Tanzania yasaini Mkataba na serikali ya Oman

Kongosho

JF-Expert Member
Mar 21, 2011
35,999
24,164
nimesikia kwenye taarifa ya habari ITV, Tanzania imesaini mkataba na serikali ya Oman.

Mkataba huo umewafurahisha sana Oman sababu kuna kipengele cha kulinda mali za wafanyabiashara wa nchi zote mbili.

Zanzibar itafadhiliwa/saidiwa kwenye elimu ya madaktari, engineering, na walimu.

Mkataba huo umegusia madini, kilimo na elimu.

Najiuliza, mkataba huo terms and condition zikoje??

Madini tunabadilisha na kusomeshewa walimu? Madaktari?
 
Hiyo ndiyo Tanzania ya sasa. Huwa nachukia sana ninaposikia mkataba umesainiwa na unakuwa ni siri. Sasa kama ni siri kwanini watutaarifu wananchi kwamba wameusaini? Serikali wanapojifanya viongozi wa dini ni tatizo kubwa. Kwa uelewa wangu hapa Tanzania watu wenye haki ya kuongea bila kuulizwa why ni viongozi wa dini wakiwa makanisani au misikitini. Wanasiasa wanatakiwa wahojiwe why popote waongeapo hata kama wanaongea wakiwa kwenye nite dress. Sasa mtu ukiuliza mkataba huo unahusu nini? Uliandaliwa kwa mchakato gani? Nini faida na gharama za mkataba huo kwa walipa kodi wa Tanzania? Ni nini masharti na viggezo vya mkataba huo. Utaambiwa mkataba ni siri. Sheer stupidity why confidentiality whil my tax money will be involved?
 
nimesikia kwenye taarifa ya habari ITV, Tanzania imesaini mkataba na serikali ya Oman.

Mkataba huo umewafurahisha sana Oman sababu kuna kipengele cha kulinda mali za wafanyabiashara wa nchi zote mbili.

Zanzibar itafadhiliwa/saidiwa kwenye elimu ya madaktari, engineering, na walimu.

Mkataba huo umegusia madini, kilimo na elimu.

Najiuliza, mkataba huo terms and condition zikoje??

Madini tunabadilisha na kusomeshewa walimu? Madaktari?
Mikataba yote ya kihuni haitakuwa Valid kuanzia 2015. tukeshe tukiomba tuliondowe hili zimwi CCM madarakani, then ndio tutadeal na huyo Sultan.
 
kazi kweli kweli. Hii mikataba ya dakika za mwisho. Katiba inasemaje kuhusu mtu/watu kuingia mkataba kwa niaba ya nchi yake TZ?
 
Huo ni mkataba wa kuueneza Uislam nchini. Shame on you JK ( brain dead idiot president ).
 
sio rahisi hivi kuvunja mikataba valid

kuna implications zake na inategemea gharama ya kuvunja mkataba ni zipi pia.

Mikataba yote ya kihuni haitakuwa Valid kuanzia 2015. tukeshe tukiomba tuliondowe hili zimwi CCM madarakani, then ndio tutadeal na huyo Sultan.
 
sio rahisi hivi kuvunja mikataba valid

kuna implications zake na inategemea gharama ya kuvunja mkataba ni zipi pia.
Hiyo mikataba ya kusilimisha watu ni kwa nini isivunjwe? hata mikataba ya kihuni aliyokwenda kusaini Canada yote inavunjika, hatuko tayari kwa any Implication wakati urithi wa watoto zetu unafanywa gulio.
 
wamahojiwa Kigoda na yule waziri wa Zanzibar wa elimu, sikuwaelewa na wala hawakunishawishi walichosaini ni nini.

Hiyo mikataba ya kusilimisha watu ni kwa nini isivunjwe? hata mikataba ya kihuni aliyokwenda kusaini Canada yote inavunjika, hatuko tayari kwa any Implication wakati urithi wa watoto zetu unafanywa gulio.
 
Mbona JK ameongeza spidi ya kusaini mikataba huko ughaibuni na anafahamu kwamba anaelekea ukingoni katika uongozi wake? kuna agenda gani hapa bandugu?
 
nimesikia kwenye taarifa ya habari ITV, Tanzania imesaini mkataba na serikali ya Oman.

Mkataba huo umewafurahisha sana Oman sababu kuna kipengele cha kulinda mali za wafanyabiashara wa nchi zote mbili.

Zanzibar itafadhiliwa/saidiwa kwenye elimu ya madaktari, engineering, na walimu.

Mkataba huo umegusia madini, kilimo na elimu.

Najiuliza, mkataba huo terms and condition zikoje??

Madini tunabadilisha na kusomeshewa walimu? Madaktari?
Huo mkataba umesainiwa na ulisomwa na kuchunguzwa saa ngapi kama unafaa?si jana tu mkulu kaenda huko na mara anaibuka kusaini mikataba? Nina mashaka...Tusijekuambiwa badae kuwa yalikuwa makosa na nchi imeuzwa..
 
kaazi kwelikweli, hawa ndio baadhi ya GT wa JF hata mikataba hatuwezi kutofautisha?
 
Nilimwona jana vasodagama na team yake wakiwa wanashangashangaa kweli jumba la mfalme wa oman hadi aibu
 
nimesikia kwenye taarifa ya habari ITV, Tanzania imesaini mkataba na serikali ya Oman.

Mkataba huo umewafurahisha sana Oman sababu kuna kipengele cha kulinda mali za wafanyabiashara wa nchi zote mbili.

Zanzibar itafadhiliwa/saidiwa kwenye elimu ya madaktari, engineering, na walimu.

Mkataba huo umegusia madini, kilimo na elimu.

Najiuliza, mkataba huo terms and condition zikoje??

Madini tunabadilisha na kusomeshewa walimu? Madaktari?

duh nahisi kama umepotea huku,mida hii ulitakiwa uwe kule chitchat au mmu
 
wamahojiwa Kigoda na yule waziri wa Zanzibar wa elimu, sikuwaelewa na wala hawakunishawishi walichosaini ni nini.
Huyu Sultan ana chumba cha dhahabu hapo ndipo uwazuzuwaga wageni wake malimbukeni wasiojuwa walifuata nini Muscat.

8E9U9591.jpg
 
Nilistushwa JK na Mawaziri wake walivyokuwa wanashangaa jumba lililo nakshiwa na Dhahabu...yaani wametoa Mimacho hadi aibu... watoto wa Sultan wakawa wanawacheka tu Washamba wapya... Kweli tembea sana ujionee Mengi Jk kinachomtembeza duniani ni Ushamba raha zake ni kwenda kushangaa tu... Sasa hiyo mikataba unasinishwa na Mtu aitwae Sultan? tobaa ah... Alikimbizwa na Sasa keshampa njia ya kurejea Zanzibar sasa kwisha tena...
 
Back
Top Bottom