Kuhusu kigamboni nibora tukawa na ushahidi dhahiri badala ya kuendeleza porojo zinazopigwa kila siku mitaani. Kuhusu hili la KIATA itakuwa safi sana hawa matajiri wakija kukodisha na kusimamia uendeshaji mzima wa KIATA kwa mkataba wa win win situation mtawala na mtawaliwa wanufaike. Kodi watakayochukua serikali kutoka kwa hawa matajiri ktk huo mkataba wa ukodishaji inatosha kuleta maendeleo makubwa kwa maeneo mengine ya tanzania wakati huo huo maeneo ya KIATA yakiwa na maendeleo maradufu zaidi ya maeneo mengine tanzania. Isitoshe kuna wabunge wengi wa chadema arusha na kilima kyaro kwahiyo watasimamia ipasavyo utekelezaji wa mkataba