Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,492
- 8,537
Yaani ccm imara inayumbushwa na barua moja ya ZZK?
Hiki chama kinajishusha hadhi sana...!!
Hiki chama kinajishusha hadhi sana...!!
Yes sisi ni inchi tajiri sana why tuombe misaada?
Mjinga mwenyewe, pumbavu!
Mabeberu yamewashika pabaya serikali ya Magufuli kutwa kutembeza bakuli kwa mabeberu huku mkidanganya wananchi wanyonge kuwa nyie ni matajiri.
yah nilichokiandika nilidhamiria misaada ndiyo maana nikaweka muhisani....hata hivyo mikopo yenyewe ni kama misaada kwa sababu tunaiomba kwa dhumuni la kutatua kero zetu na sio kufanyia biasharaNadhani ni mkopo chief...sio msaada.
Zitto Kabwe uwezo wake wa Kufikilia unaishia Burundi na Kongo, Maisha ya kwetu hajayazoea. Amezoea kulalamika ili apewe msaada, Mpaka namna ya kulalamika anajikuta anaishi Maisha ya nchi ya Wazazi wake ya asili.Zitto anafanya watu wasilale, kawashika pabaya CCM.
Kazi ya upinzani sio kupinga ninkuonyesha mbadala wa Sera walizonazo.Si ndiyo maana wakaitwa wapinzani, kwani mpinzani kazi yake ni kuunga mkono au kupinga??
Wao kupinga na kutafutakasonro za serikali diooo kazi yao na wanalipwa kwa hilo.
Suala ni barua au siasa za kipuuzi na kukosa uzalendo kwa nchi yako!Yaani ccm imara inayumbushwa na barua moja ya ZZK?
Hiki chama kinajishusha hadhi sana...!!
Uzalendo ndo kujiondoa akili na kukubali kudanganywa na genge ccm??Suala ni barua au siasa za kipuuzi na kukosa uzalendo kwa nchi yako!
Zitto ni mrundi OG kabisaPole Pole Zitto akisema tunyimwe maana yake nao ni watanzania, sio warundi, mkitaka mtendewe wema na nyie watendeeni wenzenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbinu muflisi, hoja hujibiwa kwa hoja, na wala si kwa viroja ama viroba kichwani.Ningelihakikisha namsubiria 2020 kimya kimya namnyang'anya Ubunge
Ningelitembelea akaunti zake na kuzipiga ban zote kwa amri isiyopingika
Ningelimuondolea hadhi ya kuwa kiongozi wa chama cha siasa kwa ngazi yoyote
Ningemtafutia njia yoyote ile ya kumdhoofisha kiuchumi
Ningemnyang'anya Passport ya kusafiria
Ningemfanya aripoti kituo cha Polisi kila siku
Ningelipiga marufuku chombo chochote cha habari kuandika habari zake.
Mbona umepanic bro