Tanzania Yasaidia Kuleta Muafaka Kenya

NgomaNzito

JF-Expert Member
Jan 10, 2008
559
26
Kenya's President Mwai Kibaki and opposition leader Raila Odinga have signed a deal to end the country's post-election crisis. JK afanya kweli.
 
Kenya's President Mwai Kibaki and opposition leader Raila Odinga have signed a deal to end the country's post-election crisis. JK afanya kweli.

somebody shoot me! Hongera JK kwa kufanya kweli Kenya, natumaini the same procedure itafuatwa Zanzibar pia au sio (kama kweli ni wewe umefanya hili).
 
somebody shoot me! Hongera JK kwa kufanya kweli Kenya, natumaini the same procedure itafuatwa Zanzibar pia au sio (kama kweli ni wewe umefanya hili).

Kama atakuwa kafanya kweli basi ni kwa JK la Uenyekiti wa AU lakini kwa jina la Rais wa Tanzania na jirani ubavu atakuwa hana kabisa .Ila kama ni kweli Hongera sasa njoo kwa kofia hiyo hiyo maliza ya Zanzibar .
 
Jamani mimi nasita kupongeza mpaka tuone hayo yaliyo kny mkataba yametekelezwa kama walivyo kubaliana!! Hawa watu ni vigeugeu kweli I don't trust them at all!!
 
Hata mimi nawapongeza sana hasa Annan na timu yake nzima akiwemo rais Mkapa. Pia nampongeza rais wetu JK, uamuzi wake wa kubaki Nairobi jana huenda umesaidia. Kenya yenye amani ni bora kwa EA nzima.

JK na Mkapa tumieni ujuzi huo kuleta amani Zanzibar.
 
Hata mimi nawapongeza sana hasa Annan na timu yake nzima akiwemo rais Mkapa. Pia nampongeza rais wetu JK, uamuzi wake wa kubaki Nairobi jana huenda umesaidia. Kenya yenye amani ni bora kwa EA nzima.

JK na Mkapa tumieni ujuzi huo kuleta amani Zanzibar.

Unasema ujuzi ? Wanaweza wakiamua lakini kwa Zanzibar wanaangalia madaraja na maslahi ya CCM na si Zanzibar kama Taifa lile .Yaani wanaonekana bora kwa jirani lakini nyumbani wanavurunda .
 
Jamani mimi nasita kupongeza mpaka tuone hayo yaliyo kny mkataba yametekelezwa kama walivyo kubaliana!! Hawa watu ni vigeugeu kweli I don't trust them at all!!

Kuna pionti kubwa sana katika maandiko yako.
Odinga amekuwa akiyageuka makubaliano kila mara. Leo wakijadli hivi anakubali, ikija kwenye utekelezaji anakana kabisa kuhusika na makubaliano ya mwanzo. Annan ana kazi kubwa!
Tuvute subira kwanza kabla ya kuwapongeza kwa hatua hii.
 
Jamani mimi nasita kupongeza mpaka tuone hayo yaliyo kny mkataba yametekelezwa kama walivyo kubaliana!! Hawa watu ni vigeugeu kweli I don't trust them at all!!

Festog,

Annan ana uzoefu mkubwa kwenye hii migogoro ya dunia. Kama amesema deal imepatikana nafikiri ni kweli deal imepatikana. Pia pale alikuwa na wale wasaidizi wake wote wa maana tokea UN.

Aliposimamisha mazungumzo na kusema sasa Odinga na Kibaki wenyewe lazima waamue, alifanya jambo la maana mno. Hata kwa TZ, inabidi ifike mahali
Mwenyekiti wa CUF na CCM wakae pamoja kuamua ya Zanzibar na sio kuwategemea akina Makamba.
 
Festog,

Annan ana uzoefu mkubwa kwenye hii migogoro ya dunia. Kama amesema deal imepatikana nafikiri ni kweli deal imepatikana. Pia pale alikuwa na wale wasaidizi wake wote wa maana tokea UN.

Aliposimamisha mazungumzo na kusema sasa Odinga na Kibaki wenyewe lazima waamue, alifanya jambo la maana mno. Hata kwa TZ, inabidi ifike mahali
Mwenyekiti wa CUF na CCM wakae pamoja kuamua ya Zanzibar na sio kuwategemea akina Makamba.

Kama hayo waliyo kubaliana hakuna unafiki....! sina tatizo na kuwapongeza walio shiriki!

Wacha tupate details za makubaliano yao na timeframe zake, ndipo tutaweza kupima vizuri kama yanatekelezwa kama walivyo kubaliana!
 
SHUKRAN WATANZANIA KWA KUTULETEA AMANI

MAONGEZI YA ANNAN YALIKUWA YAMEGONGA MWAMBA LAKINI RAISI WA JAMHURI YA MUUNGANO YA TANZANIA MH. MKUU WA MAJESHI KANELI JAKAYA MRISHO KIKWETE ALIINGIA KENYA NCHI HII NA KULETA AMANI. SASA NDIO HUYU AMESIMAMA KATI YA KIBAKI NA RAILA PAMOJA NA ANNANI HAPO PEMBENI: HII NI BAADA TU YAKUTANGAZA MAAFIKIANO.

NA NI KAMA YAFUATAYO

Executive PM - MH. RAILA AMOLLO ODINGA (MKUU WA SERIKALI NA MAWAZIRI)
2 MAKAMU WAWILI WA PM - TOKA CHAMA CHA ODM

President - MH. RAIS MWAI KIBAKI
Vice- President - Mh. Kalonzo Musyoka
Makamu VP wawili - TOKA CHAMA CHA PNU

1. Removal of any minister will only be possible after consultation between PNU and ODM Leaders

2. PM and the two Deputy PMs watanyanganywa wadhfa only na Kura ya Kutokuwa na Imani Bungeni (Ambako ODM Ndio wanatawala)

3. Vyeo Vya Uwaziri vyote kugawanwa 50/50 kati ya ODM (50) na PNU/KANU/ODM-Kenya (50)

4. Bunge kukutana mara moja kuhalalalisha Ujenzi wa Ofisi ya Prime Minista na Madepyuti wao. Maafikiano yatapitishwa bila shida jili ODM ndio wengi zaidi na tena sasa wanashirikiana na PNU ya Kibaki.

5. Dokumenti ya Dili hii ya Maafikiano imetengezwa na Tume ya Annani na kusahihishwa na Atoni Jenerali au Mwanasheria Mkuu Serikalini Amos Wako na Wakili mkongwe wa ODM JAMES ORENGO. Raila na Kibaki wameiweka saini na sasa kazi ya Annani basi imekamilika.

6. Baada ya dhiki faraja. Shukran wote kwa kuwa nasi wakati huu mgumu na waambieni wakenya wanaojihifadhi nyumbani kwenu warejee tujengee taifa mpya.

7. Nadhani sasa wanaume wamefahamu kwamba Kenya ni yetu wote na wala sio ya Kabila FULANI au WAZEE NA MABEPARI FULANI.


kenya1.jpg

KENYA JUU
TANZANIA JUU
AFRIKA JUU
EU JUU
UK NA US JUU

MUNGU IBARIKI AFRIKA MASHARIKI.

KT
 
Kuna pionti kubwa sana katika maandiko yako.
Odinga amekuwa akiyageuka makubaliano kila mara. Leo wakijadli hivi anakubali, ikija kwenye utekelezaji anakana kabisa kuhusika na makubaliano ya mwanzo. Annan ana kazi kubwa!
Tuvute subira kwanza kabla ya kuwapongeza kwa hatua hii.

Naomba UTUPATIE mifano hai ya hiyo Flip flop ya ODINGA
 
Kenya's President Mwai Kibaki and opposition leader Raila Odinga have signed a deal to end the country's post-election crisis. JK afanya kweli.

Ambao hawazioni kazi za JK humu ndani sasa unawashuka.
JK ahsante.

Haoooo wenye chuki za kibinafsi na JK wanaona haya.
 
SHUKRAN WATANZANIA KWA KUTULETEA AMANI

MAONGEZI YA ANNAN YALIKUWA YAMEGONGA MWAMBA LAKINI RAISI WA JAMHURI YA MUUNGANO YA TANZANIA MH. MKUU WA MAJESHI KANELI JAKAYA MRISHO KIKWETE ALIINGIA KENYA NCHI HII NA KULETA AMANI. SASA NDIO HUYU AMESIMAMA KUSHOTO WA KIBAKI NA RAILA KULIA KWAKE NA AKINA ANNANI PEMBENI: WANATANGAZA MAAFIKIANO.

NA NI KAMA YAFUATAYO

Executive PM
2 Deputies

Cabinet
President
Vice
2 Depts

Removal of any minister subject to consultation
PM and Deputy can only be renoved by vote of no-confidence
50/50
Constitutional amendment

Deal drafted by Wako and Orengo

You should see how far away Kalonzo is....ANANOSONONEKA MSALITI HUYU.


KENYA JUU
TANZANIA JUU
AFRIKA JUU
EU JUU
UK NA US JUU

MUNGU IBARIKI AFRIKA MASHARIKI.

KT

Ni furaha kuona ndugu zetu wamefikia mwafaka.
Kila mpenda Afrika lazima afurahi.
 
Ambao hawazioni kazi za JK humu ndani sasa unawashuka.
JK ahsante.

Haoooo wenye chuki za kibinafsi na JK wanaona haya.

JK nani ana sababu ya kumchukia binafsi?! The guy aliulizwa swali hapa kuwa kwa nini Tanzania ni masikini akasema kuwa hajui wakati huo huo serikali yake ikisaini mikataba ya kuuza nchi kwa makampuni ya kigeni kwa bei ya karanga.

Utendaji wa JK ndio issue hapa na kwa wewe unayempenda JK nadhani una taarifa kuwa ameoa au sio?
 
Kenya's President Mwai Kibaki and opposition leader Raila Odinga have signed a deal to end the country's post-election crisis. JK afanya kweli.

Hongera JK, next time don't wait too long; akumbuke ana ujiko mkubwa kuliko viongozi wengi wa Afrika. Na huu uchair wa AU a reason to get involved in Darfur and Somalia. Tunataka milio ya risasi na sauti za mapanga kukoma!!

Tanzania pamoja na matatizo yetu yote bado tuko mstari wa mbele katika mambo mengi la amani ni kubwa zaidi.
 
Kuna pionti kubwa sana katika maandiko yako.
Odinga amekuwa akiyageuka makubaliano kila mara. Leo wakijadli hivi anakubali, ikija kwenye utekelezaji anakana kabisa kuhusika na makubaliano ya mwanzo. Annan ana kazi kubwa!
Tuvute subira kwanza kabla ya kuwapongeza kwa hatua hii.

IDIMI:
Naona wewe sio mfuatiliaji mzuri wa mambo yanavyokwenda huko Kenya, hasa kuhusu huu mgogoro wa uchaguzi. Ungekuwa unauelewa mzuri usingeandika hayo hapo chini; ambayo ni kinyume kabisa na ukweli!
 
TUombe Mungu watekeleze waliyoamua.

By the way, ni kitu gani hasa wamekubaliana?

ODM walikuwa wanataka PM anayeteua baraza la mawaziri ndo ilivyokubalika?

Na kama ni hivyo ina maanisha nini? PM ni juu ya rais?
 
Kuna pionti kubwa sana katika maandiko yako.
Odinga amekuwa akiyageuka makubaliano kila mara. Leo wakijadli hivi anakubali, ikija kwenye utekelezaji anakana kabisa kuhusika na makubaliano ya mwanzo. Annan ana kazi kubwa!
Tuvute subira kwanza kabla ya kuwapongeza kwa hatua hii.

Idimi unahuhakika na ulicho andika au umeteleza?
Kwa Mimi ninavyo jua Ni mtu mwingine mwenye ku-short change wenzake wakikubaliana nae, na Sio Raila
 
Hivi hiyo ni kazi yake kwali au mnampamba tu. BBC hata wajataja jina lake!


Kenya rivals agree to share power

The deal follows talks lasting more than a month
Kenyan President Mwai Kibaki and opposition leader Raila Odinga have signed an agreement to end the country's post-election crisis.
At a ceremony in Nairobi, the two men put their signatures to a power-sharing deal brokered by ex-UN head Kofi Annan.

A coalition government comprising members of the current ruling party and opposition will now be formed.

Some 1,500 people died in political violence after Mr Odinga said he was robbed of victory in December's polls.

Compromise was necessary for the survival of this country

Kofi Annan

International observers agreed the count was flawed.

Violence has mostly receded, but tensions are still running extremely high.

Negotiations between the government and Mr Odinga's Orange Democratic Movement (ODM) lasted more than a month, stalling several times.

Discussions centred on the creation of the post of prime minister, which will be taken by Mr Odinga.

'New chapter'

Speaking after the deal was signed, Mr Annan said the division of posts in the new government - including the new position of prime minister and two deputy prime ministers - would reflect the political parties' strengths in parliament.


Political violence has ignited rivalry over land


Enlarge Image


Under the agreement, the new prime minister will have "authority to co-ordinate and supervise the execution of government functions".

Mr Annan urged all Kenyans to support the agreement, saying: "Compromise was necessary for the survival of this country."

Mr Kibaki said: "My government will fully support implementation of the agreement reached... until we achieve the result that we all want."

Mr Odinga said: "With the signing of this agreement, we have opened a new chapter in our country's history... we on our side are completely committed [to] this agreement."

Both men thanked those who had stood by Kenya in what Mr Odinga called its "hour of need", including Mr Annan, the African Union, the European Union, the United States and the UN.

They also urged Kenyans to move forward together without ethnic divisions.

The post-election violence saw thousands of people targeted because they belonged to ethnic groups seen as either pro-government or pro-opposition.

About 600,000 people have fled their homes and some have been forced back to their ancestral homelands.

http://news.bbc.co.uk/1/hi/world/africa/7268903.stm
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom