Tanzania nchi ya umeme wa bei chee zaidi EAC

Tanzania kama speed ni hii basi mpaka 2030 huenda Tanzania ndio ikawa nchi yenye Uchumi mkubwa Africa,Tumwombe sana Mungu wetu katika hili
 
Team JF,


MERRY CHRISTMAS AND HAPPY NEW YEAR 2022.

#TUENDELEE KUMUUNGA MKONO RAIS WETU,
 

Tanzania yatajwa kuwa ndio nchi yenye umeme wa bei chee zaidi Africa mashariki || Rwanda yatajwa kuuza umeme bei ya ghali zaidi nchi za maziwa makuu,​

" Hakuna kama Samaia "​



Tanzania baada kutajwa kama nchi yenye gharama ndogo ya mafuta ya taa, Petroli na dizeli ukiilinganisha na nchi zingine zinazounda jumuiya yetu ya Africa Mashariki ( EAC )

Vilevile,baada ya Tanzania kutajwa kuwa ndio nchi yenye gharama ndogo ya kununua bando yaani ( GB 1 ) Africa || Pongezi zote ziende kwa kiongozi mkuu wa Serikali Rais Samia Suluhu Hassan kwa juhudi kubwa na nzuri anazozifanya katika kuwaletea maendeleo endelevu watu wake hawa ambao bado ni masikini wanahitaji unafuu wa maisha,

Ukisoma taarifa za jarida maarufu duniani la GPP ( Global Petrol Price) linaonesha hadi mwanzoni mwamwaka huu wa 2021 na mwishoni mwamwaka jana 2020 bei ya Umeme kwa ( kWh) kwenye mataifa makubwa ya Africa mashariki ( electricity tariff ) ilikuwa kama ifuatavyo :-

1. Rwanda $0.258kWh au TZS 567,6

2. Kenya $0.212kWh au TZS 466.4

3. Uganda $0.191kWh au TZS 420.2

4. Tanzania $0.099kWh au TZS 217.8


Hapa Watanzania mnielewe vizuri,Bei hii inamaana kuwa "Umeme unaotumia Wewe Mtanzania kwa siku mbili Ukienda Rwanda, Kenya au Uganda utatumia Umeme huohuo kwa masaa tu " Watanzania tuweni na shukrani kwani nchi yetu iko vizuri na katika uelekeo sahihi,

Watanzania lazima tuelewe vizuri, Juhudi zinazofanywa na Chama cha mapinduzi kupitia Serikali yake katika kuwaletea unafuu wa maisha wananchi wake huwezi kuzipata popote pale Africa na ushahidi ni hizi taarifa ambazo chanzo chake si Watanzania,

NB,Hapa tu ikiwa bado hatujaachia zile megawatt zetu 2,115 toka bwawa la Mwl Nyerere ( JNHPP ) kwenye gridi ya Taifa,

"
Amini nawaambieni,Tanzania tuko vizuri Sana kamwe tusijidharau wala kujilalamikia cause God loves us "

View attachment 1954959
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
Safi sana, Tanzania tuko juu sana
 
Miradi yote iliyoachwa na Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli Rais Samia Suluhu Hassan anaitekeleza kwa 100%

Sihiyo tu tayari mingine mipya inaendelea na Ujenzi,

Tunawajibu wa kumwombea Mama huyu,
 
Miradi yote iliyoachwa na Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli Rais Samia Suluhu Hassan anaitekeleza kwa 100%

Sihiyo tu tayari mingine mipya inaendelea na Ujenzi,

Tunawajibu wa kumwombea Mama huyu,
 
#2025Fever itawapotezea muda wenu bure,hakuna wakumuangusha Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi hizi kubwa na nzuri anazozifanya,

#KAZIIENDELEE NA MAMA
 
Hakika kama mambo yataendelea kuwa hivi Rais Samia Suluhu Hassan atashinda Uchaguzi Huru na Haki wa 2025 kwa zaidi ya 76%
 
Hakika kama mambo yataendelea kuwa hivi Rais Samia Suluhu Hassan atashinda Uchaguzi Huru na Haki wa 2025 kwa zaidi ya 76%
 
Kama mambo ndio haya basi Tanzania kama kuna wakati tumepata Rais bora na wa kweli nadhani ni sasa,Tufanye kazi kwa bidii sana,

Hakika huyu Mama ni Mpango wa Mungu,

#WATANZANIA TUFANYE KAZI KWA BIDII
 
" Kwa mwendo huu Tanzania tutafika tunakotaka kwenda tena kwa kuwahi sana, Hongera Mama Samia, Watanzania tuko nyuma yako We chapa kazi achana na Wasio na jema "
 

Tanzania yatajwa kuwa ndio nchi yenye umeme wa bei chee zaidi Africa mashariki || Rwanda yatajwa kuuza umeme bei ya ghali zaidi nchi za maziwa makuu,​

" Hakuna kama Samaia "​



Tanzania baada kutajwa kama nchi yenye gharama ndogo ya mafuta ya taa, Petroli na dizeli ukiilinganisha na nchi zingine zinazounda jumuiya yetu ya Africa Mashariki ( EAC )

Vilevile,baada ya Tanzania kutajwa kuwa ndio nchi yenye gharama ndogo ya kununua bando yaani ( GB 1 ) Africa || Pongezi zote ziende kwa kiongozi mkuu wa Serikali Rais Samia Suluhu Hassan kwa juhudi kubwa na nzuri anazozifanya katika kuwaletea maendeleo endelevu watu wake hawa ambao bado ni masikini wanahitaji unafuu wa maisha,

Ukisoma taarifa za jarida maarufu duniani la GPP ( Global Petrol Price) linaonesha hadi mwanzoni mwamwaka huu wa 2021 na mwishoni mwamwaka jana 2020 bei ya Umeme kwa ( kWh) kwenye mataifa makubwa ya Africa mashariki ( electricity tariff ) ilikuwa kama ifuatavyo :-

1. Rwanda $0.258kWh au TZS 567,6

2. Kenya $0.212kWh au TZS 466.4

3. Uganda $0.191kWh au TZS 420.2

4. Tanzania $0.099kWh au TZS 217.8


Hapa Watanzania mnielewe vizuri,Bei hii inamaana kuwa "Umeme unaotumia Wewe Mtanzania kwa siku mbili Ukienda Rwanda, Kenya au Uganda utatumia Umeme huohuo kwa masaa tu " Watanzania tuweni na shukrani kwani nchi yetu iko vizuri na katika uelekeo sahihi,

Watanzania lazima tuelewe vizuri, Juhudi zinazofanywa na Chama cha mapinduzi kupitia Serikali yake katika kuwaletea unafuu wa maisha wananchi wake huwezi kuzipata popote pale Africa na ushahidi ni hizi taarifa ambazo chanzo chake si Watanzania,

NB,Hapa tu ikiwa bado hatujaachia zile megawatt zetu 2,115 toka bwawa la Mwl Nyerere ( JNHPP ) kwenye gridi ya Taifa,

"
Amini nawaambieni,Tanzania tuko vizuri Sana kamwe tusijidharau wala kujilalamikia cause God loves us "

View attachment 1954959
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
Wonderful
 

Tanzania yatajwa kuwa ndio nchi yenye umeme wa bei chee zaidi Africa mashariki || Rwanda yatajwa kuuza umeme bei ya ghali zaidi nchi za maziwa makuu,​

" Hakuna kama Samaia "​



Tanzania baada kutajwa kama nchi yenye gharama ndogo ya mafuta ya taa, Petroli na dizeli ukiilinganisha na nchi zingine zinazounda jumuiya yetu ya Africa Mashariki ( EAC )

Vilevile,baada ya Tanzania kutajwa kuwa ndio nchi yenye gharama ndogo ya kununua bando yaani ( GB 1 ) Africa || Pongezi zote ziende kwa kiongozi mkuu wa Serikali Rais Samia Suluhu Hassan kwa juhudi kubwa na nzuri anazozifanya katika kuwaletea maendeleo endelevu watu wake hawa ambao bado ni masikini wanahitaji unafuu wa maisha,

Ukisoma taarifa za jarida maarufu duniani la GPP ( Global Petrol Price) linaonesha hadi mwanzoni mwamwaka huu wa 2021 na mwishoni mwamwaka jana 2020 bei ya Umeme kwa ( kWh) kwenye mataifa makubwa ya Africa mashariki ( electricity tariff ) ilikuwa kama ifuatavyo :-

1. Rwanda $0.258kWh au TZS 567,6

2. Kenya $0.212kWh au TZS 466.4

3. Uganda $0.191kWh au TZS 420.2

4. Tanzania $0.099kWh au TZS 217.8


Hapa Watanzania mnielewe vizuri,Bei hii inamaana kuwa "Umeme unaotumia Wewe Mtanzania kwa siku mbili Ukienda Rwanda, Kenya au Uganda utatumia Umeme huohuo kwa masaa tu " Watanzania tuweni na shukrani kwani nchi yetu iko vizuri na katika uelekeo sahihi,

Watanzania lazima tuelewe vizuri, Juhudi zinazofanywa na Chama cha mapinduzi kupitia Serikali yake katika kuwaletea unafuu wa maisha wananchi wake huwezi kuzipata popote pale Africa na ushahidi ni hizi taarifa ambazo chanzo chake si Watanzania,

NB,Hapa tu ikiwa bado hatujaachia zile megawatt zetu 2,115 toka bwawa la Mwl Nyerere ( JNHPP ) kwenye gridi ya Taifa,

"
Amini nawaambieni,Tanzania tuko vizuri Sana kamwe tusijidharau wala kujilalamikia cause God loves us "

View attachment 1954959
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
Nakupenda Tanzania wangu
 
Back
Top Bottom