DoubleOSeven
JF-Expert Member
- Jul 5, 2008
- 661
- 143
... blackberry untouched as evrything else remains intact!
Mkuu sifahamu hata muuaji mmoja, lakini naweza kusema hakuna mnyarwanda anayeweza kuja kumuua huyo jamaa kwa kuwa judge tu wa ile mahakama. Tusiumize vichwa kwa sasa, he is already dead, in weeks and months ahead tutajua muuaji ni nani, for sure hata kamatwa and life will go on. Hii ndio haki Tanzanian style.
HABARI NILIZOZIPATA SASA HIVI NI KWAMBA HII NI ASSASSNATION. Hawa wauaji waliingia nyumbani, wakapiga risasi kadhaa kuwascare wanafamilia walio kuwa ndani. Baada ya hapo wakamshoot risasi ya kichwa na kumuua.
Katika kurusha rusha risasi za kuscare waliokuwa ndani wakampiga risasi mtoto wake aliyekuwa nje , na kumuua. Mtoto huyo anaitwa Gwamaka
Wakiwa wanatokomea, wakamwona mpitanjia ambaye walihisi (nadhani ) amewaona naye wakampiga risasi nyingi kiasi cha kusambaratika ovyo.
RIP Proffessor Jwani Mwaikusa.
Tunaomba polisi ifuatilie motive ya mauaji: Je ni visa? Ni political? au ni mambo ya Rwanda?
yes,inaonekana kama ni planned assasination.polisi tafadhali fanyeni uchunguzi.
isije ikawa ni mafisadi,maana wana mtandao mkubwa na wako tayari hata kutoa uhai wa binadam.
MUNGU AILAZE ROHO YA PROF.MWAIKUSA MAHALI PEMA PEPONI.
haki haitapotea kamwe!
R.I.P Prof. Mwakyusa
"Kampenda zaidi" ndio amuache achinjwe hivyo na mwanae? Yani sisi tunaompenda kidogo tunamwonea hurumu huyu Mungu anaempenda zaidi hana huruma, Mungu gani? "Awatie nguvu katika wakati mgumu" wakati mguu saa ngapi tena, wakati mgumu ni pale wakikatwa roho, ndio pale Mungu angetaka angeibuka akawatia nguvu marehemu, hakutokea, bado tunamsubiri? Hata polisi walikuja baadae.Mungu awatie nguvu na imani katika wakati huu mgumu. Tulimpenda lakini yeye kampenda zaidi. AMEN.
R.I.P Prof. Mwakyusa
Nilianza kumfahamu Prof Mwaikusa tangu ile kesi ya akina Juma Duni ya kutaka kuipindua Zanzibar. Profesa makini kwelikweli, anachagua kwa umakini maneno ya kuzungumza, ametulia sana, alikuwa na nidhamu sana ya kazi yake. Aliwaheshimu sana wanasheria wenzake ambao wengi aliwazidi kitaaluma na kielimu.
Akiwa anakaribia kutaja mgombea binafsi naomba nimnukuu RAIS,DK KIKWETE
Mimi napenda niwaonye kabisa yoyote atakaeshabikia ama kutaka kufanya kitu kitakachotutenganisha
nawaambia kweli hii serikali si sehemu ya kutafuta umaarufu,,nasema hili nikimaanisha nawambia ili mtu asishangae ..kuna walioanza chokochoko tuliwashugulikia na wengine (
tumewasahau)
kabisa
Mwenye akili utajua ana maana Gani!!!nawaambia ukweli tutakushugulikia mpaka mwisho..mi nawaambia msidanganyike bwana kitu kikija kwangu nikisema no ni no hata iweje..utahangaika kwa haki za binadamu ,,mahakama kuu na vyombo vingine vya sheria nikisema no itaishia no
DK KIKWETE TUELEZE PROF WETU ALIPO...HILI JAMBO WANA JF SI LA KUCCHUKULIA MZAHA HATA KIDOGO..ATUITAJI KUISHI NA SERIKALI YA WAUWAJI..UTAMUUA KILA MTU SIKU YA MWISHO BABAKO ANAKUKANA UTAMMALIZA???