Tanzanians need to receive funds via PayPal

Anacholalamikia huyu bw. Daniel Schulman sikielewi!(Pengine kwa kuwa maisha yangu hayahitaji huduma ya paypal)
Mleta mada ungefafanua zaidi umuhimu wa hiyo benki ya paypal ningeelewa na kusign hiyo petition.
Ngoja Nimsaidie Kidogo Mleta Mada...

Mwaka Juzi Wakati Nafanya Online Shopping "Ebay", Nilikua Nanunua Vifaa Flani Kwa Ajili Ya Kuviuza Kwa Wanafunzi Wa Project Wa Vyuo Wa Vyetu. Hivi Vifaa Vilikuwa Nilazime Vipatikane Ili Hawa Wanafunzi Wa Sayansi Waeze Kutunukiwa Shahada Yao Na Vilikuwa Havipatikani Tz Zaidi Ya Maduka Ya Nje Ya Nchi (Na Hapa Sasa Ndio Utaona Umuhimu Wa Manunuzi Online)

Sasa Hili Uweze Kufanikiwa Na Hili Unahitaji PayPal Account. Account Hii Inakuwa Linked Na Account Ya Bank Yako Na Pesa Inakuwa Inakatwa Huko.

Hii Kampeni Hata Mimi NaiSupport Mana Nakumbuka Wakati Nafanya Manunuzi Yule Seller Alinitumia Mzigo PayPal Wakachukua Pesa Yangu Wakampa Seller, Ule Mzigo Haukufika Hivyo Nikawalalamikia Wale Seller Ikabidi Wani'Refund Pesa Yangu Lakini Haikufika Kwenye Akaunt Yangu Ya Benki.

Tatizo Likawa Ndio Hilo Kwamba PayPal Account Sends Money But Can Not Recieve.

Umeelewa Sasa Kuwa Fursa Nyingi Za Watanzania Zinapotea Online Kwa Sababu Ya Hiki Kitu.
 
Ngoja Nimsaidie Kidogo Mleta Mada...

Mwaka Juzi Wakati Nafanya Online Shopping "Ebay", Nilikua Nanunua Vifaa Flani Kwa Ajili Ya Kuviuza Kwa Wanafunzi Wa Project Wa Vyuo Wa Vyetu. Hivi Vifaa Vilikuwa Nilazime Vipatikane Ili Hawa Wanafunzi Wa Sayansi Waeze Kutunukiwa Shahada Yao Na Vilikuwa Havipatikani Tz Zaidi Ya Maduka Ya Nje Ya Nchi (Na Hapa Sasa Ndio Utaona Umuhimu Wa Manunuzi Online)

Sasa Hili Uweze Kufanikiwa Na Hili Unahitaji PayPal Account. Account Hii Inakuwa Linked Na Account Ya Bank Yako Na Pesa Inakuwa Inakatwa Huko.

Hii Kampeni Hata Mimi NaiSupport Mana Nakumbuka Wakati Nafanya Manunuzi Yule Seller Alinitumia Mzigo PayPal Wakachukua Pesa Yangu Wakampa Seller, Ule Mzigo Haukufika Hivyo Nikawalalamikia Wale Seller Ikabidi Wani'Refund Pesa Yangu Lakini Haikufika Kwenye Akaunt Yangu Ya Benki.

Tatizo Likawa Ndio Hilo Kwamba PayPal Account Sends Money But Can Not Recieve.

Umeelewa Sasa Kuwa Fursa Nyingi Za Watanzania Zinapotea Online Kwa Sababu Ya Hiki Kitu.
Asante, nimepata mwanga kiasi.
 
PayPal claimed that Tanzanian laws and regulations do not comply with international laws and regulations - the main reason Tanzanians cannot receive money via PayPal. Tanzania's financial laws and regulations are open for public scrutiny at Bank of Tanzania's website. I asked PayPal to point out the exact Paragraph or line that is flawed. They didn't want to point out claiming that it that was against their policies.
So I have added Bank of Tanzania (the body responsible for Tanzania's financial laws and regulations) to this petition's decision makers. Because I can understand PayPal cannot discus the specifics with an individual (like me) but I am sure they can negotiate with Bank of Tanzania (BOT). I am convinced that BOT and PayPal can make it work.
 
Yaani Watanzania tunabakia nyuma kwa kila kitu. Wakati dunia inakimbia siye tunachechemea tu. Ni aibu iliyoje unapokuwa unafanya biashara online unamwambia mtu huwezi kupokea malipo kwa paypal?

Shame! Shame!, wanaohusika waliangalie hili, ni kwa kiasi gani wanakosesha watu mapato yao, na biashara kuhamia kwingine.
 
Naunga mkono hoja,juzi juzi nililipia CD za masomo fulani na CD zikawa shipped from US kuja TZ.
Kwa bahati mbaya mzigo ukapotela Antwep Belgium,seller akakubali kunirejeshea pesa zangu lakini cha ajabu ikashindikana kwa sababu mfumo huu TZ haijaukubali.
 
Back
Top Bottom