Tanzania ni miongoni mwa nchi teule tatu zilizobahatika kupata msaada wa kilimo katika mpango African food security. Sasa njaa itakwisha na mipango ikienda vizuri tutakuwa na uwezo wa kuzalisha kiasi kikubwa hadi kuweza kuuza chakula nje ya nchi.
Kwa hili Dr. kikwete amefanya kazi vizuri na anastahili pongezi.
Kwa hili Dr. kikwete amefanya kazi vizuri na anastahili pongezi.