#COVID19 Tanzania yapokea Dozi za Chanjo ya Moderna

Hivi kwini kirus cha UKIMWI hakijigeuzi kama hiki? Maana mwaka mmoja tu kimejivuruga mpaka kikawa Delta, Omicron, na nahisi kitakuja kuitwa Omizombi..

Naimba msaada!
 
Waziri wa Afya Dkt.Dorothy Gwajima, amepokea Chanjo za Moderna chini ya Mpango wa COVAX hii ikiwa ni Awamu ya Kwanza kwa aina hii ya Chanjo kuingia nchini kiasi cha dozi 376,320 ambazo zitatumika kuchanja wananchi 188,160.

"Tumepokea chanjo aina ya Moderna kupitia mpango wa COVAX jumla ya dozi 376,320 ambazo zitatumika kuchanja wanachi 188,160, nichukue fursa hii kuishukuru mpango wa COVAX na hii ikiwa ni awamu ya kwanza kwa aina hii ya chanjo kuingia nchini kupitia mpango wa COVAX"

"Mapokezi ya chanjo hizi za leo yanafanya jumla ya chanjo tulizopokea nchini tangu tuanze kutoa chanjo dhidi ya UVIKO 19 hadi sasa kuwa dozi 6,408,950 zikijumuisha (Sinopharm, Janssen na Pfizer), ambazo zinatosha kuchanja jumla ya watanzania 3,204,475"

"Serikali itaendelea kutoa Chanjo dhidi ya UVIKO-19 katika vituo mbalimbali vya Afya hapa nchini kwa mujibu wa miongozo iliyopo, hivyo niwaombe wanaohusika na zoezi hilo kuwajibika kwa kasi kubwa ili kuwawezesha watanzania wengi kupata chanjo mapema iwezekanavyo, Wizara ilitoa Mwongozo wa Chanjo unaofafanua vyema taratibu za utoaji wa chanjo hizi wenye lengo la kufikia uchanjaji wa asilimia 60 ya watanzania"


MillardAyoUPDATES
Inasikitisha sana! Inajulikana wazi chanjo moja haifui dafu!! ya pili haifui dafu! ya tatu almaarufu kama busta haifji dafu maana baada ya miezi 3 tu lazima uchanje busta nyingine!! Ni nani anayeamini kuwa watanzania wakikubali kuchanja wote serikali itamudu kugharimia chanjo zote hadi busta kwa miezi mitatu mitatu kwa maisha yao yote? Kama tunajua hatuwezi kumudu kwa nini tunaingia gharama ambayo haitatusaidia? ni upotevu wa rasilimali, na huko mbele ya safari lazima tuwajibishane!!
 
Waziri wa Afya Dkt.Dorothy Gwajima, amepokea Chanjo za Moderna chini ya Mpango wa COVAX hii ikiwa ni Awamu ya Kwanza kwa aina hii ya Chanjo kuingia nchini kiasi cha dozi 376,320 ambazo zitatumika kuchanja wananchi 188,160.

"Tumepokea chanjo aina ya Moderna kupitia mpango wa COVAX jumla ya dozi 376,320 ambazo zitatumika kuchanja wanachi 188,160, nichukue fursa hii kuishukuru mpango wa COVAX na hii ikiwa ni awamu ya kwanza kwa aina hii ya chanjo kuingia nchini kupitia mpango wa COVAX"

"Mapokezi ya chanjo hizi za leo yanafanya jumla ya chanjo tulizopokea nchini tangu tuanze kutoa chanjo dhidi ya UVIKO 19 hadi sasa kuwa dozi 6,408,950 zikijumuisha (Sinopharm, Janssen na Pfizer), ambazo zinatosha kuchanja jumla ya watanzania 3,204,475"

"Serikali itaendelea kutoa Chanjo dhidi ya UVIKO-19 katika vituo mbalimbali vya Afya hapa nchini kwa mujibu wa miongozo iliyopo, hivyo niwaombe wanaohusika na zoezi hilo kuwajibika kwa kasi kubwa ili kuwawezesha watanzania wengi kupata chanjo mapema iwezekanavyo, Wizara ilitoa Mwongozo wa Chanjo unaofafanua vyema taratibu za utoaji wa chanjo hizi wenye lengo la kufikia uchanjaji wa asilimia 60 ya watanzania"


MillardAyoUPDATES
Kwa sasa kila wiki nitatengeneza chanjo ya NIMRI ninywe..

1. Kitunguu maji kimoja

2. Vitunguu saumu

3. Pilipili kichaa

4. Limao

5. Maji moto

Hii ni inaimarisha kinga ya mwili na haina mambo ya kuboosti na kuchoma sindano!
 
Hii chanjo Si ndo uko Zanzibar mashehe waligomewa airport KWENDA hija eti haitambuliki kimataifa.

Na raisi wao nae akaja hadharan kuomba radhi
 
Mtu labda huna hata kibanda cha kuku lakini bado unawaza watu wamekaa na kutumia hela nyingi ili wapange kukuua wewe. Nadhani wasiona na akili nzuri wanajulikana 🤠

Wewe tajiri mwenye nyumba ya ghorofa umeweka geti kubwa na ukuta umezungushia umeme against what?!!…wakati umezungukwa na maskini…

Mpaka vichwa viamke tunasafari ndefu…
 
Wewe tajiri mwenye nyumba ya ghorofa umeweka geti kubwa na ukuta umezungushia umeme against what?!!…wakati umezungukwa na maskini…

Mpaka vichwa viamke tunasafari ndefu…
Inawezekana siko kwenye hilo ghorofa na labda ni huyo maskini lakini ninaelewa hamna Logic ya hao wanaosemwa kuwa wamepanga kutuua kufanya hivyo na tena kwa style hii yenye kuwaangamiza na wao pia. Kwa ufupi, hoja nyingi za wapinga chanjo ni za kijinga sana.
 
Walete walete ila watoe maelezo yaliyonyooka chanjo ni kinga au inasaidia unapopata ugonjwa usiumwe sana?

Bado nabaki na msimamo wangu wa kutochanja mpaka nijiridhishe.

Swali langu ni moja. “Mpaka nijiridhishe” ina maana gani, kuna utafiti unafanya? Au unategemea hawa hawa wanaosema inazuia vifo, kulala hospitali?? Au watakapofikia kusema “sasa inazuia maambukizi” ndio utacbukua uamuzi? Bado sijaelewa “kujiridhisha” umemaanisha nini.

Tusaidie kuelimika kuhusu jambo hili. Ahsante!
 
Inawezekana siko kwenye hilo ghorofa na labda ni huyo maskini lakini ninaelewa hamna Logic ya hao wanaosemwa kuwa wamepanga kutuua kufanya hivyo na tena kwa style hii yenye kuwaangamiza na wao pia. Kwa ufupi, hoja nyingi za wapinga chanjo ni za kijinga sana.

Kachanje
 
Back
Top Bottom