Ninajua kuwa kila mtu anapofungua account anapewa terms and condition kuzisoma na kuzi-sign. Kuna aina mbalimbali za banking products, kama savings accounts, current account etc.
Mimi ni customer wa CRDB Bank. Nimekuwa niki-note bank charges ambazo hazipo constistence kabisa yaani as if mtu akiamka anaanza kupitia accounts za watu na kuona leo aweke kitu gani kujustify kuchukua hela za wateja.
As an online customer I can access my account at any time I want na nimekuwa nikifanya utafiti kwa ku-print data kila wiki karibu mwaka wa pili sasa. Kumekuwa na unjustifiable banking charges ambazo hata mantiki yake haijulikani.
Sikutarajia banker aje anikate 'WITHHOLDING TAX' kwani mimi sina share CRDB kusema kwamba labla wamenilipa dividend na hivyo wanakata kutokana na 'dividend income'. CRDB haijawahi kuni-credit na banking interest ya aina yoyote ile kuweza kusema labla itakuwa recognise as an 'interest income'. Je hii ni halali kwa bankers kufanya mchezo huu au ni wizi.
My guess ni kuwa huenda kuna 'salami slicing' zinafanywa katika accounts za wateja bila ya wao kujua na huu ni wizi au 'Banking fraud'. I will request explanations if not satisfied will sue them for the benefit of others.
Mimi ni customer wa CRDB Bank. Nimekuwa niki-note bank charges ambazo hazipo constistence kabisa yaani as if mtu akiamka anaanza kupitia accounts za watu na kuona leo aweke kitu gani kujustify kuchukua hela za wateja.
As an online customer I can access my account at any time I want na nimekuwa nikifanya utafiti kwa ku-print data kila wiki karibu mwaka wa pili sasa. Kumekuwa na unjustifiable banking charges ambazo hata mantiki yake haijulikani.
Sikutarajia banker aje anikate 'WITHHOLDING TAX' kwani mimi sina share CRDB kusema kwamba labla wamenilipa dividend na hivyo wanakata kutokana na 'dividend income'. CRDB haijawahi kuni-credit na banking interest ya aina yoyote ile kuweza kusema labla itakuwa recognise as an 'interest income'. Je hii ni halali kwa bankers kufanya mchezo huu au ni wizi.
My guess ni kuwa huenda kuna 'salami slicing' zinafanywa katika accounts za wateja bila ya wao kujua na huu ni wizi au 'Banking fraud'. I will request explanations if not satisfied will sue them for the benefit of others.