Tanzanian priest arrested in child prostitution sting in the United States

Embu wekeni picha ya dushelele lake tumtafutue mabinti huku wen ye kulihimili
 
Hawa mapadri wamezidisha ushetani sasa kama hawa ndio viongozi wa kanisa , hao waumini si ndio balaa kabisa
 
Hii ishuu tusiichukulie kishabiki sana. Marekanikwanza ni mpinzani mkubwa wa Kanisa Katoliki, pili ubaguzi wa rangi haujaisha. Ukisoma vizuri habari utagundua kuwa Solomon Bandiho aliteuliwa kuwa paroko (Parochial Administrator) wa Mesa. Kwa wazungu hata hiyo nafasi kupewa mtu mweusi tena wa kuja inawauma. Ndiyo maana unaona ni kama mbinu ilifanywa ili kumkomoa. Yupo padri mwingine alikuwa mshauri wa papa Paulo wa II na papa Benedict wa 16 aliamua kujiuzulu kazi ya ushauri na kurudi Bukoba baada ya kutegeshewa madawa ya kulevya akaruka hicho kiunzi, kila akishika simu au kompyuta anapigwa shoti. Alitoka Roma kwa ulinzi mkali na aliwaambia ndugu zake ametoka huko kwa ajili ya kulinda usalama wake na alijiapiza kutorudi Ulaya kamwe. Hivyo ishu ya Solomon tuitazame kwa macho mawili. Mpaka sasa hatujui kesi yenyewe inakwenda vipi na imeishia wapi
 
TEC watoe tamko kama kawaida yao

Lini uliwaona wakitoa tamko lakuridhisha. Wakubali yaishe tu maaskofu waoe wazizoee mbunye. Sio wanakaa kama wale wanaokula nyasi Keko halafu wakiona sketi tu wanababaika
 
Back
Top Bottom