beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Tanzania imesema haijapuuza hatua za kisayansi katika kupambana na #COVID19 na haijajitenga na dunia katika jitihada za kutafuta suluhisho la Ugonjwa huo.
Hata hivyo, imeelezwa kuwa, Tanzania haitopuuza matumizi ya dawa zitokanazo na mitishamba kwakuwa bado dunia inatafuta Tiba na Chanjo ya Virusi vya Corona.
Akiwa Paris Nchini Ufaransa ambapo amekutana na Watanzania waishio huko, Waziri wa Mambo ya Nje, Prof. Palamagamba Kabudi amewataka wapuuze habari zisizo na ukweli kuhusu Tanzania kupuuza hatua za kisayansi.
Amesisitiza, "Tunatumia mbinu zote kupambana na maradhi ya mlipuko"
Chanzo: TBC Aridhio
Hata hivyo, imeelezwa kuwa, Tanzania haitopuuza matumizi ya dawa zitokanazo na mitishamba kwakuwa bado dunia inatafuta Tiba na Chanjo ya Virusi vya Corona.
Akiwa Paris Nchini Ufaransa ambapo amekutana na Watanzania waishio huko, Waziri wa Mambo ya Nje, Prof. Palamagamba Kabudi amewataka wapuuze habari zisizo na ukweli kuhusu Tanzania kupuuza hatua za kisayansi.
Amesisitiza, "Tunatumia mbinu zote kupambana na maradhi ya mlipuko"
Chanzo: TBC Aridhio