Tanzanian Football Clubs: So Unprofessional

Kweli kabisa na vilabu vingine vina kurasa zao kabisa ila ukizitafuta unapata ukakasi kujua kama kweli ni page official ya timu, unakuta haina mpangilio na mtiririko mzuri wa machapisho.

Wachezaji nao ni muhimu sana kuwa na kurasa zao tena muhimu kuajiri na admin ambaye atakuwa ana uhakika wa kupakia taarifa za mchezaji, nadhani watanzania wengi wangekuwa wanawafatilia na hii ingewapa hata dili za kutangaza bidhaa au huduma za kampuni mbalimbali.

Tanzania tuna mfano mzuri sana; Mbwana Samatta, kiukweli post na caption zake siku hizi zinanifanya niamini kuna mtu tofauti na yeye anayeendesha page yake na kama anasimamia mwenyewe kiukweli yupo njia sahihi. Post zake za hivi karibuni nyingi zinaandikwa kwa Kiswahili fasaha na hata Instagram translator ina uwezo wa kutafsiri kwa 80% kilichoandikwa kwenda Kiingereza. Kubwa zaidi sasa ana Logo inayomtambulisha na post nyingi za matukio maalumu huwa zinafanyiwa poster design na kuwa na logo yake. Watu nyuma yake wanafanya kazi nzuri sana.
Hakika,

Kuna mapinduzi yanatakiwa katika suala la kimtandao na kidigitali kuendana na kasi ya teknolojia na soko huria.

Tafakari klabu inaitwa Victoria Football Club huku handle za Twitter na Instagram ni @victoria_fc_waletee unakuta @victoriafc au @fcvictoria hazijachukuliwa alakadhalika kwa wachezaji.
 
Hayo mambo yanahitaji hela na clubs zetu haziendeshi kwa bajeti kubwa kusupport vitu kama hivyo.
 
Hakika,

Kuna mapinduzi yanatakiwa katika suala la kimtandao na kidigitali kuendana na kasi ya teknolojia na soko huria.

Tafakari klabu inaitwa Victoria Football Club huku handle za Twitter na Instagram ni @victoria_fc_waletee unakuta @victoriafc au @fcvictoria hazijachukuliwa alakadhalika kwa wachezaji.
Kuna kipindi handle ya @singidaunited ilikuwa haina akaunti Instagram ila Singida United wenyewe hawakuichukua wakabaki na @officialsingidaunitedfc

Ambayo ni ndefu na ngumu mtu asiyejua kuitafuta, leo hii imechukuliwa na akaunti ipo inactive.
 
Kuna kipindi handle ya @singidaunited ilikuwa haina akaunti Instagram ila Singida United wenyewe hawakuichukua wakabaki na @officialsingidaunitedfc

Ambayo ni ndefu na ngumu mtu asiyejua kuitafuta, leo hii imechukuliwa na akaunti ipo inactive.
Ngoja tuone mwisho wa kizazi cha 60's to 75's maana inasikitisha.
 
Wewe hujui unacho andika, Tanzania haina profecional league Wala dalili za kuwa profecional league. Kuwa na Account katika mitandao ya kijamii sio u profecional ata watu wa kawaida Wana account kwenye mitandao ya kijamii na wanafanya biashara mbalimbali lakini bado haiwafanyi wao kuwa profecional katika biashara zao.

Ligi yetu kuwa na wachezaji kutoka ng'ambo sio ndio imekua professional wachezaji na makocha kutoka nje wanakuja apa Tanzania tangu miaka ya 60.
 
Hayo mambo yanahitaji hela na clubs zetu haziendeshi kwa bajeti kubwa kusupport vitu kama hivyo.
Pesa kiasi gani inahitajika?! Mshahara wa chini kwa muendesha kurasa za klabu utakuwa baina ya millioni 1 TZS kwa mwezi, Data ya laki 300,000 inatosha kuweza uchakataji.

In return klabu haitakiwi kudharau udhamini bali kuwa na mkakati mzuri mfano; Kobello Technology unadhamini Bello FC kwa mkataba wa miezi 9 kila mwezi unatoa millioni 5.

Mkataba wenu unahusika katika mitandao ya klabu kipengele "On This Day!" Inakuwa "On This Day! presented by Kobello Technology" - Kob Ello alifunga magoli mawili dhidi ya Avello FC kupelekea ushindi wa goli 2 inaambatanishwa picha ya kimekanika "Graphic" yenye logo au bidhaa husika.

Siku 30 millioni 5 imeingia, matumizi ni millioni 1.5 faida 3.5 kwa udhamini mmoja tafakari upate wadhimini wengi, chapa ya klabu imekuwa na kuongeza kiwango cha udhamini!
 
Wewe hujui unacho andika, Tanzania haina profecional league Wala dalili za kuwa profecional league. Kuwa na Account katika mitandao ya kijamii sio u profecional ata watu wa kawaida Wana account kwenye mitandao ya kijamii na wanafanya biashara mbalimbali lakini bado haiwafanyi wao kuwa profecional katika biashara zao.

Ligi yetu kuwa na wachezaji kutoka ng'ambo sio ndio imekua professional wachezaji na makocha kutoka nje wanakuja apa Tanzania tangu miaka ya 60.
Kwani wewe kwako neno Professional linamaanisha nini ndugu? Maana nashindwa kuelewa unachobisha.
 
Pesa kiasi gani inahitajika?! Mshahara wa chini kwa muendesha kurasa za klabu utakuwa baina ya millioni 1 TZS kwa mwezi, Data ya laki 300,000 inatosha kuweza uchakataji.

In return klabu haitakiwi kudharau udhamini bali kuwa na mkakati mzuri mfano; Kobello Technology unadhamini Bello FC kwa mkataba wa miezi 9 kila mwezi unatoa millioni 5.

Mkataba wenu unahusika katika mitandao ya klabu kipengele "On This Day!" Inakuwa "On This Day! presented by Kobello Technology" - Kob Ello alifunga magoli mawili dhidi ya Avello FC kupelekea ushindi wa goli 2 inaambatanishwa picha ya kimekanika "Graphic" yenye logo au bidhaa husika.

Siku 30 millioni 5 imeingia, matumizi ni millioni 1.5 faida 3.5 kwa udhamini mmoja tafakari upate wadhimini wengi, chapa ya klabu imekuwa na kuongeza kiwango cha udhamini!
Easy said than done ... hayo matangazo ya nguvu za kiume hawayapti, sanasana kampuni za kubeti nazo huwa hazina interest na social media za timu hizi.
Itabidi wagharamie wao kwa muda mrefu kabla ya kupata credible sponsor. It ain't easy
 
Easy said than done ... hayo matangazo ya nguvu za kiume hawayapti, sanasana kampuni za kubeti nazo huwa hazina interest na social media za timu hizi.
Itabidi wagharamie wao kwa muda mrefu kabla ya kupata credible sponsor. It ain't easy
Brother, kweli unahitaji klabu itangaze nguvu za kiume kutoka madaktari wa vichochoroni?

Mikakati ikiwekwa vizuri wadhamini hawakosekani kutolea mfano, kuna klabu ya Amateur Sports League (Katika taifa fulani) inawadhamini 9 kupelekea klabu kuendeshwa kisasa ilhali bado ipo chini.
 
Profecional league inahusisha muundo wa league nzima namna club zinavyo endeshwa, namna wanavyolipwa, namna Chama Cha mpira kinavyo endesha league, namna marefa ree wanavyo patikana namna wanavyolipwa, namna club zinavyo pata fedha zitokanazo na mpira zinavyo hudumia timu za mpira, Matangazo, vitalu vya marefa,wachezaji, makocha waliosoma, Namna viongozi wa FA wanavyopatikana namna club zinavyo shirikiana kwa uwazi na FA. Yaani Kuna Mambo mengi sana na Ayo tote watendaji wake hawajitolei wanalipwa na wanafanya kazi full time.
Sasa apa TZ wachezaji wa baadhi ya timu wanadai miezi 8 mshahara, Tff inawakopa waamuzi, timu zunashindwa kusafiri, Timu unatoka bukoba inaenda kucheza ruvuma baada ya siku mbili Tena wanasafiri kwa basi. Kuna timu nyingine mwisho wamsimu huwa hazina fedha za kusafiri yaani tuko nyuma sana kuwa profecional.
Mpira unaendeshwa bila ata kanuni za fedha, yaani wewe unauza viazi unapata fedha unaingiza kwenye mpira na hakuna mtu wa kuhoji.
 
Profecional league inahusisha muundo wa league nzima namna club zinavyo endeshwa, namna wanavyolipwa, namna Chama Cha mpira kinavyo endesha league, namna marefa ree wanavyo patikana namna wanavyolipwa, namna club zinavyo pata fedha zitokanazo na mpira zinavyo hudumia timu za mpira, Matangazo, vitalu vya marefa,wachezaji, makocha waliosoma, Namna viongozi wa FA wanavyopatikana namna club zinavyo shirikiana kwa uwazi na FA. Yaani Kuna Mambo mengi sana na Ayo tote watendaji wake hawajitolei wanalipwa na wanafanya kazi full time.
Sasa apa TZ wachezaji wa baadhi ya timu wanadai miezi 8 mshahara, Tff inawakopa waamuzi, timu zunashindwa kusafiri, Timu unatoka bukoba inaenda kucheza ruvuma baada ya siku mbili Tena wanasafiri kwa basi.
List of professional sports leagues - Wikipedia.
 
Utopolo mmekosa kazi,ubingwa unawaumiza,simba ina professsional admin wa social media,siyo lazima kuiga kila kitu toka ulaya unaangalia pia hadhira yako,mbona huongelei yanga kubadili rangi za logo za timu zingine wanapopost ,simba pia inaangalia kukuza mashabiki wanapopost madongo kuna fans wanashare na wafuasi wa simba kuongezeka.


Unaposema repost ni unprofessional unajua hao walioweka walikuwa wajinga ?Simba wanaporepost vitu vya CAF inaonyesha kwamba ni kitu halisi siyo fake,hivi unafuatilia pages kama za AC Milan huwa wanapost nini?.

Page za clubs zinatumika kwa ajili ya mashabiki zao na kutoa taarifa ,uprofessional wako peleka kwenye interview za halmashauri
Una ushabiki wa kipumbavu , nisamehe nmekuita jina baya lakini sina jinsi
 
Wewe mwenyewe UMEKULUPUKA TU.

Kichwa cha habari na maelezo tofauti simba simba Simba .

Zungumzia timu sio simba
 
Sisi Simba tunakubali na tutayafanyia kazi tatizo ni Deportivo de utopolo wakija utaoga povu
 
Back
Top Bottom