Chakunyuma
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 810
- 152
Imepewa tuzo hiyo kutokana na juhudi zilizotukuka zizofanikisha ushindi dhidi ya maleria. Tuzo hiyo imetolewa Addis Ababa na kupokelewa na mh rais. Source tbc1
My take
je ni kweli tumeshinda vita dhidi ya maleria kwa kugawa vyandarua huku vyanzo vya kuzaliana vikiendelea kuwepo jirani ya makazi yetu? Nadhani hatustahili hii tuzo.
My take
je ni kweli tumeshinda vita dhidi ya maleria kwa kugawa vyandarua huku vyanzo vya kuzaliana vikiendelea kuwepo jirani ya makazi yetu? Nadhani hatustahili hii tuzo.