Wewe pamoja na makelele yako hutoonja hata dawa moja. Watakuacha ufe kibudu
Unadhani bila ya kikombe cha babu hao NEC wangemchagua Magu kuwa rais wa JMT?Haitafua dafu,ni sawa tu na kikombe cha babu wa Loliondo!
Kwa boksi 13?
Unaitwa MmavimaviInaonekana dawa inafanya kazi kwa ufanisi wa asilimia kadhaa na hii imekuwa proved baada ya case za wagonjwa kupungua Madagascar
Je huu mmea hau-exist Tz ili tuanze kufanya production kwaajili ya ujenzi wa taifa??
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hicho kindege kitapakia boksi ngapi?...au kwasababu mumeshazoea uongoUna uhakika ni 13?
ujamuona kabudi anabwia kikombe kizima hapo. Nadhani priority ni Ch@to na mjengoni pale makao makuuzitatutosha hizo ? au kila mtanzania tone moja
Sasa hizo box zinatosha Watu wangapi!?
Kwanza wapewe ambao hawakuwa na kiherehere cha kuchagua wapinzani.
Msaada? Msaada gani wakati mkwanja umetumika hapo!
zitatutosha hizo ? au kila mtanzania tone moja
Eti msaada, wanauza wenzenu..Serikali ya Tanzania imepokea msaada wa dawa ya kutibu na kujikinga na ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na Virusi vya Corona uliotolewa kwa Tanzania na Nchi ya Madagascar, Msaada huo umepokelewa na Waziri wa Mambo ya Nje Prof Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi
View attachment 1443831
View attachment 1443800View attachment 1443801View attachment 1443802
Ndege maalum ya ujumbe wa Tanzania ikiwasili nchini Madagascar Katika Uwanja wa Kimataifa wa Ivato kupata mimea ya Covid Organics, mchango kutoka Jamhuri ya Madagascar. Ujumbe huo ulipokelewa na Mkuu wa diplomasia Djacoba Tehindrazanarivelo.
View attachment 1443820