Tanzania yetu kuwa na watu zaidi ya milioni 200, Mungu tuepushe na gharika!

Walituacha kwasababu ya kusimamia Mfumo mmoja walioamini utawaletea maendeleo (commusnism) Sisi kila Awamu ilijikuta inakuja na Mfumo wake.
Mfano; Nyerere- ijamaa
Mwinyi-Capitalism(mzee wa ruksa)
Mkapa- Privatisation Na kuendelea..

kwa variation hiyo ya mifumo ya kiuchumi ndo ilisababisha Wachina wakatuacha tukihangaika kuendelea mpaka leo.

Harafu hiyo one child policy: ilikuja baada ya Ongezeko kubwa la Wachina lililotokana na sera ya kuzaliana. Kabla ya one child policy kulikuwa na sera ya kuzaliana Ambapo waliamini ili utengeneze Taifa lenye nguvu kubwa na kipato Cha juu lazima liwe na watu wengi. Na ndo Maana idadi ikafikia Hadi 2b.

Baada ya lengo kutimia na kuoenekana kuzidi ndo ikabidi wafomulate new policy ambayo ndo hiyo ya one child policy so that they can control their population.

Sent using Jamii Forums mobile app


Lkn kwa nini wamefanya one child policy kama kuzaliana bila ya mpango ni kitu kizuri?
 
post: 33927182, member: 410952"]
Nigeri ina almost eneo kama la TZ, na ina matatizo makubwa sana mkuu, matatizo ya kijamii, kiuchumi, kidini kisiaasa n.k , ni mengi sana kuyajadili hapa, lakini matatizo yote yanakuwa ni magumu kuyasuluhisha sababu ya idadi kubwa ya watu

kuna matatizo kama vita ya wakulima na wafugaji, hili ni complicated kusuluhisha sababu ya ufinyu wa ardhi, kuna tatizo la inequality (gape kubwa kati ya masikini na tajiri) hili nalo ni ngumu kuliondoa sababu ya idadi kubwa ya watu, matatizo kama ugaidi, wizi, haya na yenyewe yanatokana na population kubwa inayofanya vijana wanakuwa desperate na kuwa manipulated kirahisi kujiunga na hayo makundi, Wa Nigeria juzi pia kulivyotokea vurugu South Afrika wao ndio walikuwa wahanga wakubwa sababu ndio wahamiaji wengi kule, wanahamia sababu nchi yao ndio vile tena. Hya ni baadhi tu

Hilo la Wachaga kupigwa vita mimi nadhani ni perception tu za watu, labda ungelielezea vizuri pengine
[/QUOTE]

Rasilimali za Nigeria na za Africa, zina wanufaisha hao ambao unasema wame endelea na hawako overpopulated.

Jaribu kuangalia global ecological footprint na global environmental footprint ya jamii mbali mbali, ili kupata picha nzuri.

Wachagga wamepigwa vita overtly and covertly via pseudo-egalitarian policies and via pseudo-patriotism.

Chagueni rais mzuri mchagga mkristo wa center politics (na asieichukia sabato ya siku ya saba), halafu muungeni mkono, utaona jinsi nchi itakavyoendelea vizuri. Hiyo population ya 100 m to 150 m haitakua tatizo; just turn the regional capitals (like Bukoba, Moshi, Kibaha, Arusha, Iringa, Mtwara etc.) into well planned pro-poor cities, manage the economy well and sustainably, have good governance, respect human rights, respect private property rights (including those of natives), respect community property rights etc. Hiyo ya 200 m sidhani kama itatokea.

Halafu kipindi hicho cha 2100, kuna uwezekano mwisho wa dunia utakuwa umeshafika.
 
Lkn kwa nini wamefanya one child policy kama kuzaliana bila ya mpango ni kitu kizuri?
Mkuu swali lako mbona nimekujibu jaribu kusoma Hadi mwisho taratibu utanielewa.

Kiufupi nilichosema;

"One child policy was fomulated after rapid population growth iliyotokea chini ya sera iliyoruhusu Wachina kuzaliana kwa wingi Hadi wakafikaga almost 2b". Kwa maelezo zaidi rejea comment yangu niliyokujibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania yetu ni moja kati ya nchi zinazoongoza Duniani kwa ongezeko la watu, kwa mujibu wa statista mwaka 2100 nchi yetu itakuwa zaidi ya watu milioni 200 na moja kati ya nchi kubwa kwa idadi ya watu Duniani.

Najiuliza hao watu watakula nini? Wataishi wapi na kulala wapi? Duh, sipati, nitakuwa nimeshaenda hata hivyo, nyie fyatueni tuu, kazi kwenu ukichukulia IQ haiongezeki sijui mtatua vipi matatizo, Tanzania watu zaidi ya milioni 200? Duh!

View attachment 1301392
Si tuliambiwa tufyatuane

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu swali lako mbona nimekujibu jaribu kusoma Hadi mwisho taratibu utanielewa.

Kiufupi nilichosema;

"One child policy was fomulated after rapid population growth iliyotokea chini ya sera iliyoruhusu Wachina kuzaliana kwa wingi Hadi wakafikaga almost 2b". Kwa maelezo zaidi rejea comment yangu niliyokujibu.

Sent using Jamii Forums mobile app


China haijawahi kufikia watu bilioni 2, wako bilioni 1.3, lkn swali langu ni kwa nini waliamua kufanya population control kama ni jambo jema kuzaliana bila mpango?
 
post: 33927182, member: 410952"]
Nigeri ina almost eneo kama la TZ, na ina matatizo makubwa sana mkuu, matatizo ya kijamii, kiuchumi, kidini kisiaasa n.k , ni mengi sana kuyajadili hapa, lakini matatizo yote yanakuwa ni magumu kuyasuluhisha sababu ya idadi kubwa ya watu

kuna matatizo kama vita ya wakulima na wafugaji, hili ni complicated kusuluhisha sababu ya ufinyu wa ardhi, kuna tatizo la inequality (gape kubwa kati ya masikini na tajiri) hili nalo ni ngumu kuliondoa sababu ya idadi kubwa ya watu, matatizo kama ugaidi, wizi, haya na yenyewe yanatokana na population kubwa inayofanya vijana wanakuwa desperate na kuwa manipulated kirahisi kujiunga na hayo makundi, Wa Nigeria juzi pia kulivyotokea vurugu South Afrika wao ndio walikuwa wahanga wakubwa sababu ndio wahamiaji wengi kule, wanahamia sababu nchi yao ndio vile tena. Hya ni baadhi tu

Hilo la Wachaga kupigwa vita mimi nadhani ni perception tu za watu, labda ungelielezea vizuri pengine

Rasilimali za Nigeria na za Africa, zina wanufaisha hao ambao unasema wame endelea na hawako overpopulated.

Jaribu kuangalia global ecological footprint na global environmental footprint ya jamii mbali mbali, ili kupata picha nzuri.

Wachagga wamepigwa vita overtly and covertly via pseudo-egalitarian policies and via pseudo-patriotism.

Chagueni rais mzuri mchagga mkristo wa center politics (na asieichukia sabato ya siku ya saba), halafu muungeni mkono, utaona jinsi nchi itakavyoendelea vizuri. Hiyo population ya 100 m to 150 m haitakua tatizo; just turn the regional capitals (like Bukoba, Moshi, Kibaha, Arusha, Iringa, Mtwara etc.) into well planned pro-poor cities, manage the economy well and sustainably, have good governance, respect human rights, respect private property rights (including those of natives), respect community property rights etc. Hiyo ya 200 m sidhani kama itatokea.

Halafu kipindi hicho cha 2100, kuna uwezekano mwisho wa dunia utakuwa umeshafika.[/QUOTE]Mkuu Naomba Kukujibu kwenye Aya yako ya mwisho tu Tena kwa ufupi Sana.

Jibu: Hakuna mwisho wa Dunia Bali life expectancy ya watu ndo itazid kupungua siku Hadi siku. pengine Hadi kufikia mtu mwenye umri wa miaka 5 ndo atakuwa mzee wa kufa.

Mfano; Kutoka enzi za kina Adam kuishi miaka 900+ mpaka sasa hivi miaka 45-65(Range ya life expectancy dunian kote) just imagine miaka 200 ijayo life expectancy ya mtu itakuwa imeshuka Hadi umri gani. Hivyo ndo Dunia itaenda na kamwe Dunia haitaisha Ila Sisi ndo Tunaenda tunaisha kila kukicha na maisha yetu yanaendelea kuwa mafupi daily itafikia Muda umri wa binadam kuishi utakuwa Kama wa Nzi anavyoishi Sasa.

NOTE:Ili uweze kunielewa inatakiwa uweke pembeni mafundisho ya kidini kwanza na ufocus kwenye real facts na uhalisia wa maisha yanavyoenda. Harafu pia hata tukisema tukugusie Mambo ya Imani ; Mungu hawezi kuiteketeza Dunia yake kisa mwanadamu Alie tenda Dhambi Bali atakaeteketezwa Ni mwanadam mwenyewe. Ndo Maana ikawepo kuzimu na peponi. Na zote hazijulikana Kama zipo duniani, juu Wala chini ya Dunia.(japo ukisoma maandiko matakatifu utakuta yanatumia Sana Dunia kama mhusika kuliko mwanadamu juu ya kuteketezwa)

Mwisho: Natamani kutoa details zaidi juu ya hii mada sema nitavuruga Uzi wa mkuu. Coz this topic is not related to the population issues which is our main thread now.
So let us focus on our thread rather than this contravasory issue which need great thinking campacity to discuss.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza ni seme chama ndio kimeshindwa.
Pili ujue shida huleta maarifa
Kama tumeshindwa kujipanga mpaka leo hii kutoka milioni 8 wakati wa Uhuru mpaka ~ milioni 50 leo hii, kipi kinakwambia kwamba tutabadilika? Kama tunashindwa kujipanga leo hii tuko wachache hata chakula tu kipi kinakwambia tukiwa milioni 200 tutaweza?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Naomba Kukujibu kwenye Aya yako ya mwisho tu Tena kwa ufupi Sana.

Jibu: Hakuna mwisho wa Dunia Bali life expectancy ya watu ndo itazid kupungua siku Hadi siku. pengine Hadi kufikia mtu mwenye umri wa miaka 5 ndo atakuwa mzee wa kufa.

Mfano; Kutoka enzi za kina Adam kuishi miaka 900+ mpaka sasa hivi miaka 45-65(Range ya life expectancy dunian kote) just imagine miaka 200 ijayo life expectancy ya mtu itakuwa imeshuka Hadi umri gani. Hivyo ndo Dunia itaenda na kamwe Dunia haitaisha Ila Sisi ndo Tunaenda tunaisha kila kukicha na maisha yetu yanaendelea kuwa mafupi daily itafikia Muda umri wa binadam kuishi utakuwa Kama wa Nzi anavyoishi Sasa.

NOTE:Ili uweze kunielewa inatakiwa uweke pembeni mafundisho ya kidini kwanza na ufocus kwenye real facts na uhalisia wa maisha yanavyoenda. Harafu pia hata tukisema tukugusie Mambo ya Imani ; Mungu hawezi kuiteketeza Dunia yake kisa mwanadamu Alie tenda Dhambi Bali atakaeteketezwa Ni mwanadam mwenyewe. Ndo Maana ikawepo kuzimu na peponi. Na zote hazijulikana Kama zipo duniani, juu Wala chini ya Dunia.(japo ukisoma maandiko matakatifu utakuta yanatumia Sana Dunia kama mhusika kuliko mwanadamu juu ya kuteketezwa)

Mwisho: Natamani kutoa details zaidi juu ya hii mada sema nitavuruga Uzi wa mkuu. Coz this topic is not related to the population issues which is our main thread now.
So let us focus on our thread rather than this contravasory issue which need great thinking campacity to discuss.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna kipindi cha dunia life expectancy ilishuka. Halafu ikaja kuongezeka tena.

Hata Tanzania, kuna kipindi life expectancy ilipanda, halafu ikashuka, halafu ikapanda tena.

The relationship between life expectancy and global population is not a downward sloping linear line.

Kuhusu mwisho wa dunia:

Isaiah 65:17 (kjv) For, behold, I create new heavens and a new earth: and the former shall not be remembered, nor come into mind.

Revelation 21:1 (kjv) And I saw a new heaven and a new earth: for the first heaven and the first earth were passed away; and there was no more sea.
 
Leo Nigeria wako zaidi ya 200milioni, wanakula nini?
Tanzania yetu ni moja kati ya nchi zinazoongoza Duniani kwa ongezeko la watu, kwa mujibu wa statista mwaka 2100 nchi yetu itakuwa zaidi ya watu milioni 200 na moja kati ya nchi kubwa kwa idadi ya watu Duniani.

Najiuliza hao watu watakula nini? Wataishi wapi na kulala wapi? Duh, sipati, nitakuwa nimeshaenda hata hivyo, nyie fyatueni tuu, kazi kwenu ukichukulia IQ haiongezeki sijui mtatua vipi matatizo, Tanzania watu zaidi ya milioni 200? Duh!

View attachment 1301392

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania yetu ni moja kati ya nchi zinazoongoza Duniani kwa ongezeko la watu, kwa mujibu wa statista mwaka 2100 nchi yetu itakuwa zaidi ya watu milioni 200 na moja kati ya nchi kubwa kwa idadi ya watu Duniani.

Najiuliza hao watu watakula nini? Wataishi wapi na kulala wapi? Duh, sipati, nitakuwa nimeshaenda hata hivyo, nyie fyatueni tuu, kazi kwenu ukichukulia IQ haiongezeki sijui mtatua vipi matatizo, Tanzania watu zaidi ya milioni 200? Duh!

View attachment 1301392
2100 ni miaka 80 kutoka hapa tulipo. Wewe na mimi hatutokuwepo ondoa,wasiwasi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kipindi cha dunia life expectancy ilishuka. Halafu ikaja kuongezeka tena.

Hata Tanzania, kuna kipindi life expectancy ilipanda, halafu ikashuka, halafu ikapanda tena.

The relationship between life expectancy and global population is not a downward sloping linear line.

Kuhusu mwisho wa dunia:

Isaiah 65:17 (kjv) For, behold, I create new heavens and a new earth: and the former shall not be remembered, nor come into mind.

Revelation 21:1 (kjv) And I saw a new heaven and a new earth: for the first heaven and the first earth were passed away; and there was no more sea.
Mkuu Kama Uzi huu ungekuwa unahusiana na hili Jambo ningeweza kukujibu in deep Zaidi with references from the bibble . Sema Kama nilivyosema mwanzo kuwa Tusiharibu Uzi wa mkuu mwenzetu kwa kuleta mada zisizo husiana Maana hiyo ilikuwa kama kionjo tu.

Ahsante kwa kuchangia maoni yako pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania yetu ni moja kati ya nchi zinazoongoza Duniani kwa ongezeko la watu, kwa mujibu wa statista mwaka 2100 nchi yetu itakuwa zaidi ya watu milioni 200 na moja kati ya nchi kubwa kwa idadi ya watu Duniani.

Najiuliza hao watu watakula nini? Wataishi wapi na kulala wapi? Duh, sipati, nitakuwa nimeshaenda hata hivyo, nyie fyatueni tuu, kazi kwenu ukichukulia IQ haiongezeki sijui mtatua vipi matatizo, Tanzania watu zaidi ya milioni 200? Duh!

View attachment 1301392
2100 wote humu JF tutakuwa hatupo duniani. Usisumbue akili kwa vitu vya 2100.Be happy live your Life,ukimaliza zamu yako unakufa. That's Life. There is no Life without Death.
 
Ndio maana waafrika hatuendelea, sababu watu wenye akili kama zako ndio wamejaa maofisini na kwenye Siasa, chukulia tu mji kama Dar, kuna watu wajinga by then wenye akili kama zako hawakuona umuhumi wa kupanga mji, kupima viwanja, etc, Leo asilimia 80 ya wakazi wa Dar wanaishi kama chawa, maeneo yasiyopimwa, hayaeleweki, ukiwa juu kwenye ndege unafikili unaenda kwenye mji ni kambi ya wakimbizi, wazungu Miji yao wameipanga kabla hata ya Berlini conference, wamekuwa tu waki update master plan zao over the years, sababu wana akili, wanajua after 100 years kuna kizazi kitakuwepo, Botha alishawahi kusema "Pretoria was built by white man's intelligence" Leo mnafurahia mkienda Miji ya wazungu full kupiga Picha na kuweka Instagram ili uonekane uko majuu, Leo ukienda New York ni mji uliopagwa miaka ya 1800s, ukifika New York, kuna park inaitwa Central Park ili dizainiwa (design) mwaka 1857 ina ukubwa wa acres 843, sijui kipindi hicho babu yako alikuwa pori gani sababu hata Tanganyika haikuwepo, hata Berlin Conference kugawana Africa hawajakaa.

Imagine how focused the white people are,kama haujui central park, ingia you tube uangalie, uone watu waliamua iwepo miaka ya 1850s, more than 200 years ago,

Rudi Dar yako mji mzima Mkubwa una watu zaidi ya mil 4 hauna park, au pale Mnazi mmoja ndio unaona ni park ile? Au pale NBC posta? Nenda mji wa Mwanza angalia watu walivyojenga milimani utafikiri watu hatuna akili vile,

Mifano yote hii INA soma kubwa moja:

Unachopanga na kufanya Leo lazima matokeo yao utayaona tu huko baadae, tukizaliana hovyo bila mipango ya maana ya kukuza uchumi lazima matatizo makubwa ya kijamaa, kisiasa na kiuchumi yatatukumba kama gharika! Upandacho ndio utakacho vuna.
 
Back
Top Bottom