Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,164
nimesikia kwenye taarifa ya habari ITV, Tanzania imesaini mkataba na serikali ya Oman.
Mkataba huo umewafurahisha sana Oman sababu kuna kipengele cha kulinda mali za wafanyabiashara wa nchi zote mbili.
Zanzibar itafadhiliwa/saidiwa kwenye elimu ya madaktari, engineering, na walimu.
Mkataba huo umegusia madini, kilimo na elimu.
Najiuliza, mkataba huo terms and condition zikoje??
Madini tunabadilisha na kusomeshewa walimu? Madaktari?
Mkataba huo umewafurahisha sana Oman sababu kuna kipengele cha kulinda mali za wafanyabiashara wa nchi zote mbili.
Zanzibar itafadhiliwa/saidiwa kwenye elimu ya madaktari, engineering, na walimu.
Mkataba huo umegusia madini, kilimo na elimu.
Najiuliza, mkataba huo terms and condition zikoje??
Madini tunabadilisha na kusomeshewa walimu? Madaktari?