Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,957
- 93,938
Mkuu ili mwanamichezo wa kada yoyote ashiriki Olympics ni hadi afikie viwango vya kwenda huko...
Riadha, masumbwi na siku za karibuni kuogelea ndio yamekuwa mashindano makuu ambayo Tanzania imekuwa ikitoa wawakilishi...
Kuna mahali nilisoma, Olimpiki ya mwaka huu tutakuwa na wawakilishi wachache sababu hatukuweza kupeleka watu wa masumbwi kwenye qualifications (nadhani Covid ndio kikwazo)...
Hivyo nafasi pekee zilizosalia ni riadha ndio hizo nafasi tatu na kuogelea (kulikuwa na mabwana wadogo wawili sijui kama walifuzu wale)
Riadha, masumbwi na siku za karibuni kuogelea ndio yamekuwa mashindano makuu ambayo Tanzania imekuwa ikitoa wawakilishi...
Kuna mahali nilisoma, Olimpiki ya mwaka huu tutakuwa na wawakilishi wachache sababu hatukuweza kupeleka watu wa masumbwi kwenye qualifications (nadhani Covid ndio kikwazo)...
Hivyo nafasi pekee zilizosalia ni riadha ndio hizo nafasi tatu na kuogelea (kulikuwa na mabwana wadogo wawili sijui kama walifuzu wale)