treatment in India sets the world record as the most expensive EVER for a single medical procedure!

Hili jizi limekaa kwenye kikao cha Bunge karibu miezi mitatu lakini hakuona umuhimu wa kuijadili ripoti ya CAG kwa sababu tu kuna upigaji wake wa kutisha wa $12 millions ambao uliidhinishwa na kubwa la majizi, dikteta na nduli wa Ikulu. Hata woga au aibu hawana hawa wahuni kwenye kuifilisi nchi.

kuna uzi wangu wa CAG aongezewe ulinzi, ngoja niufufue
 
Huyu Spika wa CCM aingizwe kwenye Geuness World Book wasisahau kuambatanisha na ile picha aliyempiga mgombea mwenzake rungu la kichwa
Wamiliki wa Guinness Book of World Records bado wanasubiri tu ithibitishwe kama kweli hela zote hizo zililipwa kihalali na hayo malipo yalipokelewa na hospitali la sivyo kutakuwa na maswali yanayohitaji majibu. Bahati yao mafisadi ni kuwa Wahindi nao ni wale waleeee, wamekuwa wakifaidika kula na vipofu kama sisi tokea kipindi kirefu.

Hata hivyo swali bado litakuwa ni kutaka kuujua ugonjwa wenyewe na matibabu hasa yaliyofanyika hadi USD 12,000,000 zikayeyuka hivi hivi kama mchezo.
 
I hope his excellence will take this into consideration.
Oh God,save us.
 
This medical procedure cost probably held the world record until the year 2017 when Tanzania's speaker Hon. Job Ndugai underwent an undisclosed procedure in India for an undisclosed ailment and the medical bill is claimed to be a whopping $12,000,000!
Hii hela haitoshi kujenga vituo vya afya wilaya kadhaa kwenye nchi masikini kama Tanzania?
 
Kama alikuwa anatetea bagamoyo mradi wa kifisadi basi hata hiyo organi itakuwa ni ya kifisadi ichunguzwe maana hivyo ni vimelea vya awamu ya nne
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Acha kujitoa ufahamu kiasi hiki!!! Tangu lini mwizi, mbadhirifu na fisadi akastahili kuwa hazina ya Taifa!? Hatuhitaji kuwa na hazina ya Taifa ya wahuni, wezi na mafisadi.

Jamani mlitaka afe ? Nani angeendesha bunge kwa waledi !? Ndungay hazina ya taifa
 
Kwakuwa anamsujudia Mungu wa Tanzania yeye hawezi kuhojiwa na yoyote.
Ngoma 'draw'.
Mwenzie kajenga 'International airport' porini, $17 milioni.

Ndugai katika viongozi wote ndio angekuwa mbele kuonyesha 'empathy' kwa Lissu, kwa sababu anajua shukrani kubwa anazotakiwa kuilipa Tanzania. Lakini kichwani ni patupu kabisa!

Bado siwezi kuamini kamwe kwamba ugonjwa wake umekuwa siri kiasi kile. Ni watu tu hawajapenda kuchimbua. Wakitaka ni kesho tu kila kitu kinakuwa nje.
 
Makonda ameamua kumnyoosha vzr Ndungai,safi sana uzuri wote ni wana CCM hao.
 
Ndugu yangu dola 12,000,000 ni sawa na Tsh. 30,000,000,000 na imetumika kutibu ugonjwa usiofahamika! Anayedaiwa kutibiwa, kwa matendo yake, anaonekana kama vile sasa ndio anahitaji matibabu kweli kweli!
Pengine hiyo ilikuwa ni gharama za kuhamishia ofisi ya Bunge huko India si matibabu peke yake.
 
Bila shaka zinajumuisha gharama za malazi, chakula, posho ya kijikimu mgonjwa na msafara wake. Lakini bado ni gharama kubwa; colossal amount of money.
 
Back
Top Bottom