Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,010
- 9,874
Utafiti uliofanywa na Global Innovation Index umeitaja Tanzania kushika nafasi ya tatu kwa ubunifu nchi za kusini mwa Jangwa la Sahara huku ikiwa nafasi ya 90 kidunia
Nafasi ya kwanza kwa Afrika inashikiliwa na Afrika Kusini ikifuatiwa na Kenya. Huku nafasi ya kwanza duniani ikishikwa na Marekani
Orodha hutolewa na Shirika la Mali Miliki Ulimwenguni (WIPO) na huangazia vitu vinavyofanikisha ustawi uwezekaji, ajira, uboreshaji wa hali ya maisha na urahisi wa kufanya biashara na kazi
Download ripoti HAPA
Nafasi ya kwanza kwa Afrika inashikiliwa na Afrika Kusini ikifuatiwa na Kenya. Huku nafasi ya kwanza duniani ikishikwa na Marekani
Orodha hutolewa na Shirika la Mali Miliki Ulimwenguni (WIPO) na huangazia vitu vinavyofanikisha ustawi uwezekaji, ajira, uboreshaji wa hali ya maisha na urahisi wa kufanya biashara na kazi
Download ripoti HAPA