rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,190
- 20,156
zile biashara zake za malori zilizokuwa zinamuingizia pesa maradufu zimeishia wapi, wakati ule anatuhumiwa kula rushwa alidai ana biashara ya malori inayomuingizia pesa nyingi
Hivi unajua kusoma kilichoandikwa na kukielewa?Umejuaje kwamba yeye ni masikini mkuu amekuambia? Anaweza kuwa anaichukua mikopo lakini yuko vzr financially. Halafu pia, yeye kuichukua mikopo ndiyo ulimwengu wake huo ndicho anachokifahamu hakuna sbb ya kumshambulia kwani hawezi kuwa zaidi ya anachokifahamu period.
shemeji upo?Wamfilisi.
Wewe waandika.Hivi unajua kusoma kilichoandikwa na kukielewa?
Maandishi yako hapa yanaonyesha kwamba hata kama unajua kusoma lakini huna uwezo wa kuelewa unachokisoma.
EeenHeee, hili nalo unataka tulijadili?Wewe waandika.
Nikusaidie kdg hakuna neno la kiswahili 'kuonyesha' neno sahihi ni 'kuonesha' bila shaka umeona tofauti kati ya maneno hayo mawili..