That wouldn't have been better neither! Nonetheless, let us concentrate much on the tabled concept and not grammatical errors (if they don't distort it)!even some Kenyans are falling on the same category, and the good example is yourself.you are not good at contracting english sentences in grammatical way.
"i know Tanzanians most of them, they do scare to speak out English".this sentence is totally wrong.
it would sound better if you would write/say:
"i know many Tanzanians scare to speak english".
1. Bina ya Afya ya wabunge ni tofauti na unazojua;1. Sio bima zote zinaweza kucover gharama kubwa za matibabu kma hizi hivyo kma anayo ni ile ya kawaida tu ya check za hapa na pake sio hii ya kutibiwa nje kwa million 8 kwa siku
2. wenye press alidai hao vijana walitumwa na sirro sasa kma uongi si wangemkamata lisu au wangewakamata hao wanaomfuatilia ili kuondoa utata maana nape anadai aliwahi ripoti polisi na pia bashe ssa nini ambacho polisi hawakijui mpka usingizie RB????
3 . polisi hawaaminiki kabisa maana mbona saanane hajapatikana au waliomuua mawazo mchana kweupe???
4. wanawasemea unauhakika?? mfumo waliamua au ni watawala ndio wameamua?? ni ukweli kagame na museveni hawaoni ya magufuli sababu nao ni walewale wameua wapinzani mpka wamemaliza wote ssa ulitegemea hao ndio wamshauri magufuli??? wakati nchini kwao wanasiasa wanalalamika kma kina msigwa pia
5. wamesema wazi kabisa wanasupport jubilee sababu ya demokrasia sio kingine zaidi
What can we do, if that is what we have at our best?It isn't about English, political leaders at national level shouldn't be that poor in international communication. That is their best shot, huh!
What can we do, if that is what we have at our best?
Umewahi kuona wapi mkenya kwenye media za TZ,au majukwaa ya TZ,akiiponda nchi yake? Only nyumbu wa TZ.acha uvivu uzi ulishaletwa hadi humu jf search kongamano la kisera ACT uone full speech text ya huyo ababu Namwamba alafu uje uropoke hapa mambo usioyajua
i have been saying this thing over and over that english is not a tool that can be used to test someone's intelligence or proficiency in a particular field.it's just a language like other languages.let us concentrate much on the tabled concept and not grammatical errors (if they don't distort it)!
If he is a form four leaver, then he is better than his colleague! There are very few who can manage foreign press interview in the manner he did! How about Msigwa's academic status?Nope, we can do better. Lema is just like any other form four leaver you pick on the streets.
If he is a form four leaver, then he is better than his colleague! There are very few who can manage foreign press interview in the manner he did! How about Msigwa's academic status?
By the way, do these political parties filter cohesively their candidates in line with academic career? And do voters do the same?
Hivi unaongea unachokijua kweli????Upinzani wa Tanzania ni kitendawili, mimi sijawahi kuona upinzani wa nchi zilizoendelea kidemokrasia, Marekani Canada au EU nk, mpinzani anaondoka nchini kwake na kwenda kuiponda nchi yake akiwa nchi nyingine. Huo ungekuwa mwisho wa his/her political career.
Namba 3,4 na 5 tafuta wa kuwaongopea.
Huo ni ubishi wa kitoto na wa kinafiki na kidhalimu, maana wanayoyahubiri, hao unaowaenzi, hayaniletei mimi na familia yangu mkate mezani. Wanachokifanya ni kujipatia umaarufu kisiasa kwa faida yao na famalia zao. Labda nikukumbushe maana ya Power and Politics ndiyo ufumbuke akili.
Power and Politics: first you use the people to get at the top, then you hurt and exploit them to stay at the top. Hicho ndicho wanachokifanya viongozi wa upinzani kwako wewe, na wenye mawazo kama wewe. Unatumika kuwaingiza Ikulu. Na wakifika huko, hawatafanya kile anachokifanya hivi leo Rais Magufuli, ambaye amejipambanua kuwa ni mzalendo wa kweli, katika ngazi ya juu kabisa ya uongozi wa nchi hii.
Anakichofanya Rais Magufuli ya kuendesha vita ya uzembe kazini na urasmu, rushwa, ufisadi, madawa ya kulevya, na vita ya kiuchumi, ndicho kinanipa matumaini mimi na familia yangu.
Angalau kwa sasa:
1) nimeweza kumpeleka mwanangu shule bila kuwa na shinikizo la kutafuta ada.
2) ninakwenda ofisi ya serikali na kuhudumia bila kuzungushwa.
3) kama mkulima nina uhakika wa kuuza mazao yangu, maana miundo mbinu inaboreshwa na kuimarishwa.
4) uhuru niliokuwa nao, mimi kama mimi, wa kutoa mawazo bado ninao, na ndiyo maana nachangia kwenye mitandao ya kijamii, pasipo hofu.
5) ninapata habari zote, mbaya na nzuri, kuhusu Serikali pasipo hofu.
6) nafuata sheria bila shurti.
Na ninamini kuna mengi mazuri niyategemea, na nitayapata kama mimi, kutoka kwa serikali hii na wala singojei "TIME WILL TELL", kama wewe mithili ya fisi na mkono wa binadamu (rejea aya yako ya mwisho).
Pumbavu mwenyewe, habari inahusu wakenya. Wacha wao waseme, usilete umalaya hapa.Wakenya sio wapumbavu kama wewe na misukule wenzio
Anayejitambua na anaishi hapa Tanzania amenielewa. Ila wenye kufukuzana na vivuli vyao au bendera kufuata upepo ni nje ya uwezo wao kujitambua.Namba 3,4 na 5 tafuta wa kuwaongopea.
Hapo ndio nachoka mimi, pamoja na Chadema kuwa na mwanasheria mnayeseama kabobea lakini Chadema hiyo hiyo ilishindwa kutatua tatizo la Lema. kuna mahakama ngapi ambazo Lema anheweza kupeleka shauri la rufaa yake na akasikiliza, kuanzia mahakama kuu ya Tanzania, mahakama ya rufaa ya Tanzania, mahakam ya kikanda EACJ iliyoko Arusha, mahakama ya Umoja wa Afrika ambayo pia inakitenge hapo hapo Arusha. Unataka kusema mahakama zote hizo ziko mifukoni mwa serikali ya CCM?
Mimi sipingi wao kuwa Nairobi, lakini napinga upinzani wanatumia janga la Lissu kama fursa. Mara michango kitu, mara video za shutuma, mara Tanzania sio salama, mara udikteta. Hivi kweli chadema imeshindwakupata $50.000 huku inalamba ruzuku $1.2million? Mtu ana bima ya bure inayolipiwa na bunge, ingeweza kumpatia matibabu ya aina yoyote lakini wenzetu kidogo imekuwa fursa. Hata hiyo mnayoisema serikali ya Tanzania ni mbaya, mbona serikali ndio ililkuwa ya kwanza kutoa offer ya kumuhudumia Lissu lakini wakubwa Chadema wakapiga chini? Mtu hada damu hazijakauka hawooo ....wamemkibiza Nairobi kama sio fursa ni nini. Matibabu anayoyapata Lissu Nairobi naweza kukuhakikishia angeweza kuyapata hapahapa Dar. Mpaka leo hii, hakuna ushirikano toka kwa watu walio kuwa karibu na Lissu siku ya tukio kutu ambacho kinakwamisha juhudi za kujuwa ukweli uko wapi.