Tanzanian MPs Msigwa na Lema KTN Kenya kuhusu Lissu n.k

waltham

JF-Expert Member
Jan 23, 2014
2,522
1,045


Wanajaribu kujibu hoja na lugha ya kizungu kizungu hivi. Eti wanasupport Jubilee kama kisasi hivi!! Siasa za kiafrika ni vioja tu.

hoja zaidi toka kwa tanzanians leaders wakiwa kenya
 
Enyi wakenya, hawa wapinzani wa bongo ni hovyo sana na mashabiki yao yenye akaunti kumi kumi huku wanadhani wana effect on the ground.

Wanalilia demokrasia wakati chama Chao kinaongozwa na mwenyekiti dikteta wao since their genesis, Mr Mbowe.

Na kiingereza Chao broken, they are not even proud of their language, at least Magufuli yeye he doesnt pretend huwa anabonga swahili mwanzo mwisho.

Huyo mwanasheria wao alietwangwa risasi alikuwa anaitisha press anasema Magufuli anatumia wrong approach kudeal na hao miners and that their company would sue us, kumbe tayari serikali ilishaweka sleeper cells in those companies, they had extracted all essential information and leaked them to the government, sasa hakuna cha kesi waliyofungua hadi sasa hivi, wamebanwa kwenye mazungumzo wanaongeza tu idadi ya negotiators.

Sasa wanaleta maneno huko kwenu kuonesha ubaya wa Magufuli.
They will fail
 
Enyi wakenya, hawa wapinzani wa bongo ni hovyo sana na mashabiki yao kama nyumbu yenye akaunti kumi kumi huku wanadhani wana effect on the ground.
Wanalilia demokrasia wakati chama Chao kinaongozwa na mwenyekiti dikteta wao since their genesis, Mr Mbowe.
Na kiingereza Chao broken, they are not even proud of their language, at least Magufuli yeye he doesnt pretend huwa anabonga swahili mwanzo mwisho.
Huyo mwanasheria wao alietwangwa risasi alikuwa anaitisha press anasema Magufuli anatumia wrong approach kudeal na hao miners and that their company would sue us, kumbe tayari serikali ilishaweka sleeper cells in those companies, they had extracted all essential information and leaked them to the government, sasa hakuna cha kesi waliyofungua hadi sasa hivi, wamebanwa kwenye mazungumzo wanaongeza tu idadi ya negotiators.
Sasa wanaleta maneno huko kwenu kuonesha ubaya wa Magufuli.
They will fail
Upinzani wa Tanzania ni kitendawili, mimi sijawahi kuona upinzani wa nchi zilizoendelea kidemokrasia, Marekani Canada au EU nk, mpinzani anaondoka nchini kwake na kwenda kuiponda nchi yake akiwa nchi nyingine. Huo ungekuwa mwisho wa his/her political career.
 
Duh, hivi watz mlifika huku vipi, upinzani umekua uadui sasa mmeanza kuwindana kabisa...2015 nlikuwa tz na hali ya hewa chini ya mjomba ilikuwa nzuri tu, mnabishana alafu yanaisha freshii ila sasa hivi yaaani....poleni
 
Enyi wakenya, hawa wapinzani wa bongo ni hovyo sana na mashabiki yao kama nyumbu yenye akaunti kumi kumi huku wanadhani wana effect on the ground.
Wanalilia demokrasia wakati chama Chao kinaongozwa na mwenyekiti dikteta wao since their genesis, Mr Mbowe.
Na kiingereza Chao broken, they are not even proud of their language, at least Magufuli yeye he doesnt pretend huwa anabonga swahili mwanzo mwisho.
Huyo mwanasheria wao alietwangwa risasi alikuwa anaitisha press anasema Magufuli anatumia wrong approach kudeal na hao miners and that their company would sue us, kumbe tayari serikali ilishaweka sleeper cells in those companies, they had extracted all essential information and leaked them to the government, sasa hakuna cha kesi waliyofungua hadi sasa hivi, wamebanwa kwenye mazungumzo wanaongeza tu idadi ya negotiators.
Sasa wanaleta maneno huko kwenu kuonesha ubaya wa Magufuli.
They will fail
Wewe ndio wa ovyo na maccm wenzio.
 
I will stick to the content


I thin Both the host and her guests didn't prepare for the interview!

*The young lady says Lissu was shot in dar es salaam, whilst he was shot in Dodoma.

* Bulletins on the screen indicates tht Tanzania got her independence in December 1962. The truth is, Tanzania was never colonized! It existed after the colonial era in Tanganyika and Zanzibar! Nevertheless, non of the two states attained independence in the year of 1962!
I think this justifies that some Kenyans are less informed abt their neighboring countries!.

On the side of my tz brothers, it was totally a waste going all the way to the KTN studios just for the purpose of talking such negativities! I knw their motive was to seek sympathy from Kenyans, but it has turned out that no body cares abt what they said (content), rather everybody is shocked with their poor presentation!
I'm shook, An MP and a shadow minister for foreign affairs complaining abt political rallies? Is there any Kenyan who cares abt this?

I think these guys need to drop down here & do as many interviews as they wish! All the Media here are eagerly waiting for them!
 
Tanzania was colonised go back into books and read your history well. Tanganyika was colonised in 1962 ,but they merged with Zanzibar in 1964 to form Tanzania. Tanganyika was under Germany after the first world war it was put under protectorate of Britain ,and latter got independence from British.
 
Tanzania was colonised go back into books and read your history well. Tanganyika was colonised in 1962 ,but they merged with Zanzibar in 1964 to form Tanzania. Tanganyika was under Germany after the first world war it was put under protectorate of Britain ,and latter got independence from British.
Ukumwelea jamaa
 
Dah! Ila maneno wanayoyasema kama ni kweli basi hiyo Tanzania yenu inatumbukia mkiona kwa amcho yenu, huyo Msigwa anasema tayari anatafutwa na polisi huko nyumbani.

Hii Afrika tuamue kimoja, labda tuache hiki kiigizo tunaita demokrasia, tuishi chini ya utawala wa kiimla kama Korea Kaskazini au tukubali demokrasia ya kweli, haya maigizo ya kudanganya wazungu ili waendelee kutupea misaada ni aibu tupu.
 
I will stick to the content


I thin Both the host and her guests didn't prepare for the interview!

*The young lady says Lissu was shot in dar es salaam, whilst he was shot in Dodoma.

* Bulletins on the screen indicates tht Tanzania got her independence in December 1962. The truth is, Tanzania was never colonized! It existed after the colonial era in Tanganyika and Zanzibar! Nevertheless, non of the two states attained independence in the year of 1962!
I think this justifies that some Kenyans are less informed abt their neighboring countries!.

On the side of my tz brothers, it was totally a waste going all the way to the KTN studios just for the purpose of talking such negativities! I knw their motive was to seek sympathy from Kenyans, but it has turned out that no body cares abt what they said (content), rather everybody is shocked with their poor presentation!
I'm shook, An MP and a shadow minister for foreign affairs complaining abt political rallies? Is there any Kenyan who cares abt this?

I think these guys need to drop down here & do as many interviews as they wish! All the Media here are eagerly waiting for them!
Ati Tanzania was never colonized? Owkay!
 
Enyi wakenya, hawa wapinzani wa bongo ni hovyo sana na mashabiki yao kama nyumbu yenye akaunti kumi kumi huku wanadhani wana effect on the ground.
Wanalilia demokrasia wakati chama Chao kinaongozwa na mwenyekiti dikteta wao since their genesis, Mr Mbowe.
Na kiingereza Chao broken, they are not even proud of their language, at least Magufuli yeye he doesnt pretend huwa anabonga swahili mwanzo mwisho.
Huyo mwanasheria wao alietwangwa risasi alikuwa anaitisha press anasema Magufuli anatumia wrong approach kudeal na hao miners and that their company would sue us, kumbe tayari serikali ilishaweka sleeper cells in those companies, they had extracted all essential information and leaked them to the government, sasa hakuna cha kesi waliyofungua hadi sasa hivi, wamebanwa kwenye mazungumzo wanaongeza tu idadi ya negotiators.
Sasa wanaleta maneno huko kwenu kuonesha ubaya wa Magufuli.
They will fail

Bogus anajulika tuu hata akiandika kwa kingereza, naona umeamua kuuthibitishia umma wa JF ni kwa kiwango gani uko bogus nafikiri ukirudia kusoma ulichoandika unaweza kukataa kama ni wewe uliyeandika
 
Which language did they use to speak with KTN Broadcaster, i know Tanzanians most of them, they do scare to speak out English
 
I will stick to the content


I thin Both the host and her guests didn't prepare for the interview!

*The young lady says Lissu was shot in dar es salaam, whilst he was shot in Dodoma.

* Bulletins on the screen indicates tht Tanzania got her independence in December 1962. The truth is, Tanzania was never colonized! It existed after the colonial era in Tanganyika and Zanzibar! Nevertheless, non of the two states attained independence in the year of 1962!
I think this justifies that some Kenyans are less informed abt their neighboring countries!.

On the side of my tz brothers, it was totally a waste going all the way to the KTN studios just for the purpose of talking such negativities! I knw their motive was to seek sympathy from Kenyans, but it has turned out that no body cares abt what they said (content), rather everybody is shocked with their poor presentation!
I'm shook, An MP and a shadow minister for foreign affairs complaining abt political rallies? Is there any Kenyan who cares abt this?

I think these guys need to drop down here & do as many interviews as they wish! All the Media here are eagerly waiting for them!
Nice english...for a Tanzanian
 
Back
Top Bottom