Katwangilo
JF-Expert Member
- Jun 10, 2021
- 705
- 693
Hivi kwini kirus cha UKIMWI hakijigeuzi kama hiki? Maana mwaka mmoja tu kimejivuruga mpaka kikawa Delta, Omicron, na nahisi kitakuja kuitwa Omizombi..
Naimba msaada!
Naimba msaada!
Inasikitisha sana! Inajulikana wazi chanjo moja haifui dafu!! ya pili haifui dafu! ya tatu almaarufu kama busta haifji dafu maana baada ya miezi 3 tu lazima uchanje busta nyingine!! Ni nani anayeamini kuwa watanzania wakikubali kuchanja wote serikali itamudu kugharimia chanjo zote hadi busta kwa miezi mitatu mitatu kwa maisha yao yote? Kama tunajua hatuwezi kumudu kwa nini tunaingia gharama ambayo haitatusaidia? ni upotevu wa rasilimali, na huko mbele ya safari lazima tuwajibishane!!Waziri wa Afya Dkt.Dorothy Gwajima, amepokea Chanjo za Moderna chini ya Mpango wa COVAX hii ikiwa ni Awamu ya Kwanza kwa aina hii ya Chanjo kuingia nchini kiasi cha dozi 376,320 ambazo zitatumika kuchanja wananchi 188,160.
"Tumepokea chanjo aina ya Moderna kupitia mpango wa COVAX jumla ya dozi 376,320 ambazo zitatumika kuchanja wanachi 188,160, nichukue fursa hii kuishukuru mpango wa COVAX na hii ikiwa ni awamu ya kwanza kwa aina hii ya chanjo kuingia nchini kupitia mpango wa COVAX"
"Mapokezi ya chanjo hizi za leo yanafanya jumla ya chanjo tulizopokea nchini tangu tuanze kutoa chanjo dhidi ya UVIKO 19 hadi sasa kuwa dozi 6,408,950 zikijumuisha (Sinopharm, Janssen na Pfizer), ambazo zinatosha kuchanja jumla ya watanzania 3,204,475"
"Serikali itaendelea kutoa Chanjo dhidi ya UVIKO-19 katika vituo mbalimbali vya Afya hapa nchini kwa mujibu wa miongozo iliyopo, hivyo niwaombe wanaohusika na zoezi hilo kuwajibika kwa kasi kubwa ili kuwawezesha watanzania wengi kupata chanjo mapema iwezekanavyo, Wizara ilitoa Mwongozo wa Chanjo unaofafanua vyema taratibu za utoaji wa chanjo hizi wenye lengo la kufikia uchanjaji wa asilimia 60 ya watanzania"
MillardAyoUPDATES
Kwa sasa kila wiki nitatengeneza chanjo ya NIMRI ninywe..Waziri wa Afya Dkt.Dorothy Gwajima, amepokea Chanjo za Moderna chini ya Mpango wa COVAX hii ikiwa ni Awamu ya Kwanza kwa aina hii ya Chanjo kuingia nchini kiasi cha dozi 376,320 ambazo zitatumika kuchanja wananchi 188,160.
"Tumepokea chanjo aina ya Moderna kupitia mpango wa COVAX jumla ya dozi 376,320 ambazo zitatumika kuchanja wanachi 188,160, nichukue fursa hii kuishukuru mpango wa COVAX na hii ikiwa ni awamu ya kwanza kwa aina hii ya chanjo kuingia nchini kupitia mpango wa COVAX"
"Mapokezi ya chanjo hizi za leo yanafanya jumla ya chanjo tulizopokea nchini tangu tuanze kutoa chanjo dhidi ya UVIKO 19 hadi sasa kuwa dozi 6,408,950 zikijumuisha (Sinopharm, Janssen na Pfizer), ambazo zinatosha kuchanja jumla ya watanzania 3,204,475"
"Serikali itaendelea kutoa Chanjo dhidi ya UVIKO-19 katika vituo mbalimbali vya Afya hapa nchini kwa mujibu wa miongozo iliyopo, hivyo niwaombe wanaohusika na zoezi hilo kuwajibika kwa kasi kubwa ili kuwawezesha watanzania wengi kupata chanjo mapema iwezekanavyo, Wizara ilitoa Mwongozo wa Chanjo unaofafanua vyema taratibu za utoaji wa chanjo hizi wenye lengo la kufikia uchanjaji wa asilimia 60 ya watanzania"
MillardAyoUPDATES
Tumia ile dawa ya NIMRI kama huna tengeneza nyumbani then unywe!Naumwa mafua,homa pia,lakini mmmmh! nina hofu ya kuchanjwa
Mtu labda huna hata kibanda cha kuku lakini bado unawaza watu wamekaa na kutumia hela nyingi ili wapange kukuua wewe. Nadhani wasiona na akili nzuri wanajulikana 🤠Waliochanja hawana akili nzuri
Mtu labda huna hata kibanda cha kuku lakini bado unawaza watu wamekaa na kutumia hela nyingi ili wapange kukuua wewe. Nadhani wasiona na akili nzuri wanajulikana 🤠
Inawezekana siko kwenye hilo ghorofa na labda ni huyo maskini lakini ninaelewa hamna Logic ya hao wanaosemwa kuwa wamepanga kutuua kufanya hivyo na tena kwa style hii yenye kuwaangamiza na wao pia. Kwa ufupi, hoja nyingi za wapinga chanjo ni za kijinga sana.Wewe tajiri mwenye nyumba ya ghorofa umeweka geti kubwa na ukuta umezungushia umeme against what?!!…wakati umezungukwa na maskini…
Mpaka vichwa viamke tunasafari ndefu…
Walete walete ila watoe maelezo yaliyonyooka chanjo ni kinga au inasaidia unapopata ugonjwa usiumwe sana?
Bado nabaki na msimamo wangu wa kutochanja mpaka nijiridhishe.
Ugeuke zombi mara ya ngapimi mwenyewe siwezi kukaa karibu na mtu aliyechanja kwa muda murefu maana najua muda wowote kuna hatari ya kugeuka zombi...
Inawezekana siko kwenye hilo ghorofa na labda ni huyo maskini lakini ninaelewa hamna Logic ya hao wanaosemwa kuwa wamepanga kutuua kufanya hivyo na tena kwa style hii yenye kuwaangamiza na wao pia. Kwa ufupi, hoja nyingi za wapinga chanjo ni za kijinga sana.
Siku nyingi sana, tena wale wa mwanzo mwanzo.Kachanje
Siku nyingi sana, tena wale wa mwanzo mwanzo.