Wana JF nimeshukiwa na roho Mtakatifu punde tu, baada ya kutafakari kwa miezi kadhaa kuhusu hali ya nchi ilivyo. Nimepewa ujumbe Muhimu sana kukuleteeni Watanzania.
Kwa kuwa nchi inaendeshwa kama kampuni binafsi, Malaika wamekubali kusajili jina la TANZANIA PLC LTD, na kuanzia sasa tuiite hivyo hadi tutakapoamua kuwa na busara kama raia wa Tunisia, ndipotutafute jina jipya.
Nawasilisha kwa uchungu sana...:amen:
lane:lane:
Kwa kuwa nchi inaendeshwa kama kampuni binafsi, Malaika wamekubali kusajili jina la TANZANIA PLC LTD, na kuanzia sasa tuiite hivyo hadi tutakapoamua kuwa na busara kama raia wa Tunisia, ndipotutafute jina jipya.
Nawasilisha kwa uchungu sana...:amen:
lane:lane: