Tanzania yapata msaada wa $900m za kilimo kutoka G8

Saranda

Member
Jul 4, 2012
53
8
Tanzania ni miongoni mwa nchi teule tatu zilizobahatika kupata msaada wa kilimo katika mpango African food security. Sasa njaa itakwisha na mipango ikienda vizuri tutakuwa na uwezo wa kuzalisha kiasi kikubwa hadi kuweza kuuza chakula nje ya nchi.

Kwa hili Dr. kikwete amefanya kazi vizuri na anastahili pongezi.
 
Kupongeza ni muhimu ila mimi sidhani kama kuna haja kwani hii miaka mitatu iliyobaki kwa huyu Dr.wetu mambo atakayo yafanya watu watabaki midomo wazi.Nasema hivi kwasabau kuan watu hapa ahata ukifanya mazuri vipi wao ni kuponda tu sasa ni matendo kwenda mbele.
Kama kuna mtu ni ksafiri kwa kazi zake za kijikimu utaona nchi nzima matrekta ya kilimo kwanza yamejaa.sasa na hizi pesa ndio itamaliza kabisa.
 
Tanzania ni miongoni mwa nchi teule tatu zilizobahatika kupata msaada wa kilimo katika mpango African food security. Sasa njaa itakwisha na mipango ikienda vizuri tutakuwa na uwezo wa kuzalisha kiasi kikubwa hadi kuweza kuuza chakula nje ya nchi.

Kwa hili Dr. kikwete amefanya kazi vizuri na anastahili pongezi.
Ni fedha nyingi sana zinaletwa na wafadhili lakini zinaishia mifukoni mwa watu wachache. tusimpongeze kwa kuleta fedha asimamie matumizi yawafikie walengwa yaani wakulima na kkuanzisha miradi ya umwagiliji ndio tumpongeze.Hakuna maandalizi yeyote kwa miaka nenda miaka rudi ya kilimo cha umwagiliaji wakati tuna mabonde mengi waaongelea kila budget lakini imekuwa kwenye makabrsha maofisini bila utekelezaji.Mabilioni ya Kikwete tuliandika miradi mizuri ya kilimo lakini waliopewa hata hatutaki kukumbuka na hazijarudishwa na hazitarudishwa tulie tu ndugu yangu .
 
Hela za kutafuna hizo! Wacha zije uone kama kutakuwa na kilimo au muongezeko wa magorofa!
 
kwa hilo jamani tuwe unauwezo wa kuchanganua masuara ya inchi. Penye mazuri tupongeze kwa zati. Tanzania imepata msaada huo wa kilimo, pongezi Rais kwa hiro asie liona hilo sasa hana macho!
 
fadha si tatizo..........tatizo ni kwamba hayo malengo yaliyowekwa kwa ajili ya hizo fedha yatatimizwa.
 
Kupata fedha na kuinua hali ya kilimo nchini ni mambo mawili tofauti
 
fadha si tatizo..........tatizo ni kwamba hayo malengo yaliyowekwa kwa ajili ya hizo fedha yatatimizwa.
Nakubliana na wewe tatizo letu kuu ni namna ya kutumia pesa. hatuna nidhamu kwenye matumizi. Kwahiyo hata kama ni kweli tumepata msaada huo kwa ajili ya kilimo usishangae zikapelekwa kununua mafuta mazito ya kuendeshea mitambo ya IPTL ambako mikono yote ya watawala wajasiria mali inafika.
 
Hela za kutafuna hizo! Wacha zije uone kama kutakuwa na kilimo au muongezeko wa magorofa!
nadhani baadhi yetu tunafikiri kuwa kuna maofisa wa serikali watakuwa na vifurushi vya hizo pesa wakipita mashambani/vijijini wanawagawia wakulima, kumbe hizo power tiller zilizopo hapo Lugalo watakwambia ndio sehemu ya hizo pesa pamoja na malipo ya hizo pembejeo zinazosemekana kuwa fake. Tusubirini na tutaona

 
Tusifurahie sana hela za Wamarekani maana wana nia tata sana. Misaada ya Bush kupitia account ya MCC (USD 700M) ndiyo hiyo hiyo sehemu yake ilitumika kuleta Symbion. Hizi za Kilimo Kwanza sijui zitaleta nini?
 
Tanzania ni miongoni mwa nchi teule tatu zilizobahatika kupata msaada wa kilimo katika mpango African food security. Sasa njaa itakwisha na mipango ikienda vizuri tutakuwa na uwezo wa kuzalisha kiasi kikubwa hadi kuweza kuuza chakula nje ya nchi.

Kwa hili Dr. kikwete amefanya kazi vizuri na anastahili pongezi.

Saranda,

Tatizo nchi hii si fedha, ni mfumo na watu wake. Mfumo umesababisha tusahau kuwa akili yaweza kuleta maarifa! Hizo fedha wajnja wachache watazichungulia na kuzitangizia!!

We are doomed!!!!
 
Misaada mingapi imefika hapa nchini kwetu na kwa uhalisia imefanya nini
Kwanza wajiulize zile pesa za EPA walizosema zinaenda kweney kilimo kwanza zimetumikaje na nani waliofaidi hizo pesa
kabla ya kushangilia msaada mwingine
Tunashangilia msaada wakati kila kitu tunacho cha kuweza kuzalisha zaidi ya huo msaada
Hatupaswi hata kushangilia ila tunapaswa tusikitike maana hao waliotupa huo msaada wamepata na kuvuna zaidi ya hizo hapa kwetu
 
Tanzania ni miongoni mwa nchi teule tatu zilizobahatika kupata msaada wa kilimo katika mpango African food security. Sasa njaa itakwisha na mipango ikienda vizuri tutakuwa na uwezo wa kuzalisha kiasi kikubwa hadi kuweza kuuza chakula nje ya nchi.

Kwa hili Dr. kikwete amefanya kazi vizuri na anastahili pongezi.
katika hizo $900m.. $500m watagawana wanasiasa na wafanyabiashara. $250m watapewa watu wa nje na hawata fanya lolote [ wazungu na wachina] $100m zitapotea wizarani. $50m ndo watajaribu kuifanyia kazi. shida sio kupewa hizo fedha. shida ipo kwenye usimamizi mzuri wa hizo fedha..
 
Misaada kila siku na sioni mabadiliko, wajanja watazigawana tu hizo, waendelee kujenga mahekali na kuanzisha vituo vya mafuta. (Lake Oil)
 
Siungi mkono sababu nimesomeshwa na kilimo, toka miaka ya themanini hakuna improvement yoyote ile serikali imefanya, wakulima zana ni zile zile, jembe la mkono, hizo pesa wajanja watazitafuna zote
 
Tanzania ni miongoni mwa nchi teule tatu zilizobahatika kupata msaada wa kilimo katika mpango African food security. Sasa njaa itakwisha na mipango ikienda vizuri tutakuwa na uwezo wa kuzalisha kiasi kikubwa hadi kuweza kuuza chakula nje ya nchi.

Kwa hili Dr. kikwete amefanya kazi vizuri na anastahili pongezi.
suorce wapi mzee ya hii habari yako?
 
imepata msaada huo waje wachukue vizuri gesi na mengineyo kibao yaliyoko nchii hii ya ma chowderheads
 
JK ana nia thabiti ya kuendeleza kilimo na mambo mengine - we sema kuna viongozi wenzake wako hell bent ku-undermine effort ZAKE ili aonekane ni wanting! Hii haina ukweli wowote.

Mimi kwa maoni yangu JK anapaswa kufanya radical changes katika wizara ya kilimo, bila kufanya hivyo hizo funds will end up not serving any useful purpose! Zitaishia GOD knows where?

Nilisha sema humu kwamba matatizo ya Wizara ya Kilimo hayana tofauti na Wizara ya Nishati na Madini specifically TANESCO, tukitaka TAIFA letu libadilike katika nyanja za kilimo, uongozi mzima wa SECTOR hii unapaswa kubadilishwa kama walivyo fanya TANESCO-mwenye kuona umwambii atazame! Borrow a leaf from Prof. and Patriotic MASWI, team hii ndio itakuwa PANADOL ya endemic ufisadi wa TANESCO.
 
Back
Top Bottom