Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,681
- 8,233
Sidhani kama hao ni majambazi. Hicho ni kikosi maalum ambacho kimetumwa kufanya hiyo kazi. Majambazi wengi huwa hawaui moja kwa moja kwanza hutishia na kuona kuwa unafuata masharti yao, huu ni mpango kabambe ambao umefanyika kutokana na misukosuko ya kisiasa nchini Tanzania.
Mafisadi hawawezi kuacha hivi hivi na wataendelea kuwashughulikia wapambanaji wote ambao wana orodha yao. Tanzania ya sasa sio ile ya zamani ambapo watu walikuwa huru kwenda popote bila kuwa na wasi wasi hayo ndio matunda ya BWM, JK na Chama Cha Majambazi. Na kwenye mazishi watakuja kuwasanifu.
Jiulizeni kwa nini wale waliokuwa moto wa mapambano siku hizi wako kimya?
RIP Prof. Jwani.
Mafisadi hawawezi kuacha hivi hivi na wataendelea kuwashughulikia wapambanaji wote ambao wana orodha yao. Tanzania ya sasa sio ile ya zamani ambapo watu walikuwa huru kwenda popote bila kuwa na wasi wasi hayo ndio matunda ya BWM, JK na Chama Cha Majambazi. Na kwenye mazishi watakuja kuwasanifu.
Jiulizeni kwa nini wale waliokuwa moto wa mapambano siku hizi wako kimya?
RIP Prof. Jwani.