Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 8,277
- 8,492
Jina Tanganyika limepotea. Inapotokea Tanganyika kutajwa ndani ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar basi hutajwa Tanzania Bara. Je Tanzania bara ndio nchi gani?
Natamani kuanzia sasa Tanganyika irudi na ndani ya Muunga iitwe Tanzania Tanganyika.
Tanzania Visiwani inajulikana kwa uasili wake, yaani Tanzania Zanzibar why not Tanzania Tanganyika? Kwa nini?
Natamani kuanzia sasa Tanganyika irudi na ndani ya Muunga iitwe Tanzania Tanganyika.
Tanzania Visiwani inajulikana kwa uasili wake, yaani Tanzania Zanzibar why not Tanzania Tanganyika? Kwa nini?