hope 2
Senior Member
- Apr 28, 2010
- 154
- 7
inaweza kua kweli Mkuu, inabidi viongozi wa chama wawe makini kukusanya data toka kwa wakala wao na kujumlisha wenyewe na hata kama asiposhinda basi matokeo yawe ya haki JK asijejidai kua kapata asilimia kubwa kumbe hamna.
Ikiwa hivyo Upinzani utaonekana hauna nguvu na ni njama za kuua Upinzani.
Hata nikishindwa sawa lakini kwa asilimia sahihi.
Ikiwa hivyo Upinzani utaonekana hauna nguvu na ni njama za kuua Upinzani.
Hata nikishindwa sawa lakini kwa asilimia sahihi.