Tanzania yapokea Msaada wa Dawa ya kufubaza COVID-19 kutoka Madagascar

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,491
54,884
Serikali ya Tanzania imepokea msaada wa dawa ya kutibu na kujikinga na ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na Virusi vya Corona uliotolewa kwa Tanzania na Nchi ya Madagascar, Msaada huo umepokelewa na Waziri wa Mambo ya Nje Prof Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi.

20200508_170418.jpg

IMG_20200508_164039.jpg
IMG_20200508_164036.jpg
IMG_20200508_164032.jpg

Ndege maalum ya ujumbe wa Tanzania ikiwasili nchini Madagascar Katika Uwanja wa Kimataifa wa Ivato kupata mimea ya Covid Organics, mchango kutoka Jamhuri ya Madagascar. Ujumbe huo ulipokelewa na Mkuu wa diplomasia Djacoba Tehindrazanarivelo.

FB_IMG_1588945777000.jpg
 
Last edited:
Back
Top Bottom