mulwanaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 5,262
- 12,835
Raisi wetu sio mtu wakuaminika sana, alisema kila kijiji atakipa 50m paka sasa bado labda mwakani ndoatatekeleza ahadi yakeTukuamini wewe au tumuani raisi. Maana raisi anasema hiyo miradi mikubwa inajengwa kwa fedha za ndani. Raradox!