Tanzania yazidi kushuka hadhi kwenye jumuiya ya kimataifa?

Sisi wenye we got to be serious and bold in our decisions. Mara TZ, TZ Bara, Tanganyika mara Zanzibar. Hapo mwanzo znz haikuwa nchi sasa imekuwa nchi mambo yamekuw ovyo. tanganyika irudi au znz ife.
 
Wenzetu wameshaacha usanii! hawana muda wa kupoteza kama sie!
 
Kaka usiende mbali sasa,

Hata Mwalimu Nyerere mwenyewe angekua hai angealikwa nadiriki kusema kwaa uhakika kwa Mchonga asingetokea kwa jinsi TULIVYOJITUTUMLISHA NA SHEREHE ZA KIFAHARI ya siku moja katika bahari ya umasikini wa zaidi ya miaka 50 kwa kutumbua Tshs 50 bn/-.

Wenye kuumwa na umasikini wa nchi ndio hivo hawapo tena kila siku ni sherehe tena yaa kukata na shoka huku hata na Ka-Rwanda kanatukimbia kabisa kiuchumi leo hii.

Maraisi wa Afrika Mashariki wamepata dharura na kushindwa kuja kuhudhuria sherehe za kutimiza miaka 50 ya uhuru wetu. Je,wamezira sababu tumekataa kuweka ardhi yetu rehani ktk shirikisho la A. Mashariki? Hawa kweli ni wenzetu kama wanavyotaka tuwaamini? Hivi hatuwezi kuendelea mpaka tuwe na 'ushosti' nao?
 
Maraisi wa Afrika Mashariki wamepata dharura na kushindwa kuja kuhudhuria sherehe za kutimiza miaka 50 ya uhuru wetu. Je,wamezira sababu tumekataa kuweka ardhi yetu rehani ktk shirikisho la A. Mashariki? Hawa kweli ni wenzetu kama wanavyotaka tuwaamini? Hivi hatuwezi kuendelea mpaka tuwe na 'ushosti' nao?

Na wewe Choka mbaya unakua kama mtu asiye mwelewa? Ardhi gani tungeiweka rehani katika shrikisho la A. Mashariki? Ardhi ya wadanganyika ilishauzwa siku nyingi! Ndiyo maana kwenye madini tunapata 3% ikiwa kama chenji yetu.
 
Mnaongea upupu 2,kwa habari za ndani na uhakika marais wa afrika mashariki wamekasirishwa na ha2a ya Tanzania kukataa kusaini mkataba wa Jumuia ya Afrika mashariki wenye vipengele vya ardhi na usalama,pili kutoshiriki kwa JK kwenye mikutano ya Eac inayofanyika nje ya Tanzania,LET THEM GO TO HELL WE NEED OUR LAND.
 
Na bado naiona amani na maendeleo SADC kuliko EAC,falsafa ya EAC bado haiko bayana na imekaa kijanjakijanja (kihuni) zaidi,Tz tumechomekwa tu bila kurealise kwanini tuungane ama la

God forbid! Inji yetu imekaa kiujanja zaidi. We have to live and learn.
 
Mnaongea upupu 2,kwa habari za ndani na uhakika marais wa afrika mashariki wamekasirishwa na ha2a ya Tanzania kukataa kusaini mkataba wa Jumuia ya Afrika mashariki wenye vipengele vya ardhi na usalama,pili kutoshiriki kwa JK kwenye mikutano ya Eac inayofanyika nje ya Tanzania,LET THEM GO TO HELL WE NEED OUR LAND.

Kula tanoo mkuu umeliona hilo..wanataka kutuburuza tusign mkataba as if sisi machizi...hongera JK kukataa kusign huo upupu...sisi hatuwahitaji sana kama wanavyotuhitaji....kwani wasipokuja kwenye sherehe tumepungukiwa na kitu..waende kule hatuwaitaji....EU yenyewe inakufa kwa nn sisi tuuvae mkenge????big up JK kwa kukataa huo utumbo wa EAC.
 
SADC is a true organization to join! hebu angalia wakenya walivyopambana kuzuiya tuziuze yale meno ya tembo. eti leo hii tuseme ni rafiki zetu!! urafiki gani huo????????????????????????????????????????
Na bado naiona amani na maendeleo SADC kuliko EAC,falsafa ya EAC bado haiko bayana na imekaa kijanjakijanja (kihuni) zaidi,Tz tumechomekwa tu bila kurealise kwanini tuungane ama la
 
Ukiona hivyo basi ujuwe wanaweza kuwasaidia "waasi wa Tanzania" endapo watakuwepo.

Msimamo wa vyama vya upinzani kwenye hiyo issue ukoje?

Ama mjadala huu ni wa wana CCM?
 
Ukiacha marais wa EAC wote kuwa na dharura kwa mpigo na hivyo
kushindwa kuja, ni viongozi gani wengine wa nchi za nje wameshiriki?

Jirani yako akishindwa kuja kujumuika nawe kwenye jambo kubwa kama hili, inabidi
kujiuliza mara mbilimbili!

Ndugu yangu we! ulidhani maraisi wote ni wadhurulaji kama raisi wako?
 
Ukiona hivyo basi ujuwe wanaweza kuwasaidia "waasi wa Tanzania" endapo watakuwepo.

Msimamo wa vyama vya upinzani kwenye hiyo issue ukoje?

Ama mjadala huu ni wa wana CCM?

Hivi lengo kuu la sherehe lilikuwa ni nini? Bajeti yake ili kiasi gani?
 
hii inanikumbusha mfano wa Yesu kwenye Bible wa jamaa aliye alika watu karamuni alafu wote hawakutokea na sababu zilikuwa;
  • Wa kwanza - nimeoa siwezi kuja huko
  • Wa pili - nimenunua jozi tano za ng'ombe nakwenda kuzijaribu kwa hiyo sita fika huko
  • Wa tatu - nimenunua shambanakwenda
Baadaye yule jamaa akamuru kuitwa watu wote ambao hawakuwemo kwenye mwaliko

'' it is very interesting ''
 
Duuh, Mkuu mbona umefika mbali hivo?

Hapa Tanzania hatuhitaji waasi wala nini maana 'Nguvu ya Umma' ni jeshi tosha hakuna mfano wake. Tutakabana hapa hapa ki-demokrasia mpaka siku moja tuje tuelewane lugha moja na hawa ndugu zetu wabishi wa kukubali mabadiliko nchini.

Ukiona hivyo basi ujuwe wanaweza kuwasaidia "waasi wa Tanzania" endapo watakuwepo.

Msimamo wa vyama vya upinzani kwenye hiyo issue ukoje?

Ama mjadala huu ni wa wana CCM?
 
EAC haina maana hata kidogo,la msingi tupunguziane kodi kwenye bidhaa zetu basi inatosha tusifike huko kwenye sarafu wala ardhi!!
 
Jamani marais hao hawapendi kudanganywa. Hakuna nchi inayoitwa Tanzania ambayo imetimiza miaka 50 ya uhuru. Tuweni wakweli. Hivi tunavyofanya tunaandika historia ya vizazi vyetu. Vizazi vyetu vitakuja kutusuta, jamani hawa mababu zetu walikuwa wamesoma au angalau walikuwa wanajihangaisha kutumia bongo zao? Tanzania ilipata uhuru kwa nani? Tanzania ilizaliwa 1964, baada ya Tanganyika na Zanzibar kuungana, leo 2011 kuwa wamefikisha miaka 50 ya uhuru. Hata mtoto wa darasa la tatu hakubali. Pengine hao marais wa Afrika ya Mashariki hawakutaka kuja kuingizwa katika historia ya watu wasiofikiria.
 
Hao wanaojiita marafiki toka EA ni wanafiki wakubwa, wameona tumewanyima ardhi yetu ndio wamekasirika. Bora hata hawajaja maana wangetuchefua.


Don't use your thought as conclusion my friend..watu wanaona ni uzindaki, ubakaji na ufisadi wa kodi za wananchi wao ndio maana hawajaja unadhani rais wa nchi kwenda nchi nyingine ni mchezo nini? eti kwenye sherehe za Uhuru wa tanganyika nchi na jina ambalo lishazikwa ni uwendawazimu...haikutakiwa hata wawakilishi wao kuja kwani ni ufujaji wa mali ya uma wao...na hawa wanaojiita wapigania uhuru walipigana na nani na vita hiyo ilikuwa na madhara gani kwani nijuavyo mimi hatujamwaga damu kudai uhuru sasa hao wapiganaji ni wapi? nijuzeni wataalamu wa
 
Acheni ushabiki wenu wa kisiasa hapa,Hivi wewe ukialikwa kwenda kuhudhuria sherehe za mtoto anayetimiza miaka 10 lakini ukafanikiwa kumwona kuwa bado anatambaa na kujinyea,kisha ukasusia kuhudhuria kutokana na kutoridhishwa na maendeleo ya mtoto huyo kiukuaji na hasa ikiwa chanzo ni matunzo hafifu ya wazazi haohao waloanda sherehe mtu timamu atakushangaa?TUSICHANGANYE MAMBO YA EAC NA SHEREHE HIZI ZA MIAKA HAMSINI YA UHUNI WA WATAWALA DHIDI YA WATAWALIWA.
 
Back
Top Bottom