M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,020
So, so, so sad and shocking. Nilikuwa sijaamini nilivyosoma kwa mara ya kwanza...what a sad news! Mwe...MUNGU wape moyo wa matumaini familia na ndugu wa mpendwa wetu JWANI!
Usalama katika nchi hii ni ZERO, majambazi wanatamba na kupoteza roho za watu kadri wapendavyo. Hii si ajabu kwani baadhi ya Police yasemekana wamo kwenye payroll za majambazi:embarrassed1:
Ndugu yake kanielezea kwa simu mazingira ya kifo: Prof Jwani alikua anarudi nyumbani kwake alipoingia getini, majambazi wawili unknowingly waliingia naye. Wakamlazimisha kushuka kwenyee gari yake, hakushuka na ndipo walipoanza kummiminia risasi na kumuua. Mtoto wake akaja ili atoe msaada (bila shaka baada ya kusikia milio ya risasi) nae pia kamiminiwa risasi na kufa. Pia inasemekana jirani yake naye katika jitihada za kutaka kuja kutoa msaada naye kauwawa!!! :embarrassed1: UKAGONE MALAFYALE!
MUNGU MWENYE REHEMA NA NEEMA NYINGI, WASAMEHE WALIOFANYA KITENDO HIKI CHA KIKATILI NA KUTOA ROHO YA MPENDWA WETU!!!!
This sounds more like a planned assassination to me - not just ujambazi wa kutaka kupora.