joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Serikali ya Tanzania imeonyesha wasiwasi wake kufuatia taarifa za wizi wa kura na ukosefu mkubwa wa amani kufuatia fujo na uharibifu wa mali uliotokea katika baadhi ya maeneo na miji nchini humo.
Tanzania pia imesikitishwa na kitendo cha baadhi ya wagombea wa kiti cha urais katika uchaguzi huo kujitangazia ushindi kinyume cha taratibu jambo linalochangia kuzuka kwa fujo na uvunjifu wa Amani, na kuitaka serikali ya Marekani kuhakikisha kwamba haki na demokrasia inatawala katika kipindi chote cha uchaguzi.
Tanzania inaendelea kufuatilia kwa makini uchaguzi huo na kuzitaka pande zote husika kujizuia na vitendo vyovyote vyenye kusababisha uvunjifu wa Amani.
Tanzania pia imesikitishwa na kitendo cha baadhi ya wagombea wa kiti cha urais katika uchaguzi huo kujitangazia ushindi kinyume cha taratibu jambo linalochangia kuzuka kwa fujo na uvunjifu wa Amani, na kuitaka serikali ya Marekani kuhakikisha kwamba haki na demokrasia inatawala katika kipindi chote cha uchaguzi.
Tanzania inaendelea kufuatilia kwa makini uchaguzi huo na kuzitaka pande zote husika kujizuia na vitendo vyovyote vyenye kusababisha uvunjifu wa Amani.