Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,345
- 45,542
Mungu awasaidie wote duniani wanaopata madhila haya.
Huyo mtoto hakustahili kuwa na maisha hayo ila tamaa za watu ndio zinawafikisha hapo.
Utawala ukiwa wa kibabe nchi haitasonga mbele kwa vita hata siku moja bali suluhu na kuamua kuishi in harmony
Utawala wa kibabe mwisho wake ni mbaya sana kwani hata Assad leo hawezi hata kwenda kuangalia watu wanavyoangamia kwa mabomu, what's the point to be a leader
Mungu awasaidie wote walio kwenye utawala dhalimu
Yemen leo hapakaliki Iraq ndio usiseme Sudan bado taaban
Somalia
Yaani kila sehemu ni taabu tupu
Tatizo la vita kama hivi huwa vinaanza taratibu na huwa havina mwisho kwani vikundi vinajitokeza kila siku kwa sababu ya dhiki na ukosefu wa mahitaji ya kila siku.
Mwanzo walitegemea yataisha haraka lakini tumbo likisikia njaa wanafanya kila kitu to stay alive
Vita nimeziona live bora usikie tu.
Watu wameamua baada ya udhalimu lakini imekuwa ngumu kuisha.
Huyo mtoto hakustahili kuwa na maisha hayo ila tamaa za watu ndio zinawafikisha hapo.
Utawala ukiwa wa kibabe nchi haitasonga mbele kwa vita hata siku moja bali suluhu na kuamua kuishi in harmony
Utawala wa kibabe mwisho wake ni mbaya sana kwani hata Assad leo hawezi hata kwenda kuangalia watu wanavyoangamia kwa mabomu, what's the point to be a leader
Mungu awasaidie wote walio kwenye utawala dhalimu
Yemen leo hapakaliki Iraq ndio usiseme Sudan bado taaban
Somalia
Yaani kila sehemu ni taabu tupu
Tatizo la vita kama hivi huwa vinaanza taratibu na huwa havina mwisho kwani vikundi vinajitokeza kila siku kwa sababu ya dhiki na ukosefu wa mahitaji ya kila siku.
Mwanzo walitegemea yataisha haraka lakini tumbo likisikia njaa wanafanya kila kitu to stay alive
Vita nimeziona live bora usikie tu.
Watu wameamua baada ya udhalimu lakini imekuwa ngumu kuisha.