Mkopo ni chanzo kimoja wapo cha pesa kwa nchi yoyote ile, hata hao mnaowalamba miguu (Marekani, Uingereza,etc.) nao wanakopa.
Mkopo ni chanzo kimoja wapo cha pesa kwa nchi yoyote ile, hata hao mnaowalamba miguu (Marekani, Uingereza,etc.) nao wanakopa.
Nyie kutwa kuwaza UjingaNi kukopa kwa kwenda mbele!!!
Ila hiyo hela isije tumika kwenye kampeni za chama fulani baadae mwaka huu maana watu wenyewe hawaaminiki.
Na sehemu kubwa ya mikopo hiyo inatumika kununua wapinzani na kufadhili vikosi vya kigaidi vya Wasiojulikana.Tunapoelekea sio pazuri. Mikopo ni mingi mno na bado hali za kiuchumi za wananchi ni ngumu.
Kama hatutaimarisha na kuweka mazingira ya uchumi wetu kukua basi madhara ya mikopo hii inaweza kuonekana na kuwepo hata miongo mitano ijayo
Watanzania wasubiri kuolewa na wazungu baada ya kushindwa kulipa madeni
Nini kipyaTutasonkolwa mpaka tukome! Hasa tukirejelea kale ka kauli ka kuwa donor country
Ni vema kujua mkuu,isije ikawa Wewe Ni Bitram Nchimbi halafu tunakulinganisha na R7Darasa langu halikuhusu, jikite kwenye hoja.
Mkopo ni chanzo kimoja wapo cha pesa kwa nchi yoyote ile, hata hao mnaowalamba miguu (Marekani, Uingereza,etc.) nao wanakopa.
Wewe usijitekenye. Hakuna nchi duniani isiyokopa, tuondolee kelele zako hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani ameona umeandika kitu kisicho na maana, ndiyo maana anakuuliza. Katika ulichoandika, hakuna hoja. Atajadili nini?Darasa langu halikuhusu, jikite kwenye hoja.
Ni kitu cha kawaida kwa mwenye uwezo.
Labda kwa sababu deni lilikuwa feki?..kwanini tuliwasamehe barrick deni la usd 191 billion?
Watakwambia walikuwa wanaidai Standard Charted, sasa ndio wamelipwaKuanzia leo wasituambie tena kuwa tunajenga kwa hela zetu!