Tanzania's fashion industry is doing wonders, cheki vipaji hivi.

Leornado

JF-Expert Member
Nov 12, 2010
1,533
196
31487_122756191085004_100000518720650_231184_7635729_n.jpg


39123_143998132294143_100000518720650_341321_1194830_n.jpg


180833_193301477363808_100000518720650_641544_4975473_n.jpg


37209_1633702449557_1446564324_1646754_7755070_n.jpg



Just to mention the few, ni fashionista RIO, JOKATE, na FIDE aka GAGA.

Kwa kweli wabunifu wa ndani wanajiahidi. Big up
 
Big up kwao ila 2nataka kukua ktk kiwango flani cha mitindo(((waka 2wakilishe vyema hadinje yanchi,wapunguze skendo chafuchafu))).
 
31487_122756191085004_100000518720650_231184_7635729_n.jpg


39123_143998132294143_100000518720650_341321_1194830_n.jpg


180833_193301477363808_100000518720650_641544_4975473_n.jpg


37209_1633702449557_1446564324_1646754_7755070_n.jpg



Just to mention the few, ni fashionista RIO, JOKATE, na FIDE aka GAGA.

Kwa kweli wabunifu wa ndani wanajiahidi. Big up

Duuh, ukosefu wa ajira ni kitu kibaya sana, unaweza kujikuta unafanya kitu ambacho si kipaji chako!
 
WELL,umodel,fashionist or whatever we call it,naona mafanikio ni makubwa but je wanachopata ni publicity na peanut money AU kuna wanaofaidika na bank balance zilizonona-because the way i see it naona wengi wao ni just being in the spotlight na hand to mouth existence
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom