Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 3,879
- 2,369
Kalamu na Mzalendohalisi nawashukuruni. tuendeleze mjadala huu kwani yawezekana tukapata majibu sahihi ya kwa nini sisi ni vilaza kama Mtoa mada alivyoita.
Ukichukua mfano wa kenya ni kwamba Kibaki hakuondoka peke yake, kulikuwa na wengi na wote walikuwa ni vigogo wanaokubalika kwenye siasa za Kenya. kilichotokea sote tunajua. Sasa sisi hapa ni tofauti. haitoshi rais kushinda bila wabunge kwa hiyo tunahitaji kikundi cha viongozi kuondoka huko. Naamini tukiweza kupata viongozi kumi kutoka ccm, Siasa za nchi yetu zitabadilika sana na as a result tutashuhudia mabadiliko makubwa ktk uchumi wa nchi yetu.
Ukichukua mfano wa kenya ni kwamba Kibaki hakuondoka peke yake, kulikuwa na wengi na wote walikuwa ni vigogo wanaokubalika kwenye siasa za Kenya. kilichotokea sote tunajua. Sasa sisi hapa ni tofauti. haitoshi rais kushinda bila wabunge kwa hiyo tunahitaji kikundi cha viongozi kuondoka huko. Naamini tukiweza kupata viongozi kumi kutoka ccm, Siasa za nchi yetu zitabadilika sana na as a result tutashuhudia mabadiliko makubwa ktk uchumi wa nchi yetu.