Tanzania's coast line

Haika

JF-Expert Member
Mar 3, 2008
2,348
559
Kuna sheria yoyote ya nchi kuhusu pwani zetu? Nimesoma makala ya cynthia Stacey, Atatushangaa watanzania,
Hivi inakuwaje tunaona fahari kujenga supermarket pwani?
mimi nashangaa sana. Ina maana bado tunadhani majengo mazuri ndio fahari pekee ya mji? Zaidi ya hapo mji haujaendelezwa?
Kwa kifupi siungi mkono kuendelezwa kwa pwani ya eneo la bandari ya Dar es Salaam, kwa u jenzi, hata kama sasa wanakaa vibaka.
bora itafutwe namna nyingine.
Au basi itengwe eneo ambalo mandhari si hoja, bali pesa.
Ila tukubaliane kuwa maeneo mengine yasiguswe na majengo marefu kabisa.
Hivi hawa watu wenye vibali vyakujenga huko wamevunja sheria au wanavyo vinavyowaruhusu wavunje sheria?
 
Kuna sheria yoyote ya nchi kuhusu pwani zetu? Nimesoma makala ya cynthia Stacey, Atatushangaa watanzania,
Hivi inakuwaje tunaona fahari kujenga supermarket pwani?

mimi nashangaa sana. Ina maana bado tunadhani majengo mazuri ndio fahari pekee ya mji? Zaidi ya hapo mji haujaendelezwa?
Kwa kifupi siungi mkono kuendelezwa kwa pwani ya eneo la bandari ya Dar es Salaam, kwa u jenzi, hata kama sasa wanakaa vibaka.
bora itafutwe namna nyingine.
Au basi itengwe eneo ambalo mandhari si hoja, bali pesa.
Ila tukubaliane kuwa maeneo mengine yasiguswe na majengo marefu kabisa.
Hivi hawa watu wenye vibali vyakujenga huko wamevunja sheria au wanavyo vinavyowaruhusu wavunje sheria?


..kwao wamefanyaje? anafikiri hatujui?
 
off course anajua tunajua kuwa uingereza wamejenga baadhi ya fukwe, je inapendeza?
kwa maoni yako wewe mwenyewe.
 
Kuna sheria yoyote ya nchi kuhusu pwani zetu? Nimesoma makala ya cynthia Stacey, Atatushangaa watanzania,
Hivi inakuwaje tunaona fahari kujenga supermarket pwani?
mimi nashangaa sana. Ina maana bado tunadhani majengo mazuri ndio fahari pekee ya mji? Zaidi ya hapo mji haujaendelezwa?
Kwa kifupi siungi mkono kuendelezwa kwa pwani ya eneo la bandari ya Dar es Salaam, kwa u jenzi, hata kama sasa wanakaa vibaka.
bora itafutwe namna nyingine.
Au basi itengwe eneo ambalo mandhari si hoja, bali pesa.
Ila tukubaliane kuwa maeneo mengine yasiguswe na majengo marefu kabisa.
Hivi hawa watu wenye vibali vyakujenga huko wamevunja sheria au wanavyo vinavyowaruhusu wavunje sheria?


Agreed Haika!
Ila swali lako ni gumu sana! Maana Kikwete alitoa jibu kwenye luninga kuhusu waliovamia fukwe Dar es Salaam; haki ya nani nilikoma mwenyewe.
Yeye alihitimisha kwa kusema "wajinga ndio waliwao". Kwamba hao waliovamia fukwe ni wajanja na wahuni fulani tu, na akakubali kwamba sheria zipo.

Huyo ndiye mkuu wa kaya!




.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom