ze kokuyo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 7,418
- 9,599
Hahahahahahaha....... Watu tunatokwa na uji ww unashangaa povu.Hahahahaa povu lote hilo pole. Wapi faizally kiboko ya mange.
Hahahahahahaha....... Watu tunatokwa na uji ww unashangaa povu.Hahahahaa povu lote hilo pole. Wapi faizally kiboko ya mange.
AmeiDeactivate account yak ya insta.Kafuta kila kitu bibie mange huko insta sijui kapatwa na nini....
Hahahahahahaha....... Watu tunatokwa na uji ww unashangaa povu.
Asante.Pole
Mkuu umenena. US usimguse mke au watoto utaenda Segerea.Wazungu sio kama waswahili, as long as mke anampenda, na anamhudumia, hawaingilii hobi au vitu mke anavyovipenda. Second Ukimwacha Mwanamke mwenye watoto wadogo US, seriali inavuta percentage fulani kwenye mshahara au mapato yaho straight na Kumpa huyo mama mpaka mtoto agikie miaka 21.
Na huchomoki hapo labda uthibitishe huyo mama ni Kichaa, mtumia madawa au analeta hatari kwa mtoto/watoto. Hivyo kuachwa msidhani ndio Kalost maisha. Na ukiwa na nyumba na Watoto na Mke ukamwacha, Unasepa wewe unawaachia nyumba Period! Wanawake wanalindwa hasa US na Rightfully so!
Mkuu umenena. US usimguse mke au watoto utaenda Segerea.
bora iwe hivyo maana insta bila mange hainogi bhana....ingawa sometimes anabore lkn most of the time anamwaga factIla me Mange simwamini kabisa itakua kakaa kimya anatuchora tu.Ila am 70% sure kwamba she's alright.
Pesa wapi wewe angekua hivyo kimasikini masikini tu pesa za uyo Mzungu bana unamlazimishia utajiri uyo mange kimavisasa huyu hampendi Zari. Huyu ni muke ya Mzungu mweny pesa. Upo hapo.
It's another page of her life. She need to be calm,apologize to her husband, her friends and her INLAWS as well.Other wise,it is high time for her to regretInasemekana ndoa ya Mange Kimambi imefika ukingoni. Ni habari ya kusikitisha sana kwa wapendwa wake ila kwa wengine ni furaha isiyo na kifani
Sio kweli Us Kuna Umri wa kisheria wa Watoto, Miaka 18 ni umri wa kuwajibika, 21 Ni umri kamili wa utegemezi, Ukiwa chini ya miaka 21 bado una haki ya kuwa chini ya ulezi wa mzazi na anawajibika some how, baada ya miaka 21 hawajibiki kwa lolote na hata ukitaka kuadapt mtoto unaruhusiwa, lakini huruhusiwi kuadopt mtoto ukiwa na umri chini ya 21.Mwanamme wake kashtuka. ..eti kaanza shule na anaishi kwa wazazi wake. ..sasa bills nani atalipa? Itabidi ajiunge na well fares. . $200 kwa wiki. ..na pia umekosea miaka ya mtoto mpaka afikishe 18 sio 21. 18 ni adult. ..21 ndio anarhusiwa kunywa POMBE. SHERIA AMBAZO ZIMEWEKWA katika nchi TUSIZI ABUSE. ..HIVI HIVI MTU ALIEONEWA MOLA ANAMPA MBINU NZURI ZA KUCHOMOKA
Mange ana page mbili zinazofahamika ni za kwake moja kafanya kuidisable na nyingine iko wazi sasa hivi kuna page nyingi zinafunguliwa kwa jina lake ili kutafuta follows!Kumbe account zake zipo hacked na kufutwa naona kafungua account mpya akilalamika bila gazeti(caption fupi fupi za uoga)
EHH. .HAYANIHUSU TENA. ..WATAJIJUSio kweli Us Kuna Umri wa kisheria wa Watoto, Miaka 18 ni umri wa kuwajibika, 21 Ni umri kamili wa utegemezi, Ukiwa chini ya miaka 21 bado una haki ya kuwa chini ya ulezi wa mzazi na anawajibika some how, baada ya miaka 21 hawajibiki kwa lolote na hata ukitaka kuadapt mtoto unaruhusiwa, lakini huruhusiwi kuadopt mtoto ukiwa na umri chini ya 21.
mkuu unaweza kuta siyo yeye maana watu hawakawii kutake advantage ya kupata followers...Kumbe account zake zipo hacked na kufutwa naona kafungua account mpya akilalamika bila gazeti(caption fupi fupi za uoga)
mkuu unaweza kuta siyo yeye maana watu hawakawii kutake advantage ya kupata followers...
Mange ana page mbili zinazofahamika ni za kwake moja kafanya kuidisable na nyingine iko wazi sasa hivi kuna page nyingi zinafunguliwa kwa jina lake ili kutafuta follows!