Tanzania yapinga ripoti ya UN ya Tume ya Haki za Binadamu

hao jamaa wapo sahihi kbs, utawala wa tz ya sasa ni hatari sana kwa wakosoaji wote...wengine wapo mahabusu, kuna waliopotea, vilema nk
 
Its known there is violations of human rights detained before trial tigo magoti and his fellow bavicha leaders Twaya mwaipaya and others their bail has been banned while the offence its bailable and so many people have been detained
 
Ndugu yangu, kiwango cha uelewa wako kinatia SHAKA.
🤣 🤣 🤣 🤣 kaka sio lazima uelewe kila kitu. Soma katikati ya mistari, utaelewa namaanisha nn? Don't take everything seriously. Hujawahi kosuma kitu kinaitwa TASHTITI? NARUDIA, soma tena katikati ya mistari.
 
Ni kweli kabisa ila jiwe akisikia hili mabeberu yana ajenda siri😆😆nimejarib kuwaza kwa macho tu
 
Waache kutusumbua hizo haki za binadamu ni bora waanze kwanza kuzitafuta U.S
Waziri wa mambo ya nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi amesema kuwa tathimini iliyotolewa hailingani na uhalisia wa hali ilivyo Tanzania.

Tume ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imetoa taarifa juu ya haki za binadamu maeneo mbalimbali Duniani na kuonesha wasiwasi wake juu ya hali ya Tanzania.

Ripoti yenyewe hii hapa.

https://www.state.gov/wp-content/uploads/2020/03/TANZANIA-2019-HUMAN-RIGHTS-REPORT.pdf

Report in summary;

In 2017 Mwananchi Communication journalist Azory Gwanda disappeared in Kibiti District in Pwani Region while reporting on unexplained killings in the area and remained missing.

On May 4, Mdude Nyagali, a critic of President Magufuli, was kidnapped in Mbozi, Songwe, by armed masked men.
On July 29, an investigative journalist and government critic, Erick Kabendera, was arrested by plainclothes police officers who did not inform him of the charges.

Political Prisoners and Detainees

Several opposition politicians and individuals critical of the government were arrested or detained during the year, were usually charged with sedition, incitement, or unlawful assembly. For example, two opposition members of parliament, Freeman Mbowe and Esther Matiko of CHADEMA, served four months in jail after the court arbitrarily revoked their bail in November 2018.

On July 19, three students from Kampala International University in Tanzania were sentenced on counts of distributing pictures through WhatsApp groups showing President Magufuli wearing a hijab. The students were sentenced to four years in prison.

On April 24, the Kisutu Resident Magistrates Court continued with the criminal case against opposition MP Zitto Kabwe. The case alleges that Zitto made several seditious remarks against the TPF, accusing it of killing more than 100 civilians in Kigoma.

Freedom of Peaceful Assembly.

The government restricted freedom of peaceful assembly and association, including through bans decreed by authorities but not supported by law. The ruling CCM is the only party that may legally conduct public rallies.

Opposition political parties continued to be harassed and detained by law enforcement and have unsuccessfully sought redress in the courts. For example, on May 27, the former minister for tourism and natural resources Lazaro Nyalandu and two opposition members from CHADEMA were arrested in Itagi Ward in Sigida during a closed-door meeting.

In June the speaker removed opposition CHADEMA MP Tundu Lissu for absenteeism and failing to submit required disclosure statements in a timely manner. Lissu survived an assassination attempt in 2017 and since then has been abroad for medical care.

On October 16, the Court of Appeal overturned a May High Court of Dar es Salaam decision to prohibit district executive directors from supervising elections. The district executive directors are presidentially appointed to act as the secretary of district councils, and many are active members of the ruling CCM party.

In March 2018, police arrested nine top CHADEMA leaders and charged them with unlawful assembly and disobeying an order to disperse after demonstrating with supporters to demand the issuance of credentials for party polling agents on the eve of a February 2018 by-election.

======

Pro. Palamagamba Kabudi amesema kuwa wamepokea kwa mshangao mkubwa sana na wanaamini kama Kamishna wa wa umoja wa kimataifa wa za haki za binadamu Mishel Bashlet angekuwa Tanzania sasa basi asingetoa taarifa hiyo au asingeandika tathmini hiyo.

Anasema wamechukua hatua ya kuhakikisha kwamba leo balozi wa Tanzania katika wa umoja wa kimataifa ofisi ya Geniva anawasilisha majibu yetu rasmi kuhusu taarifa waliyoitoa.

Amesema hali halisi ya Tanzania hailingani na taarifa waliyoitoa na kwa kuwa sasa wapo kwenye uchaguzi mkuu na wana wagombea 17 na hakuna aliyezuiliwa kufanya kampeni wote wanafanya mikutano yao sehemu mbalimbali za nchi kwa ratiba ambayo imepangwa na tume ya uchaguzi na mikutano inahudhuriwa na wananchi wengi kwa wagombea wote hivyo hali halisi hailingani na kilichosemwa kwenye taarifa hiyo.

Amesema hakuna aliebanwa kwa kuwa hata wale wanaotukana wanatukana kadri wanavyoweza na wala hakuna aliechukuliwa hatua yoyote kwa kuwa wanajua hiki ndio kipindi cha wagombewa kusikilizwa ili wananchi watoe maamuzi yao hapo octoba.

Amesema kuwa kampeni za uchaguzi za mwaka huu ni tofauti na chaguzi zilizopita tangu kuingia kwa vyama vingi kwa kuwa uchaguzi wa mwaka huu umekuwa wa amani, umetulia kabisa na kila mgombea uraisi anasema anachotaka kusema na hatmae wananchi wafanye maamzi yao.

Ameendelea kusema kuwa sio tabia wala ada ya watanzania kupuuza kauli ya mtu yoyote amesema watanzania hupokea yote mabaya , ya uongo ya uzushi na kwa kuwa ndio hulka yao kupoea yote

Lakini ukisoma hiyo taarifa nzima kuna kitu kinataka kuoneshwa kwa dunia lakini kwa sasa Magufuli tangu aingie madarakani amefanya maendeleo makubwa hakuna anayenyoosha kidole kwa Magufuli kuhusu ubadhilifu wala rushwa, madawa ya kulevya hakuna anayenyoosha kidole amesema mambo hayo ndio yalikuwa yakipigiwa kelele na mataia na vyama vya upinzani na sasa ndani ya miaka mitano malalamiko yote Magufuli kayaondoa na kuyatatua.

Amesema kuwa sasa wanatafuta namnanyingine ya kumkamata, amedai kuwa Kiongozi wa kiafrika akifanikiwa wakashindwa kumkamata kwenye rushwa na ubadhilifu wanaanza kumtafuta kwenye demokrasia na haki za binadamu.

Amesema ilani ya chama cha Mapinduzi sura ya sita inazungumzia haki za binadamu na maendeleo na amesema Tanzania imeajiri mtu kwa ajili ya kutoa msaada wa kisheria kwa watu wasio na uwezo kwa makosa ya jinai na kesi za dahawa lengo ni kulinda haki za binadamu na kuhahakisha haki za kila mmoja zinalindwa na kuheshimiwa.

Sheria ya vyama vya habari ambyo imepitishwa Tanzania amesema imeangalia uhuru wa vyombo vya habari na maslahi ya wanahabari ikiwa na maana ya kulinda maslahi yao na haki zao kama watumishi.

Amesema kuwa hakuna taasisi isiyo ya kiserikali ambayo imefutwa na hao amabao fedha zao zimezuiwa amesema wametunga sheria kuhusu uwazi na uwajibikaji kuhusu fedha, wapo katika kipindi kigumu sana cha utakatishaji wa fedha amesema taasisi nyingine zipo kwenye uchunguzi na muda wa kujirekebisha hivyo hakuna taasisis yoyote iliyofutwa.

Amesema wanadai mahakama haziko huru lakini mahakama ziko huru na hao ambao wanadhani haki zao zimevunjwa basi waende mahakani wakapate haki zao.
 
huu muandiko wa ufipa.kabisa hao UN wamekopi na kupesti tuu
Hujakosea hakuna mtuUN anaandika uninga huo,
Waendelee kuwaandikia kisha wanatumia wafanyakazi wa UN ambao hawana maadili kupost taarifa zao.
Ila tutawkomesha tu.
 
Waziri wa mambo ya nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi amesema kuwa tathimini iliyotolewa hailingani na uhalisia wa hali ilivyo Tanzania.

Tume ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imetoa taarifa juu ya haki za binadamu maeneo mbalimbali Duniani na kuonesha wasiwasi wake juu ya hali ya Tanzania.

Ripoti yenyewe hii hapa.

https://www.state.gov/wp-content/uploads/2020/03/TANZANIA-2019-HUMAN-RIGHTS-REPORT.pdf

Report in summary;

In 2017 Mwananchi Communication journalist Azory Gwanda disappeared in Kibiti District in Pwani Region while reporting on unexplained killings in the area and remained missing.

On May 4, Mdude Nyagali, a critic of President Magufuli, was kidnapped in Mbozi, Songwe, by armed masked men.
On July 29, an investigative journalist and government critic, Erick Kabendera, was arrested by plainclothes police officers who did not inform him of the charges.

Political Prisoners and Detainees

Several opposition politicians and individuals critical of the government were arrested or detained during the year, were usually charged with sedition, incitement, or unlawful assembly. For example, two opposition members of parliament, Freeman Mbowe and Esther Matiko of CHADEMA, served four months in jail after the court arbitrarily revoked their bail in November 2018.

On July 19, three students from Kampala International University in Tanzania were sentenced on counts of distributing pictures through WhatsApp groups showing President Magufuli wearing a hijab. The students were sentenced to four years in prison.

On April 24, the Kisutu Resident Magistrates Court continued with the criminal case against opposition MP Zitto Kabwe. The case alleges that Zitto made several seditious remarks against the TPF, accusing it of killing more than 100 civilians in Kigoma.

Freedom of Peaceful Assembly.

The government restricted freedom of peaceful assembly and association, including through bans decreed by authorities but not supported by law. The ruling CCM is the only party that may legally conduct public rallies.

Opposition political parties continued to be harassed and detained by law enforcement and have unsuccessfully sought redress in the courts. For example, on May 27, the former minister for tourism and natural resources Lazaro Nyalandu and two opposition members from CHADEMA were arrested in Itagi Ward in Sigida during a closed-door meeting.

In June the speaker removed opposition CHADEMA MP Tundu Lissu for absenteeism and failing to submit required disclosure statements in a timely manner. Lissu survived an assassination attempt in 2017 and since then has been abroad for medical care.

On October 16, the Court of Appeal overturned a May High Court of Dar es Salaam decision to prohibit district executive directors from supervising elections. The district executive directors are presidentially appointed to act as the secretary of district councils, and many are active members of the ruling CCM party.

In March 2018, police arrested nine top CHADEMA leaders and charged them with unlawful assembly and disobeying an order to disperse after demonstrating with supporters to demand the issuance of credentials for party polling agents on the eve of a February 2018 by-election.

======

Pro. Palamagamba Kabudi amesema kuwa wamepokea kwa mshangao mkubwa sana na wanaamini kama Kamishna wa wa umoja wa kimataifa wa za haki za binadamu Mishel Bashlet angekuwa Tanzania sasa basi asingetoa taarifa hiyo au asingeandika tathmini hiyo.

Anasema wamechukua hatua ya kuhakikisha kwamba leo balozi wa Tanzania katika wa umoja wa kimataifa ofisi ya Geniva anawasilisha majibu yetu rasmi kuhusu taarifa waliyoitoa.

Amesema hali halisi ya Tanzania hailingani na taarifa waliyoitoa na kwa kuwa sasa wapo kwenye uchaguzi mkuu na wana wagombea 17 na hakuna aliyezuiliwa kufanya kampeni wote wanafanya mikutano yao sehemu mbalimbali za nchi kwa ratiba ambayo imepangwa na tume ya uchaguzi na mikutano inahudhuriwa na wananchi wengi kwa wagombea wote hivyo hali halisi hailingani na kilichosemwa kwenye taarifa hiyo.

Amesema hakuna aliebanwa kwa kuwa hata wale wanaotukana wanatukana kadri wanavyoweza na wala hakuna aliechukuliwa hatua yoyote kwa kuwa wanajua hiki ndio kipindi cha wagombewa kusikilizwa ili wananchi watoe maamuzi yao hapo octoba.

Amesema kuwa kampeni za uchaguzi za mwaka huu ni tofauti na chaguzi zilizopita tangu kuingia kwa vyama vingi kwa kuwa uchaguzi wa mwaka huu umekuwa wa amani, umetulia kabisa na kila mgombea uraisi anasema anachotaka kusema na hatmae wananchi wafanye maamzi yao.

Ameendelea kusema kuwa sio tabia wala ada ya watanzania kupuuza kauli ya mtu yoyote amesema watanzania hupokea yote mabaya , ya uongo ya uzushi na kwa kuwa ndio hulka yao kupoea yote

Lakini ukisoma hiyo taarifa nzima kuna kitu kinataka kuoneshwa kwa dunia lakini kwa sasa Magufuli tangu aingie madarakani amefanya maendeleo makubwa hakuna anayenyoosha kidole kwa Magufuli kuhusu ubadhilifu wala rushwa, madawa ya kulevya hakuna anayenyoosha kidole amesema mambo hayo ndio yalikuwa yakipigiwa kelele na mataia na vyama vya upinzani na sasa ndani ya miaka mitano malalamiko yote Magufuli kayaondoa na kuyatatua.

Amesema kuwa sasa wanatafuta namnanyingine ya kumkamata, amedai kuwa Kiongozi wa kiafrika akifanikiwa wakashindwa kumkamata kwenye rushwa na ubadhilifu wanaanza kumtafuta kwenye demokrasia na haki za binadamu.

Amesema ilani ya chama cha Mapinduzi sura ya sita inazungumzia haki za binadamu na maendeleo na amesema Tanzania imeajiri mtu kwa ajili ya kutoa msaada wa kisheria kwa watu wasio na uwezo kwa makosa ya jinai na kesi za dahawa lengo ni kulinda haki za binadamu na kuhahakisha haki za kila mmoja zinalindwa na kuheshimiwa.

Sheria ya vyama vya habari ambyo imepitishwa Tanzania amesema imeangalia uhuru wa vyombo vya habari na maslahi ya wanahabari ikiwa na maana ya kulinda maslahi yao na haki zao kama watumishi.

Amesema kuwa hakuna taasisi isiyo ya kiserikali ambayo imefutwa na hao amabao fedha zao zimezuiwa amesema wametunga sheria kuhusu uwazi na uwajibikaji kuhusu fedha, wapo katika kipindi kigumu sana cha utakatishaji wa fedha amesema taasisi nyingine zipo kwenye uchunguzi na muda wa kujirekebisha hivyo hakuna taasisis yoyote iliyofutwa.

Amesema wanadai mahakama haziko huru lakini mahakama ziko huru na hao ambao wanadhani haki zao zimevunjwa basi waende mahakani wakapate haki zao.
Ndio shida ya kuokotwa jalalani udsm,huyu ni prof mjinga kama lipumba tu mtu unatetea mauaji...yeye ndio alisema azwory kafa tena mbele ya dunia,bado waliopotea kama ben sanane,maiti za viroba etc
 
Hiyo report ipo sahihi ila CCM wanabisha tu kama kawaida yao.
-Ufisadi umekithiri
-Rushwa hasa viongozi wakuu wa nchi Rais Magufuli anawapendelea zaidi ndugu na marafiki zake
-Uhuru wa vyombo vya habari umebanwa
-Huduma za kijamii zinahujumiwa
-kiongozi mkuu wa nchi ni mbabe kwa wananchi
Mleta mada tunaomba mwenye nakala ya hiyo taarifa ya UN aiweke hapa Jamii Forums watanzania tuijadili.

Mkuu umeniwahi nilichotaka kusema. Kwa bahati mbaya Kabudi anadhani UN hawajui kinachoendelea hapa nchini. Sasa hivi kila mtu katishwa kuanzia vyombo vya habari, wapinzani, wafanyabiashara nk. Hivyo watu kukosa uhuru wa kuongea na kuweka madhila yao hadharani, ndio anataka kuonyesha kuwa watu wameridhika.
 
Hahaha wale UVCC a.k.a JESHI LA AKIBA wakikurupushwa huko na Bashiru utasikia, Mitano tena!.

Kabudi anasema hali ya leo ni tofauti, kwani yaliyoandikwa ni matukio ya leo?!

Tito Magoti wamemnyima dhamana kumkomoa, vijana wa chadema wamenyimwa dhamana kukomolewa.

Badala aelewe naye anakuwa kama uvcc.
 
Anyone against this report must have her/his urine tested. The report contains the truth on the ground, definitely kabudi is turning senile.
 
Babayo Marekani, mapolice wake ndio wanaongoza kuwashuti watu weusi nchini mwao, Mbona hawasemi, Uonevu huanzia pale mtu mkubwa anapofanya mambo Yale Yale aliyoyafanya mdogo, Adhabu inakuwa ni ya mdogo pekee, huo ndio Uonevu

Napinga kina Nusurat kuwekwa ndani bila kosa, lakini kama wamefanya kosa ni halali Yao na hata wewe ukivunja Sheria ni sharti ushighurikiwe kisheria na utatetewa kisheria

Hivyo nakuomba, nenda ukawatetee hao Kwa mjibu wa sheria

Wako watu wanawatetea tayari, kama ingekuwa haki za binadamu hazivunjwi, wasingekuwa ndani hivi leo. Naunga mkono hiyo report ya UN kwabu ina ukweli wa 100%.
 
Tume ya UN ya haki za binadamu ni utopolo mtupu.Ripoti zao hata USA,CHINA,SAUDI ARABIA,ISRAEL,RWANDA,BURUNDI,wanazitupaga jalalani.
 
Waziri wa mambo ya nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi amesema kuwa tathimini iliyotolewa hailingani na uhalisia wa hali ilivyo Tanzania.

Tume ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imetoa taarifa juu ya haki za binadamu maeneo mbalimbali Duniani na kuonesha wasiwasi wake juu ya hali ya Tanzania.

Ripoti yenyewe hii hapa.

https://www.state.gov/wp-content/uploads/2020/03/TANZANIA-2019-HUMAN-RIGHTS-REPORT.pdf

Report in summary;

In 2017 Mwananchi Communication journalist Azory Gwanda disappeared in Kibiti District in Pwani Region while reporting on unexplained killings in the area and remained missing.

On May 4, Mdude Nyagali, a critic of President Magufuli, was kidnapped in Mbozi, Songwe, by armed masked men.
On July 29, an investigative journalist and government critic, Erick Kabendera, was arrested by plainclothes police officers who did not inform him of the charges.

Political Prisoners and Detainees

Several opposition politicians and individuals critical of the government were arrested or detained during the year, were usually charged with sedition, incitement, or unlawful assembly. For example, two opposition members of parliament, Freeman Mbowe and Esther Matiko of CHADEMA, served four months in jail after the court arbitrarily revoked their bail in November 2018.

On July 19, three students from Kampala International University in Tanzania were sentenced on counts of distributing pictures through WhatsApp groups showing President Magufuli wearing a hijab. The students were sentenced to four years in prison.

On April 24, the Kisutu Resident Magistrates Court continued with the criminal case against opposition MP Zitto Kabwe. The case alleges that Zitto made several seditious remarks against the TPF, accusing it of killing more than 100 civilians in Kigoma.

Freedom of Peaceful Assembly.

The government restricted freedom of peaceful assembly and association, including through bans decreed by authorities but not supported by law. The ruling CCM is the only party that may legally conduct public rallies.

Opposition political parties continued to be harassed and detained by law enforcement and have unsuccessfully sought redress in the courts. For example, on May 27, the former minister for tourism and natural resources Lazaro Nyalandu and two opposition members from CHADEMA were arrested in Itagi Ward in Sigida during a closed-door meeting.

In June the speaker removed opposition CHADEMA MP Tundu Lissu for absenteeism and failing to submit required disclosure statements in a timely manner. Lissu survived an assassination attempt in 2017 and since then has been abroad for medical care.

On October 16, the Court of Appeal overturned a May High Court of Dar es Salaam decision to prohibit district executive directors from supervising elections. The district executive directors are presidentially appointed to act as the secretary of district councils, and many are active members of the ruling CCM party.

In March 2018, police arrested nine top CHADEMA leaders and charged them with unlawful assembly and disobeying an order to disperse after demonstrating with supporters to demand the issuance of credentials for party polling agents on the eve of a February 2018 by-election.

======

Pro. Palamagamba Kabudi amesema kuwa wamepokea kwa mshangao mkubwa sana na wanaamini kama Kamishna wa wa umoja wa kimataifa wa za haki za binadamu Mishel Bashlet angekuwa Tanzania sasa basi asingetoa taarifa hiyo au asingeandika tathmini hiyo.

Anasema wamechukua hatua ya kuhakikisha kwamba leo balozi wa Tanzania katika wa umoja wa kimataifa ofisi ya Geniva anawasilisha majibu yetu rasmi kuhusu taarifa waliyoitoa.

Amesema hali halisi ya Tanzania hailingani na taarifa waliyoitoa na kwa kuwa sasa wapo kwenye uchaguzi mkuu na wana wagombea 17 na hakuna aliyezuiliwa kufanya kampeni wote wanafanya mikutano yao sehemu mbalimbali za nchi kwa ratiba ambayo imepangwa na tume ya uchaguzi na mikutano inahudhuriwa na wananchi wengi kwa wagombea wote hivyo hali halisi hailingani na kilichosemwa kwenye taarifa hiyo.

Amesema hakuna aliebanwa kwa kuwa hata wale wanaotukana wanatukana kadri wanavyoweza na wala hakuna aliechukuliwa hatua yoyote kwa kuwa wanajua hiki ndio kipindi cha wagombewa kusikilizwa ili wananchi watoe maamuzi yao hapo octoba.

Amesema kuwa kampeni za uchaguzi za mwaka huu ni tofauti na chaguzi zilizopita tangu kuingia kwa vyama vingi kwa kuwa uchaguzi wa mwaka huu umekuwa wa amani, umetulia kabisa na kila mgombea uraisi anasema anachotaka kusema na hatmae wananchi wafanye maamzi yao.

Ameendelea kusema kuwa sio tabia wala ada ya watanzania kupuuza kauli ya mtu yoyote amesema watanzania hupokea yote mabaya , ya uongo ya uzushi na kwa kuwa ndio hulka yao kupoea yote

Lakini ukisoma hiyo taarifa nzima kuna kitu kinataka kuoneshwa kwa dunia lakini kwa sasa Magufuli tangu aingie madarakani amefanya maendeleo makubwa hakuna anayenyoosha kidole kwa Magufuli kuhusu ubadhilifu wala rushwa, madawa ya kulevya hakuna anayenyoosha kidole amesema mambo hayo ndio yalikuwa yakipigiwa kelele na mataia na vyama vya upinzani na sasa ndani ya miaka mitano malalamiko yote Magufuli kayaondoa na kuyatatua.

Amesema kuwa sasa wanatafuta namnanyingine ya kumkamata, amedai kuwa Kiongozi wa kiafrika akifanikiwa wakashindwa kumkamata kwenye rushwa na ubadhilifu wanaanza kumtafuta kwenye demokrasia na haki za binadamu.

Amesema ilani ya chama cha Mapinduzi sura ya sita inazungumzia haki za binadamu na maendeleo na amesema Tanzania imeajiri mtu kwa ajili ya kutoa msaada wa kisheria kwa watu wasio na uwezo kwa makosa ya jinai na kesi za dahawa lengo ni kulinda haki za binadamu na kuhahakisha haki za kila mmoja zinalindwa na kuheshimiwa.

Sheria ya vyama vya habari ambyo imepitishwa Tanzania amesema imeangalia uhuru wa vyombo vya habari na maslahi ya wanahabari ikiwa na maana ya kulinda maslahi yao na haki zao kama watumishi.

Amesema kuwa hakuna taasisi isiyo ya kiserikali ambayo imefutwa na hao amabao fedha zao zimezuiwa amesema wametunga sheria kuhusu uwazi na uwajibikaji kuhusu fedha, wapo katika kipindi kigumu sana cha utakatishaji wa fedha amesema taasisi nyingine zipo kwenye uchunguzi na muda wa kujirekebisha hivyo hakuna taasisis yoyote iliyofutwa.

Amesema wanadai mahakama haziko huru lakini mahakama ziko huru na hao ambao wanadhani haki zao zimevunjwa basi waende mahakani wakapate haki zao.
Akina Magamba na jiwe watawajibika kwa yote yaliyotokea nchini wakati wakiwa madarakani.
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom