- Thread starter
- #41
Ili mimi naliona kama tusi au dharau, hakuna mtu anaweza uza utu wake kwa sababu ya maendeleo, tutakuwa tunajitawala au tunatawaliwa? hili ndilo alilo kataa Mugabe Zinbabwe land for zinbwabweans, na ndicho alicho kataa Nyerere.
Naamini maendeleo wa tanzania na afrika yataletwa na waafrika wenyewe, tusisahau kuwa, part ya matatizo tanzania na frika chanzo chake ni wao wazungu.
tunakesi nyingi WTO kuusiana na level play field ya biashara, lakini jamaaa wako wazungu hawataki kubadilika
Kumbuka hao wazungu are fighting to keep their interest around the world, wakikuona unaaza kuendelea wao wanapambana na wewe
Kumbuka BARICK Gold, walipo ona bunge letu limepitisha sheria za kufaidika na dhahabu zetu, walitutishia amani mpaka leo hatuwezi kupitisha mambo yetu ktokana na ubabe wao
wewe ni tope kabisa, jaribu kutumia kichwa kufikiri, Kwani kwa sasa Tanzania ni kitu gani tunachokiweza kukifanya sisi wenyewe, Mfano mdogo tu ni hiyo reli na treni mpya alizowaachia Nyerere, tena ikiwa haidaiwi na mtu yeyote, na kila siku ina abiria wa kutosha mpaka wengine wanakosa nafasi ya kusafiri, lakini leo iko wapi RELI, Kwa kawaida mfanyabishara anaweza kupata hasara kwa mambo mawili makuu. 1. bidhaa kutokununulika, au bei ya bidhaa zake kushuka thamani sokoni. Sasa hiyo reli mliiuwa kwa sababu gani kati ya hizo,"FOOLISH"