Labda ni Self-defenseManslaughter Tanzania unadhani atawekwa ndani? miaka mingapi?
Twendeni taratibu jamani; kuanza kudai huyo binti "kamuua" tunaenda mbali sana. Inawezekana kabisa ni accidental death. Maana wengine wanaseema "kauawa" ni kana kwamba kulikuwa na mipango na nia ya kufanya hivyo. Yaani, hili haliangukii hata kwenye crimes of passion kama ndivyo lilivyotokea. Twendeni taratibu na huyu binti mdogo tusianze kumshakizia mzigo wa mauaji wakati hatujui nini hasa kilitokea kati yao. Lets get the details before we form opinions.
Nimeota Ramsey kafunga goal la ushindi against Man six! This time mtu anavuta kwanza then Ramsey anascore!